Sifa na majina ya siku ya mwisho siku ya kiyama

Sifa na majina ya siku ya mwisho siku ya kiyama

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Sifa na majina ya siku ya mwisho siku ya kiyama

Sifa na majina ya siku ya mwisho siku ya kiyama


siku ya mwisho katika Quran imepewayafuatayo:



Siku ya Qiyama (21:47, 75:1, 75:6, 79: 42) Siku ya mwisho (2:4, 2:8, 58:22)



Siku ya malipo (1 :4, 82:9, 95 :7, 107:1, 83 :11) Msiba ugongao nyoyo (101:1)



Siku ya hukumu (77:13-14)Wakati maalumu (56:49-50)



Siku ya makamio (50:20)



Siku ya makutano (40:15)



Siku iliyokaribu sana kufika (40:18)



Siku ya kuitana (40:32)



Siku ya kutoka makaburini (50:42)Tukio lilokaribu, limesogea



Siku zitakapotikisika mbingu mtikisiko wake 187


(xiv)Siku ya kukaa daima (50:42)



(xv)Siku zitakapofichuliwa siri (86:9)



(xvi)Tukio la Haki (69:1-3)



(xvii)Siku ya Haki (78:39)



(xviii)Tukio kubwa (56:1-2)



(xix)Siku iliyokadiriwa (85:2)



(xx)Msiba ukumbao (88:1)



(xxi)Siku iliyokuu (83:5)



(xxii)Siku ya mkusanyiko (64:9)



(xxiii)Siku ya Hisabu




                   


Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Tawhid Main: Dini File: Download PDF Views 2335

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Dhana ya ibada kwa mtazamo wa uislamu..
Dhana ya ibada kwa mtazamo wa uislamu..

Mtazamo wa uislamu juu ya ibada (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Sifa za Wanafiki zilizotajwa katika Surat ahzab
Sifa za Wanafiki zilizotajwa katika Surat ahzab

Na waliposema wanafiki na wale wenye maradhi nyoyoni mwao, "Mwenyezi Mungu na Mtume wake hawakutuahidi ila udanganyifu tu.

Soma Zaidi...
Mgawanyo wa Elimu Usiokubalika katika uislamu.
Mgawanyo wa Elimu Usiokubalika katika uislamu.

Kipengele hichi kinahusu mgawanyiko wa elimu usiokubalika katika uislamu.sababu za mgawanyiko wa elimu udio sahihi katika uislamu.

Soma Zaidi...
Maamrisho ya kushikamana nayo
Maamrisho ya kushikamana nayo

Yale tunayoamrishwa kushikamana nayo ni haya yafuatayo: (i)Kumuabudu Allah (s.

Soma Zaidi...
Mgawanyo sahihi wa elimu kwa mtazamo wa uislamu
Mgawanyo sahihi wa elimu kwa mtazamo wa uislamu

Ni upi mgawanyo sahihi wa elimu kwa mtazamo wa uislamu (EDK form 1: mgawanyo sahihi wa elimu kwa mtazamo wa uislamu

Soma Zaidi...
Mgawanyo sahihi wa elimu kwa mtazamo wa uislamu
Mgawanyo sahihi wa elimu kwa mtazamo wa uislamu

Ni upi mgawanyo sahihi wa elimu katika uislamu? Nini naana ya elimu ya muongizo. Je elimu ya mazingiravmaana yakeni nini. Ni upi utofauti wa elimu ya muongozo na elimu ya mazingira?

Soma Zaidi...
Makundi ya dini za wanaadamu
Makundi ya dini za wanaadamu

Kwenye kipengele hichi tutajifunza makundi ya dini za watu. Na makundi hayo ni matatu.

Soma Zaidi...