picha

Juhudi za Waislamu Katika Kuhuisha Harakati za Kiislamu Zama za Nyerere hadi leo

i.

Juhudi za Waislamu Katika Kuhuisha Harakati za Kiislamu Zama za Nyerere hadi leo

Juhudi za Waislamu Katika Kuhuisha Harakati za Kiislamu Zama za Nyerere hadi leo

i. Wakati wa utawala wa Mwalimu Nyerere waislamu walianzisha Taasisi na Jumuiya mbali mbali za Kiislamu kama vile; Baraza Kuu la Taasisi na Jumuiya za Kiislamu, African Muslim Agency, Al-Haramain, Islamic Foundation, Islamic Propagation Centre (IPC), Munadhwamat Da’awah, n.k.




ii. Taasisi mbali mbali za Kiislamu kati ya miaka ya 1989 hadi 1992 zilianzisha mashule kama vile; Mudio Islamic Seminaries, Ubungo Islamic High School, Kirinjiko Islamic High School, Kunduchi na Ununio Secondary Schools na zinginezo.




iii. Kulianzishwa vyuo vya Ualimu vya Kiislamu kwa ngazi za cheti na stashahada kama vile; Al-Haramain Islamic Teachers’ College - 1987, Ubungo Teachers’ College - 1998, Kirinjiko Teachers’ College - 2004 na vinginevyo vilivyojitokeza baadae.




iv. Mwaka 2005, Taasisi ya Muslim Development Foundation (MDF) ilianzisha Chuo Kikuu Cha Waislamu Morogoro, Muslim University of Morogoro (MUM) kama chuo pekee kikombozi kwa jamii ya waislamu Tanzania.



v. Hadi leo hii, Taasisi na shule nyingi za Kiislamu za chekechea, msingi na sekondari pamoja na vyuo zinaendelea kuibuka, nyingi zikiwa na lengo la kutoa elimu Sahihi ya Mwongozo na ya Mazingira kama nyenzo pekee ya kusimamisha Uislamu katika jamii.





                   

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Sira Main: Post File: Download PDF Views 1697

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

Nani alikuwa ni Sahaba wa kwanza kufariki akiwa Shahidi

Sahaba wa kwanz akufariki akiwa shahidi, alifariki kwa sababu ya mateso aliyoyapata kutoka kwa Makafiri wa ki Quraysh

Soma Zaidi...
Vita vya uhudi

Dola ya uislamu madinah (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Kuchimbwa upya kwa kisima cha Zamzam

Sura na historia ya mtume Muhammad S.A.W sehemu ya 3.Hapa utajifunza kuhusu kufukuliwa kwa kisima cha Zamzam baada ya kufukiwa muda mrefu.

Soma Zaidi...