Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Jitihada alizozifanya Khalifa wa Tatu katika kuilinda Quran
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Jitihada alizozifanya Khalifa wa Tatu katika kuilinda Quran
Katika somo hili utakwnda kujifunz anamna nambavyo Sahaba Ukasha alivyochangamkia fursa katika mambo ya heri
Sahaba wa kwanz akufariki akiwa shahidi, alifariki kwa sababu ya mateso aliyoyapata kutoka kwa Makafiri wa ki Quraysh
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu nani alikuwa wamwisho kufariki katika masahaba wa Mtume kwa mujibu wa historia
Makafiri wa Kiquraish walikuwa na tabia ya kumghasi Mtume(s.
Nabii Musa na Harun walikuwa na kazi kubwa mbili; kwanza, kuwakomboa Bani Israil kutokana na dhuluma waliyokuwa wakifanyiwa na Firaun na Serikali yake, na pili, kuwarudisha kwenye nchi yao takatifu ya Palestina.
Katika Suratul Yassin Allah(s.
Katika Suratul Buruj, kumetajwa kisa cha makafiri waliowatesa wafuasi wa Mitume waliotangulia kabla ya Mtume Muhammad(s.
Katika zama za kale Mayahudi walikatazwa kufanya kazi siku ya Jumamosi.
Katika Qur,an tukufu, Mwenyezi Mungu aliye muweza na mjuzi wa mambo anathibitisha kuwa aliyesulubiwa si Nabii Isa(a.
Mwenyezi Mungu pekee ndiye aliyewawezesha Mitume na Manabii kufanya miujiza.
Maryam akamtwaa mwanawe, akaenda naye kwa jamaa zake amembeba.
Baada ya maandalizi hayo ya kimalezi pamoja na hifadhi ya Allah(s.
Baada ya kupigwa kura juu ya nani awe mlezi wa Maryam, Nabii Zakaria akachaguliwa kuwa mlezi wa Maryam.
Makafiri wa Kiquraish walikuwa na tabia ya kumghasi Mtume(s.
Luqman ni katika watu wema kabisa waliopita zama za nyuma.
Dhulqarnain sio jina la mtu bali cheo, maana yake ikiwa: “Mwenye Pembe Mbili”.
Kutokana na Historia ya Nabii Zakaria (a.
Kutokana na histoira ya Nabii Sulaiman (a.
Pamoja na utukufu na umadhubuti wa ufalme wake Nabii Sulaiman muda wake wa kuishi ulipokwisha aliondoka kama walivyoondoka Mitume,wafalme na wanaadamu wengine.
Pamoja na Ucha-Mungu aliokuwa nao Nabii Sulaiman watu hawakuacha kumsingizia mambo machafu.
Kutokana na Historia ya Nabii Musa na Harun(a.
Mawaziri waliokuwa washauri wakuu wa Firauni wakataka wakusanywe magwiji waliobobea katika uchawi nchi nzima, kisha wapambanishwe na Nabii Musa(as).
Musa alipotimiza muda, alifunga safari na ahali zake kurejea Misri.
Kutokana na kisa cha Nabii Shu’ayb(a.
Kama ilivyokuwa katika kaumu zilizotangulia, waliomuamini Shu’ayb(a.
“Kwa yakini katika (kisa cha) Yusufu na ndugu zake yako mazingatio mengi kwa wanaouliza (mambo wapate kujua)”.
Njaa ilitokea na ikawa hapana sehemu nyingine yoyote yenye chakula ila Misri.
Kutokana na kisha hiki cha Nabii Ayyuub(a.
Kwa kuzingatia aya zote tulizozipitia juu ya wanafikitunaweza kutoa majumuisho ya sifa za wanafiki kama ifuatavyo:- (1)Hutenda kinyume cha imani wanaodai kuwa nayo.
(i) Utukufu wa mtu katika Uislamu hautokani na nasaba, rangi,kabila,utajiri ila uwajibikaji kwa Allah(s.
Huko nyuma wapita njia walikisogelea kisima kwa lengo la kuteka maji.
“Na wasomee khabari za watoto wawili wa Adam kwa kweli, walipotoa sadaka, ikakubaliwa ya mmoja wao na ya mwingine haikukubaliwa Akasema (yule asiyekubaliwa sadaka yake): “Nitakuua”.
Mafunzo tuyapatayo hayatofautiani na yale yatokanayo na Historia ya Nabii Hud(a.
