picha

Swali langu ni hivi ,napata maumivu kwa mbali kwenye njia za mkojo pia napoteza ham na uwezo wa kushiriki tendo la ndoa kadiri siku zinavoenda je,hizi ni dalili za tezi dume?

Hivi umeshawahikujiuliza kuhusu tezi dume. Wacha nikujuze kitu kimoja, ni kuwa tezi dume huwapata watu kuanziamiaka 40 na kuendelea. Na ifahamike kuwa tezi dume sio busha ama ngiri maji. Pia itambulikekuwa rozi dumehutibika.

Swali: 

Swali langu ni hivi ,napata maumivu kwa mbali kwenye njia za mkojo pia napoteza ham na uwezo wa kushiriki tendo la ndoa kadiri siku zinavoenda je,hizi ni dalili za tezi dume na nina miaka 30?

 

Jibu

👉maumivu kwenyenjia ya mkojo ama baada ya kukokoa ama wakati wa kukojoa hizi ni katika dalili za UTI. 

 

👉hakikisha unapata vipimo hospitali kuthibitisha ugonjwa. 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1229

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 ai web app     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 kitabu cha Simulizi     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

Nini husababisha maumivu ya tumbo chini ya kitovu kwa wanawake na wanaume

Somo hili linakwenda kukueleza vitu vinavyosababisha maumivu ya tumbo chini ya kitovu

Soma Zaidi...
Ulevi wa kupindukia na afya ya akili.

​Ulevi wa kupindukia ni changamoto kubwa ya kiafya inayovuka mipaka ya kimwili na kuathiri kwa kiasi kikubwa afya ya akili. Makala haya yanachunguza uhusiano wa pande mbili kati ya matumizi mabaya ya pombe na matatizo ya afya ya akili, yakijadili sababu, dalili, na njia za kitabibu za kupata ahueni. Lengo ni kutoa ufahamu wa kina utakaosaidia jamii kutambua hatari mapema na kutafuta msaada unaostahili.

Soma Zaidi...
Madhara ya maumivu kwenye nyonga na kiuno.

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa matibabu kwenye nyonga na kiuno hayatafanyika.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa Uti wa Mgongo (Meningitis): Dalili za dharura.

Ugonjwa wa uti wa mgongo (meningitis) ni dharura ya kitabibu inayohitaji utambuzi na matibabu ya haraka. Makala haya yanachunguza kwa kina maana ya ugonjwa huu, visababishi vyake (bakteria, virusi, na fangasi), dalili hatarishi zinazohitaji huduma ya dharura, na njia za kujikinga. Lengo ni kutoa mwongozo wa kitaalamu kwa jamii ili kupunguza vifo na madhara ya kudumu yatokanayo na ugonjwa huu.

Soma Zaidi...
Kushiriki ngono na mtu aliye na VVU na UKIMWI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kushiriki ngono na mtu aliye na VVU na UKIMWI

Soma Zaidi...
Maradhi yatokanayo na fangasi

Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya maradhi yatokanayo na fangasi

Soma Zaidi...