Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu)
Malezi ya Mtume (s.a.w).
- Muhammad (s.a.w) baada ya kuzaliwa, alinyonyeshwa na kulelewa na Bibi Halimah bint Dhayb kutoka mji wa Taif, kutokana na hali ya hewa safi ya huko mpaka alipofikia umri wa miaka miwili.
- Muhammad (s.a.w) alirejeshwa Makka na alikaa na mama yake muda wa miaka 6 naye alifariki 576 A.D. hapo akawa chini ya malezi ya babu yake Abdul-Muttalib aliyefariki mwaka 578 A.D. Muhammad (s.a.w) akiwa na miaka 8.
- Baada ya kufariki babu yake, Muhammad (s.a.w) akawa chini ya malezi ya ami (baba mdogo) yake Abu Talib mpaka alipopata Utume.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Luqman ni katika watu wema kabisa waliopita zama za nyuma.
Soma Zaidi...Sura na historia ya Mtume Muhammad S.A.W sehemu ya 1
Soma Zaidi...Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...