Jinsi ya kutoa pesa ClipClaps kwa Tanzania

Njia za kutoa pesa ClipClaps

Ni Jambo jema Tena Leo kujifunza jinsi kutoa pesa na zikufikie kwenye akaunti yako 

 

Mala kadhaa hujitokeza changamoto kwenye majukwaa ambayo tunatumia kujiingizia kipato na yote hayo husababisha na kutojua kwa kina namna jukwa Hilo linavyofanya kazi

 

Pia hii husababisha na sisi wenye kufanya Jambo bila kuwa na taalifa za kujitoshereza

Na kwasababu hiyo Sasa watu wengi wamepata hasala kubwa kwani wemekuwa wakiwekeza nguvu zao wakiamini mbeleni Kuna matunda . Ni kweri lakini hata unapofika wakati wa kuyachuma hukutana na vikazo vingi hivyo hushindwa kufikia lengo.

 

Hii ndiyo sababu imrnifanya kuandika makala hii ambayo itakufundisha jinsi ya kutoa pesa ClipClaps..

 

ClipClaps no jukwaa ambalo kwasasa linafanya vizuri na mm ni moja ya watumiaji na mashuhuda juu ya jukwaa Hilo 

 

JINSI YA KUTOA PESA 

Hili ni Jambo ambalo wengi wanatamani kukujua  hivyo Basi twende kwenye mada husika 

Kwa wale ambao hawana Akaunti  na wanaitaji kujifunza jinsi ya kuitumia ingia www.funzoapp.com/

Utakutana na makala itakayokupa mwanga..kwa Leo tutajifunza jinsi ya kutoa pesa.

 

1. Hatua ya kwanza ingia kwenye app yako 

Na hakikisha umeshatengeneza pesa ambazo hazipungui $10

Kama una poitnti hujazibadili kuwa dollar Basi zibadirishe kwanza 

 

Baada ya kuzibadilisha Sasa  kwenye dashboard yako utakuwa unaona kiasi Cha pesa bacho unacho Kama kinagika $10 unaweza ukatoa.

 

2. Hatua ya piri kwenye dashboard yako bonyeza kwenye dollars zako itafunguka ukulasa wa kutoa pesa  ambapo utakutabkuna sehemu mbiri yakwanza upande wa kushoto ni PayPal. upande wa kulia utakouta other bonyeza hapo.

 

3. Hatua ya tatu ukishabonyea other itafunguka na utakutana Tena na sehemu mbiri changua ya kwanza bayo no mobile recharge bonyeza hapo.

 

4. Hatua inayofata baada ya kufungua itakuretea ukulasa wa kujaza ili ilipwe sehemu ya kwanza utachangua kod ya taifa lako kwa Tanzania ni tz 255

Sehemu ya piri utatakiwa uchangie mtandao utanitumia

Sehemu ya tatu utawela namba ya simu bila kuanza na 0 yaani mfano 71233562332

 

Chini kabisa utakutana na batani. CONFIRM

utabonyeza hiyo sehemu Itazungua kidogo na uta thibitisha..

 

Baada ya kuwa tayari umetuma taarifa zako utasubiri siku Nadi ya siku 7 za kazi pesa zako zitakuwa zimeingia kwenye simunyako uliyojaza.

 

Nimatumaini yangu Sasa kuwa tayari umejigunza jinsi ya kutoa pesa . Na Sina Shaka kuwa Sasa utakuwa na wasiwasi juu ya pesa zako ambazo umeshavuna 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Teknolojia Main: Jifunze File: Download PDF Views 1509

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Utafanyaje ili blog yako ionekane Google, Big, Yandex ama yahoo?

Post hii inakwenda kukufundisha kwa ufupi jinsi ya kuifanya blog yako, ama post za kwenye blog yako ziweze kupatikana kwenye search Engine kama Google, Bong, yandex na yahoo.

Soma Zaidi...
KIPI KINGINE UTAFANYA UKIWA FACEBOOK: matumizi mengine ya facebook

Facebook ni mtandao wa kwanza wa kijamii (social media) unaotembelewa na watu wengi.

Soma Zaidi...
Chanzo cha matatiza ya simu/kompyuta

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Soma Zaidi...
MUDA WA KUCHAJI SIMU YAKO AMA MUDA WA KUCHAJI BETRI YAKO

Wwatu wengi wamekuwa wakijiuliza ni muda gani hasa inapasa kuchaji simu, je nisubiri mpaka chaji iishe kabisa, ama nichaji ikiwa na asilimia ngap?

Soma Zaidi...
Simu au Kompyuta inastak? (inasumbua)

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Soma Zaidi...
Chanzo

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Soma Zaidi...
SIMU KUSUMBUWA MTANDAO NINI SABABU

Kuna mambo mengi sana ambayo yanachangia simu yako kutokuwa na mtandao mzuri yaani network kuwa ndogo.

Soma Zaidi...