Sababu za kuvimba na maumivu kwenye korodani moja au zote mbili
Post yetu ya Leo inaenda kutufundisha kuhusiana na uvimbe wa korodani moja au ambayo kitaalamu huitwa EPIDIDYMITIS. EPIDIDYMITIS ni ugonjwa unaoathiri mfumo wa kiume wa uzazi. Epididymis ni mrija (tube) uliyoko nyuma ya korodani ambayo mbegu za kiume
Sababu za kuvimba na maumivu makali kwenye korodani ;
1.kisonono ; huu ni ugonjwa wa zinaa ambao ugonjwa kwenye korodani.
2.chlamydia; ni wekundu ama maumivu kwenye mlango wa uume majeraha au kuwaka moto wakati wa kukojoa.
3.UTI sugu yaweza kusambaa kwenye tezi dume kuja kwenye mirija hii na kuleta maambukizi.
4.kupata jeraha kwenye korodani ; hii ni hutokea pale ambapo michubuko imetokea kwenye korodani na majeraha haya huleta usaha.
5.maambukizi ya TB kwenye uume; Kama mwanaume atakuwa ameathirika na virusi vya TB vikawa sugu huweza kusambaa na kusababisha korodani kuvimba na maumivu makali Sana.
6.mkojo kuingia kwenye mirija ya epididymis
Dalili zinazopelekea kupata uvimbe na maumivu kwenye korodani;
-Pumbu kuvimba na kubadilika rangi; hii ni korodani kuwa na usaha mausaha ya kivimbiana hupelekea maumivu makali Sana.
-kutokwa na uchafu kwenye uume
-kutoa shahawa zenye damu
-korodani kuwa na maumivu makali pale zitakaposhikwa.
-maumivu wakati wa kukojoa
-maumivu ya tumbo la chini au nyonga.
Vihatarishi vinavyosababisha maumivu na kuvimba kwa korodani
1.kuwa na wapenzi wengi m(sexual intercourse). mwanaume akiwa na wapenzi Zaid ya mmoja hupata maambukizi ya magonjwa mengi ikiwepo kuvimba na maumivu makali kwenye korodani.
2.kufanya tendo la ndoa bila kutumia kondomu
3.kuwa na magonjwa ya zinaa ambayo ni sugu kama kisonono na kaswende
4.kukua kwa tezi dume; ambayo huwapata zaidi walio na umri wa miaka 60 na huwakuendelea ni Mara chache Sana kuona wanaume chini ya umri anzia 40 akiwa na uvimbe wa korodani.
5.maambukizi sugu kwenye tezi dume Kama vile UTI na fangasi.
Mathara yanayosababisha maumivu na kuvimba kwa korodani
-ugumba
-kujaa kwa usaha
-ugonjwa wa epidydimo orchitis
Matibabu yanayo tibu uvimbe na maumivu kwenye korodani.
√Dawa; dawa zinazoweza kutibu ugonjwa huu ni dawa za magonjwa ya zinaa au UTI.
√upasuaji; Kama Pumbu zimevimbia usaha matibabu itakuwa ni upasuaji ili kuondoa uvimbe na maumivu makali kwenye korodani.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 ai web app 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Dalilili za homa ya manjano
posti hii inahusu dalili za Homa ya Manjano ni maambukizi ya virusi yanayoenezwa na aina fulani ya mbu. Maambukizi hayo ni ya kawaida zaidi na kuathiri wasafiri na wakazi wa maeneo hayo.
Soma Zaidi...Sababu za Maambukizi kwenye mifupa.
Post hii inahusu zaidi Maambukizi kwenye mifupa ambayo kwa kitaalamu huitwa Osteomyelitis, ni Maambukizi ambayo hutokea kwenye mifupa kwa sababu mbalimbali ambazo usababisha ugonjwa huu.
Soma Zaidi...Mtu anaye umwaaa UTI anaweza kuona siku zake?
Kutokuona siku zake mwanamke ni ishara kuwa kuna shida kwenye umfumo wa uzazi. Wakati mwingine kutokuona siku ni ishara ya baraka ya kupata mtoto. Ijapokuwa kuna wengine wanadiriki kutoa mimba kwa sababu zisizo za msingi. Je unadhani UTI inaweza kusababi
Soma Zaidi...Dalili za kuvunjika kwa nyonga
Kuvunjika kwa nyonga ni jeraha kubwa, na matatizo ambayo yanaweza kuhatarisha maisha. Hatari ya kupasuka kwa nyonga huongezeka na umri.
Soma Zaidi...Dalili na ishara za Ugonjwa wa akili.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa akili .
Soma Zaidi...Namna ya kujikinga na VVU/UKIMWI
Somo hili linakwenda kukueleza namna mbalimbali za kujikinga na VVU/UKIMWI
Soma Zaidi...