Musa alipotimiza muda, alifunga safari na ahali zake kurejea Misri.
Musa alipotimiza muda, alifunga safari na ahali zake kurejea Misri. Njiani aliona moto upande wa mlimani akawaambia ahali zake:
............Ngojeni hakika nimeona moto; labda nitakujieni na habari za huko au kijinga cha moto ili muote (28:29)
Basi alipofika, aliitwa: βEwe Musa! Hakika Mimi ndiye Mola wako. Basi vua viatu vyako. Hakika wewe uko katika bonde takatifu la Tuwa. (20:11-12)
Nami nimekuchagua, (uwe Mtume). Basi yasikilize unayoelezwa kupitia wahy. Kwa yakini Mimi ndiye Mwenyezi Mungu, hakuna aabudiwaye kwa haki ila Mimi, Basi niabudu na usimamishe swala kwa kunitaja (20:13-14)
Umeionaje Makala hii.. ?
KULELEWA NA BABA YAKE MDOGOBaada ya kufariki kwa mzee huyu, kiongozi mkubwa wa maquraysh na makkah, kiongozi ambaye jeshi la Abrah liliangamizwa ndani ya utawala wake.
Soma Zaidi...Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...NASABA YA MTUME (S.
Soma Zaidi...KUKUTANA NA BAHIRA (MTAWA) WA KIYAHUDIMzee Abu talib alikuwa ni mfanya biashara, hivyoslikuwa akimchukuwa kijana wake kwenda kwenye biashara.
Soma Zaidi...