Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
BAADHI YA MARADHI YANAYOSABABISHWA NA HALI ZA MAISHA
Hapa tutaangalia kwa ufupi namna a,mbavyo hali zetu za maisha kama tabia na utaratibu ambao tunaishi unavyochangia katika kupata maradhi. Kama ambavyo tumeona huko mwanzo kuwa Afya ya mtu inaweza kuathiriwa na sababu mbalimbali kama vile tabia ya mtu. Sasa hebu tuone baadhi ya magonjwa yanayohusiana na hali za maisha yaani namna mtu anavyoishi.
1.moyo
2. kisukari
3. saratani
4. vidonda vya tumbo
5. UTI
6. macho
7. mafua
Umeionaje Makala hii.. ?
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Hiki ni kitabu kilichosheheni masomo zaidi kuhusu Afya yako, vyakula pamoja na maradhi sugu.
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...