Post yetu ya Leo inaenda kutufundisha kuhusiana na uvimbe wa korodani moja au ambayo kitaalamu huitwa EPIDIDYMITIS. EPIDIDYMITIS ni ugonjwa unaoathiri mfumo wa kiume wa uzazi. Epididymis ni mrija (tube) uliyoko nyuma ya korodani ambayo mbegu za kiume
Sababu za kuvimba na maumivu makali kwenye korodani ;
1.kisonono ; huu ni ugonjwa wa zinaa ambao ugonjwa kwenye korodani.
2.chlamydia; ni wekundu ama maumivu kwenye mlango wa uume majeraha au kuwaka moto wakati wa kukojoa.
3.UTI sugu yaweza kusambaa kwenye tezi dume kuja kwenye mirija hii na kuleta maambukizi.
4.kupata jeraha kwenye korodani ; hii ni hutokea pale ambapo michubuko imetokea kwenye korodani na majeraha haya huleta usaha.
5.maambukizi ya TB kwenye uume; Kama mwanaume atakuwa ameathirika na virusi vya TB vikawa sugu huweza kusambaa na kusababisha korodani kuvimba na maumivu makali Sana.
6.mkojo kuingia kwenye mirija ya epididymis
Dalili zinazopelekea kupata uvimbe na maumivu kwenye korodani;
-Pumbu kuvimba na kubadilika rangi; hii ni korodani kuwa na usaha mausaha ya kivimbiana hupelekea maumivu makali Sana.
-kutokwa na uchafu kwenye uume
-kutoa shahawa zenye damu
-korodani kuwa na maumivu makali pale zitakaposhikwa.
-maumivu wakati wa kukojoa
-maumivu ya tumbo la chini au nyonga.
Vihatarishi vinavyosababisha maumivu na kuvimba kwa korodani
1.kuwa na wapenzi wengi m(sexual intercourse). mwanaume akiwa na wapenzi Zaid ya mmoja hupata maambukizi ya magonjwa mengi ikiwepo kuvimba na maumivu makali kwenye korodani.
2.kufanya tendo la ndoa bila kutumia kondomu
3.kuwa na magonjwa ya zinaa ambayo ni sugu kama kisonono na kaswende
4.kukua kwa tezi dume; ambayo huwapata zaidi walio na umri wa miaka 60 na huwakuendelea ni Mara chache Sana kuona wanaume chini ya umri anzia 40 akiwa na uvimbe wa korodani.
5.maambukizi sugu kwenye tezi dume Kama vile UTI na fangasi.
Mathara yanayosababisha maumivu na kuvimba kwa korodani
-ugumba
-kujaa kwa usaha
-ugonjwa wa epidydimo orchitis
Matibabu yanayo tibu uvimbe na maumivu kwenye korodani.
√Dawa; dawa zinazoweza kutibu ugonjwa huu ni dawa za magonjwa ya zinaa au UTI.
√upasuaji; Kama Pumbu zimevimbia usaha matibabu itakuwa ni upasuaji ili kuondoa uvimbe na maumivu makali kwenye korodani.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
posti hii inahusu dalili za Pua iliyovunjika, pia inaitwa fracture ya pua, ni kuvunjika au kupasuka kwa mfupa katika pua yako
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa inni, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye ugonjwa wa inni, Dalili zenyewe ni kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu sana kuhusu ugonjwa wa ebora. Ugonjwa huu usababishwa na virusi.Virusi hivyo husababisha kutokwa na damu nyingi mwilini kutokana na kupasuka kwa mishipa ya damu
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu presha ya kushuka na matibabu yake
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuharisha, kuharisha ni kitendo Cha kupitia kinyesi chenye maji inawezekana kina damu au kisichokuwa na damu.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kujibu swali la muulizaji. Kuhusu syyle za tendo la ndoa
Soma Zaidi...Kisonono ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria wa zinaa ambao wanaweza kuwaambukiza wanaume na wanawake. Kisonono mara nyingi huathiri urethra, puru au koo. Kwa wanawake, ugonjwa wa kisonono unaweza pia kuambukiza kizazi.
Soma Zaidi...Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili? Hili ni swali lililoulizwa kuhusu vidonda vya tumbo, kuwa vinakaa wapi katika mwili.
Soma Zaidi...Post hii inahusu Zaidi aina za ajali kwenye kifua,pamoja na kifua kuwa na sehemu mbalimbali na pia na ajali ambazo utokea Huwa za aina mbalimbali kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ngozi kuwa kavu si mbaya, lakini inaweza kusumbua na isipendeze, ikitengeneza mistari laini na Mikunjo.
Soma Zaidi...