(i) Tuanze kulingania kwa kuonesha upweke wa Allah(s.
“Na (kumbukeni habari hii) Mola wake alipomfanyia mtihani (Nabii) Ibrahiim kwa amri nyingi; naye akazitimiza.
Nabii Ibrahiim na mkewe Sarah walikaa mpaka wakawa wazee bila ya kupata mtoto.
Kwa neema hii ya kuruzukiwa watoto wawili - Ismail na Is- haqa(a.
Pamoja na kudhihirikiwa na ukweli wa udhaifu wa miungu wa kisanamu, watu wa NabiiIbrahiim(a.
Makafiri wa Kithamud hawakuishia tu kwenye kuukataa ujumbe wa Nabii Salih(a.
Tumeona katika historia yake kuwa Nabii Ibrahiim(a.
Ibilis ni katika jamii ya majini aliyekuwa pamoja na Malaika wakati amri ya kumsujudia Adam inatolewa.
(i) Tuanze kulingania kwa Tawhiid – kumjua Allah(s.
Tukirejea Qur’an (11:36-48) na (23:26 -29) tunapata maelezo juu ya mchakato wa kuangamizwa makafiri na kuokolewa waumini katika kaumu ya Nabii Nuhu(a.
Pamoja na kwamba alipingwa na nguvu za Dola ya makafiri wa kaumu yake, Mtume Hud(a.
Kutokana na Historia ya Nabii Ismail(a.
(i) Tujitahidi kwa kadiri ya uwezo wetu kuondoa maovu katika jamii kwa mikono yetu na ikiwa hatuwezi tuyakemee kama alivyofanya Nabii Lut(a.
Kama Mitume waliotangulia, Nabii Salih(a.
Pamoja na upinzani mkali alioupata kutoka kwa viongozi wa makafiri, Nabii Nuhu(a.
Kama tulivyoona katika maisha ya Mtume Ibrahim(a.
Mtume aliyemfuatia Nabii Idrisa(a.
KUPOROMOKA KWA DOLA YA KIISLAMU ALIYOICHA MTUME(S.
Uasi katika dola ya kiislamu na matokeo yake.
Kuanzishwa kwa Polisi.
Miezi miwili baada ya Hijjat-al-Wada, Mtume(s.
Mwaka mmoja baada ya msafara wa Tabuuk Bara Arab zima ilikuwa chini ya Dola ya Kiislamu.
Ukombozi wa mji wa Makka (Fat-h Makka) mwaka 8 A.
Kazi na Wajibu wa KhalifaKhalifa katika Serikali ya Kiislamu ndiye mtendaji mkuu wa Serikali kama alivyokuwa Mtume(s.
Maandalizi ya Hijra ya Mtume (s.
Mayahud Mwanzoni Mayahud walipoona kuwa Waislamu wanafunga siku ya Ashura pamoja nao na wanaelekea Qibla cha Baitul- Muqaddas pamoja nao hawakuonyesha chuki ya dhahiri dhidi ya Mtume(s.
Mbinu walizotumia Makafiri wa Kiqureish katika kuupinga Uislamu Makkah.
Kwanza, ili tuweze kusimamisha Uislamu katika jamii hatunabudi kuanzisha na kuendeleza vituo vya harakati, misikiti ikiwa ndio vitovu.
Fat-h Makkah (Kukombolewa Makkah).
Vita vya Ahzab- Maquraish waliungana na mayahudi, wanafiki na makabila mengine ya waarabu baada ya kuona kuwa wao peke yao hawawezi kuufuta Uislamu.
Mambo ya Msingi Aliyofanya Mtume(s.
Uchaguzi wa ‘Umar bin Khattab kuwa Khalifa wa Pili.
Tukio la kartasiTukio la ‘kartasi’ lililonakiliwa katika vitabu vya Muslim na Bukhari kuwa siku tatu kabla ya kutawafu Mtume (s.
Baada ya mikataba miwili ya ‘Aqabah na baada ya Waislamu 75 kufika Yathrib salama, Mtume(s.
Upinzani dhidi ya Dola ya Kiislamu Madinah.
Katika Hija iliyofuatia katika mwaka wa 621 A.
Safari ya Mi'rajKatika mwaka wa 12 B.
Pili, Maquraish walimuendea Mtume(s.
Uendeshaji wa Dola ya Kiislamu Madinah.
Kuanzishwa kwa Dola ya Kiislamu Madinah.