image

Aina ya kisukari inayojulikana kama Diabety type 1

Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kisukari Aina ya kwanza ambapo kwa kitaalamu huitwa Diabetes type 1, ni hali ambayo utokea ambapo mwili ushindwa kutengeneza insulini ambayo uweka sukari kwenye hali ya usawa.

Aina ya kwanza ya kisukari.

1.Ugonjwa huu wa kisukari utokea kwa Aina kuu mbili, Aina ya kwanza ni pale ambapo mwili inashindwa kabisa kuzalisha insulin kwa hiyo mgonjwa maisha yake yote anaishi kwa kuchomwa insulin, kwa hiyo mgonjwa anaishi kwa kutumia insulin maisha yake yote, hii Aina ya kisukari pengine mtu anazaliwa nayo na maisha yake yote anaishi kwa kutumia insulini Ili iweze kuweka kiwango Cha sukari katika usawa. Kwa hiyo mgonjwa anapaswa kujua hali yake kwa ujumla Ili kuweza kushika masharti yabayohitajika.

 

2. Ugonjwa huu wa kisukari Aina ya kwanza usababishwa na kuaribika kwa seli ambazo zimo kwenye kongosho seli hizi kwa kitaamu huitwa beta seli na Alfa seli ambazo kazi zake ni kuweka kiwango Cha sukari kwenye hali ya usawa, kwa hiyo hii Aina ya kisukari ni shida kuiweka sawa bila kutumia  insulini, kwa hiyo tunapaswa kuwa waaminifu katika kutumia insulin mara nyingi  hii Aina ya kisukari kama mtu hajazaliwa nayo ugundulika pale mtu akiwa na miaka chini ya thelathini.

 

3. Kuna sababu ambao upelekea kuwepo kwa ugonjwa huu kama vile , Kuna wakati mwingine mwili uzalisha antibodies ambazo uharibu beta seli zinazokuwepo kwenye kongosho  kwahiyo antibodies hizi zinafanya seli ambazo zimo kwenye kongosho kushindwa kufanya kazi yake na baadae sukari kwenye mwili inashindwa kuwa sawa na hatimaye insulin utumika kila siku kwa mgonjwa na kusaidia kuweka sukari katika hali ya usawa. Na kufanya maisha ya mtu kuendelea kuwa kawaida.

 

4.pengine hali hii ya kuwepo kwa Aina hii ya kwanza ni kwa sababu za kuurithi kutoka kwenye familia kwa sababu Kuna familia ambapo Kuna Aina hii ya sukari Aina ya kwanza kwa sababu ya gene pengine Kuna shida katika kufanya kazi  katika kongosho ambalo usababisha seli zinashindwa kufanya kazi yake kwa sababu ya kuridhi kutoka katika familia. Kwa hiyo tunapaswa kuwa macho na kuchunguza matatizo haya kama yako kwenye ukoo na kuyafanyia kazi.

 

5. Sababu nyingine ya chanzi Cha kuwepo kwa Aina ya kwanza ya sukari ni Ile hali ya kumpatia mtoto mapema kuanza kutumia maziwa ya ngombe na kutumia madini ya nitrate usababisha kuaribika kwa seli ambazo zimo kwenye kongosho kwa hiyo watoto wanapaswa kula kwa mda mwafaka na kuzuia kutumia maji yenye nitrate na mtoto kama hakufanikiwa kupata maziwa ya Mama kwa sababu mbalimbali anapaswa kuonana na wataalam wa afya Ili kumwonyesha maziwa anavyopaswa kutumia siyo kutumia maziwa ya ngombe kwa mda mrefu.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 690


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Samaani nilikuwa nauriza ninasumburiwa na fanga ya mdomoni naomba ushauri
Fangasi mdomoni wanaweza kuwa tatizo endapo hawatatibiwa mapema. Wanaweza kuongeza majeraha kwenye kinywa. Soma Zaidi...

Madhara ya minyoo
Somo hili linakwenda kukuletea madhara ya minyoo Soma Zaidi...

mfano mtu ametoka kusex, jana alafu Leo akikojoa mkojo una muhuma na Wa mwisho unatoka damu, itakuwa ugonjwa gani eti,
Soma Zaidi...

Dalili za macho makavu.
Posti hii inahusu zaidi njia za kutambua Dalili za macho makavu, kama tulivyotangulia kuona kubwa macho kuwa makavu Usababishwa na sehemu ya kuzalisha maji kwenye jicho kushindwa kufanya kazi na jicho hilo huwa kavu na Dalili zake ni kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

UGONJWA WA HOMA YA VIRUSI VYA ZIKA (ZIKV) VINAVYO SABABISHWA NA KUNG'ATWA NA MBU
Mnamo mwaka 2016 World Health Organization (WHO) iliitisha kikao cha dharura mnamo mwezi tarehe 1 mwezi wa pili mpaka tarehe 13 mwezi wa nne. Soma Zaidi...

Sababu za kunyonyoka kwa nywele
Soma Zaidi...

Kushiriki ngono na mtu aliye na VVU na UKIMWI
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kushiriki ngono na mtu aliye na VVU na UKIMWI Soma Zaidi...

Dalili za malaria
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya dalili za maralia Soma Zaidi...

Maumivu ya mgongo.
Post yetu Leo inaenda kuzungumzia Maumivu ya nyuma ni malalamiko ya kawaida. Kwa upande mkali, unaweza kuchukua hatua za kuzuia au kupunguza matukio mengi ya maumivu ya mgongo. Ikiwa kinga itashindikana, matibabu rahisi ya nyumbani na mbinu sahihi za m Soma Zaidi...

Madhara ya kutotibu ngiri.
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea pale ambapo Ugonjwa wa ngiri unaposhindwa kutibiwa mapema. Soma Zaidi...

Je mtu akapima ukimwi na kile kipimo kidogo .je kina usahihi au la ..na pia kama inaonyesha mistari miwili.
Hivi umeshawahi kuwazakuwa jekipimo cha HIV ni sahihi kwa kiasi gani. Unadhani huwa kinakoseaga kutoa majibu? Soma Zaidi...

Ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu.
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu ambao kwa kitaalamu huitwa Dementia ugonjwa huu uwapata wale ambao umri umekwenda lakini kwa wakati mwingine Usababishwa na vitu mbalimbali kama tutakavyoona. Soma Zaidi...