picha

HIKUMU YA BASMALLAH YAANI KUSOMA BISMILLAH

Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa

HIKUMU YA BASMALLAH YAANI KUSOMA BISMILLAH

SURA YA PILI
Hukumu ya Basmallah na isti'adha
KUSOMA BISMILLAH A AUDHUBILLAH:
bismilahir-rahmanir-rahiym tamko hili hujulikana kama basmalah na a’udhubillahi minas-shaytwaanir-rajiym hujlikana kma isti’adha matamo yote haa yana huumu zake za usomaji mble ya maulamaa wa ajwid pa ikumbukwe kuwa llah amesema kwa “..pindi unposoma urani asi taka hifadha ka Allah (akuline) kutoana na sheani aliembali narehma za Allah” yaani anza klea istiadha
Hukum ya isti’adha:
basi pindi utakapoaka kusoma quran na ukatak kuanza na isti’adha mwanzoi mwa sura a hapa utaakiwa kuleta basmala abla ya kianza sur. Hivyobasi kutauwa kumekutana isti’adha, asmala na sra unayotakakusoma. Hapa kaika kusma kwake kuna hukumu nne kama ifuatavyo;-
1.kukata zote; yaani kusoma kila mja kivake kwa kusimama kati a vitau hivi.yaani utasoma isti’adha isha utasiama, halafu utasomabasmalah kisha uasimama n baaday utaanza sra.
2.Kuunga zote yaani utunganisha isti’adha, basmalahna surah bila ya kusmama
3.Kuungabasmalah na sra; yani utasoma isti’adhakisha utasimama halafu utaoma basmalah na sura kwa kuunganisha vbila ya kuimama.
4.Kuuga isti’adha a basmala; yaani tasoma isi’aha na basala kwa pamoja kisha unasimama kishunasoma sura.
Bofya kitufe cha MFANO 01, MFANO02,na MFANO 03 kusikiliza mfano

Hukumu ya basmalah kati a sura mbii;
Iktokea umemaliza sura moja na untaka kuigia sura ingine basi hapa kua huku zifuatazo;-
1.uzikata zte; yani utasomamwisho wa sura, kiha unasoma basmalah kisha unaoma sura inyofata.
2.Kuiunga zote; hapautaunga mwshoni mwasura kisha unsoma basalah kisa unaanza usoma sura mpy bila ya kupunzika
3.Kuung basmala na mwanzni mwa sura; yaani uaaliza sura kish utasimama, kisha utasoma asmalah pamoja nakuanza sua mpya bila ya kusimama.
Kanunuzinazofungamana a elim ya tajweed;
1.ujuzi wakujuwa matamshi ya erufi n yaapotamkiwa na yanavyotamka.
2.Ujuzi wa kjuwa taia na sif za herufi
3.Ujuzi w kujuwa amna ambavyo erufi zinabadilika kulingan na mpangilio wa manen
4.Kuufania mazoeziulimi pmoja na kuudia ruda


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2018-08-01 Topic: Quran Main: Dini File: Download PDF Views 2804

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Ni nini maana ya id-gham katika hukumu za tajwid

Hapa utajifunza kuhusu maana ya id-ghamu na aina zake.

Soma Zaidi...
Fadhila za kusoma surat al Imran

Post hii itakufundisha fadhila na faida za kusoma surat al Imran

Soma Zaidi...
Sababu za kushuka surat al Mauun

Sura hii ni katika sura ambazo zinahitaji kusomwa kwa mazingatio sana. Wanaoswali bila ya kuzingatia swala zao, wameonywa vikali sana. Wanaowatesa na kuwanyanyasa mayatima wameonywa vikali. Wanaowanyima wenye haja na masikini huku wakiwakaripia nakuwasem

Soma Zaidi...
Kwa nini quran ilishuka kidogo kidogo?

Kuna sababu nyingi za kuonyesha umuhimu wa Quran kushuka kwa mfumo wa kidogo kidogo

Soma Zaidi...
Sababu za kushuka surat at Takaathur

Kuwa na tamaa huhitaji vitu vya watu si jambo jema. Ila kama tamaa hii itakuhamasisha na wewe kutafuta kitu hicho, kwa uwezo ambao Allah amekupa bila ha kuvuka mipaka yake, hili sio tatizo. Sura hii itakufundisha mengi

Soma Zaidi...
HUKUMU YA NUN SAKINA NA TNWIN

Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa

Soma Zaidi...
Je Qur-an ilikusanywa na kuandikwa katika msahafu wakati wa uongozi wa Abu-Bakr(r.a)

Je Qur-an ilikusanywa na kuandikwa katika msahafu wakati wa uongozi wa Abu-Bakr(r.

Soma Zaidi...
fadhila za sura kwenye quran

FADHILA ZA BAADHI YA SURA Umuhimu na ubora wa baadhi ya sura na aya.

Soma Zaidi...