Jinsi ya kutoa pesa ClipClaps kwa Tanzania

Jinsi ya kutoa pesa ClipClaps kwa Tanzania

Njia za kutoa pesa ClipClaps

Download Post hii hapa

Ni Jambo jema Tena Leo kujifunza jinsi kutoa pesa na zikufikie kwenye akaunti yako 

 

Mala kadhaa hujitokeza changamoto kwenye majukwaa ambayo tunatumia kujiingizia kipato na yote hayo husababisha na kutojua kwa kina namna jukwa Hilo linavyofanya kazi

 

Pia hii husababisha na sisi wenye kufanya Jambo bila kuwa na taalifa za kujitoshereza

Na kwasababu hiyo Sasa watu wengi wamepata hasala kubwa kwani wemekuwa wakiwekeza nguvu zao wakiamini mbeleni Kuna matunda . Ni kweri lakini hata unapofika wakati wa kuyachuma hukutana na vikazo vingi hivyo hushindwa kufikia lengo.

 

Hii ndiyo sababu imrnifanya kuandika makala hii ambayo itakufundisha jinsi ya kutoa pesa ClipClaps..

 

ClipClaps no jukwaa ambalo kwasasa linafanya vizuri na mm ni moja ya watumiaji na mashuhuda juu ya jukwaa Hilo 

 

JINSI YA KUTOA PESA 

Hili ni Jambo ambalo wengi wanatamani kukujua  hivyo Basi twende kwenye mada husika 

Kwa wale ambao hawana Akaunti  na wanaitaji kujifunza jinsi ya kuitumia ingia www.funzoapp.com/

Utakutana na makala itakayokupa mwanga..kwa Leo tutajifunza jinsi ya kutoa pesa.

 

1. Hatua ya kwanza ingia kwenye app yako 

Na hakikisha umeshatengeneza pesa ambazo hazipungui $10

Kama una poitnti hujazibadili kuwa dollar Basi zibadirishe kwanza 

 

Baada ya kuzibadilisha Sasa  kwenye dashboard yako utakuwa unaona kiasi Cha pesa bacho unacho Kama kinagika $10 unaweza ukatoa.

 

2. Hatua ya piri kwenye dashboard yako bonyeza kwenye dollars zako itafunguka ukulasa wa kutoa pesa  ambapo utakutabkuna sehemu mbiri yakwanza upande wa kushoto ni PayPal. upande wa kulia utakouta other bonyeza hapo.

 

3. Hatua ya tatu ukishabonyea other itafunguka na utakutana Tena na sehemu mbiri changua ya kwanza bayo no mobile recharge bonyeza hapo.

 

4. Hatua inayofata baada ya kufungua itakuretea ukulasa wa kujaza ili ilipwe sehemu ya kwanza utachangua kod ya taifa lako kwa Tanzania ni tz 255

Sehemu ya piri utatakiwa uchangie mtandao utanitumia

Sehemu ya tatu utawela namba ya simu bila kuanza na 0 yaani mfano 71233562332

 

Chini kabisa utakutana na batani. CONFIRM

utabonyeza hiyo sehemu Itazungua kidogo na uta thibitisha..

 

Baada ya kuwa tayari umetuma taarifa zako utasubiri siku Nadi ya siku 7 za kazi pesa zako zitakuwa zimeingia kwenye simunyako uliyojaza.

 

Nimatumaini yangu Sasa kuwa tayari umejigunza jinsi ya kutoa pesa . Na Sina Shaka kuwa Sasa utakuwa na wasiwasi juu ya pesa zako ambazo umeshavuna 

 

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Teknolojia Main: Jifunze File: Download PDF Views 1451

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Utajuaje Kama simu au kompyuta yako Ina virus
Utajuaje Kama simu au kompyuta yako Ina virus

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kujua Kama simu yako ina virus

Soma Zaidi...
Je nitumie simu yangu wakati inachaji?
Je nitumie simu yangu wakati inachaji?

Somo hili linakwenda kujibu swali la je nitumie simu yangu wakati inachaji

Soma Zaidi...
Tofauti ya Trojan na virusi
Tofauti ya Trojan na virusi

Posti hii inakwenda kukupa tofauti za trojani na virusi

Soma Zaidi...
Matatizo katika hard disk
Matatizo katika hard disk

Posti hii inakwenda kukupa baadhi ya matatizo katika hard disk

Soma Zaidi...
KULINDA AKAUNT YAKO YA FACEBOOK DHIDI YA WAHALIFU WA KIMTANDAO
KULINDA AKAUNT YAKO YA FACEBOOK DHIDI YA WAHALIFU WA KIMTANDAO

Watu wengi wanalalamika kuwa akaunti zao za facebook zimehakiwa, yaani zimeshambuliwa na wahalifu wa kimtandano.

Soma Zaidi...
Kipi kingine utafanya ukiwa Facebook
Kipi kingine utafanya ukiwa Facebook

Somo hili linakwenda kukueleza Mambo mengne unayoweza kuyafanya ukiwa Facebook

Soma Zaidi...
Kurudisha data zilizo potea
Kurudisha data zilizo potea

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Soma Zaidi...
Kulinda account yako ya Facebook dhidi ya waharifu wa kimtandao
Kulinda account yako ya Facebook dhidi ya waharifu wa kimtandao

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kulinda account yako ya Facebook dhidi ya waharifu wa kimtandao

Soma Zaidi...
 UTUNZAJI WA BETRY YA KIFAA CHAKO
UTUNZAJI WA BETRY YA KIFAA CHAKO

Namna ya kutunza betri yako iweze kudumu kwa muda mrefu

Soma Zaidi...
Nini Chanzo
Nini Chanzo

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Soma Zaidi...