Post yetu ya Leo inaenda kutufundisha kuhusiana na uvimbe wa korodani moja au ambayo kitaalamu huitwa EPIDIDYMITIS. EPIDIDYMITIS ni ugonjwa unaoathiri mfumo wa kiume wa uzazi. Epididymis ni mrija (tube) uliyoko nyuma ya korodani ambayo mbegu za kiume
Sababu za kuvimba na maumivu makali kwenye korodani ;
1.kisonono ; huu ni ugonjwa wa zinaa ambao ugonjwa kwenye korodani.
2.chlamydia; ni wekundu ama maumivu kwenye mlango wa uume majeraha au kuwaka moto wakati wa kukojoa.
3.UTI sugu yaweza kusambaa kwenye tezi dume kuja kwenye mirija hii na kuleta maambukizi.
4.kupata jeraha kwenye korodani ; hii ni hutokea pale ambapo michubuko imetokea kwenye korodani na majeraha haya huleta usaha.
5.maambukizi ya TB kwenye uume; Kama mwanaume atakuwa ameathirika na virusi vya TB vikawa sugu huweza kusambaa na kusababisha korodani kuvimba na maumivu makali Sana.
6.mkojo kuingia kwenye mirija ya epididymis
Dalili zinazopelekea kupata uvimbe na maumivu kwenye korodani;
-Pumbu kuvimba na kubadilika rangi; hii ni korodani kuwa na usaha mausaha ya kivimbiana hupelekea maumivu makali Sana.
-kutokwa na uchafu kwenye uume
-kutoa shahawa zenye damu
-korodani kuwa na maumivu makali pale zitakaposhikwa.
-maumivu wakati wa kukojoa
-maumivu ya tumbo la chini au nyonga.
Vihatarishi vinavyosababisha maumivu na kuvimba kwa korodani
1.kuwa na wapenzi wengi m(sexual intercourse). mwanaume akiwa na wapenzi Zaid ya mmoja hupata maambukizi ya magonjwa mengi ikiwepo kuvimba na maumivu makali kwenye korodani.
2.kufanya tendo la ndoa bila kutumia kondomu
3.kuwa na magonjwa ya zinaa ambayo ni sugu kama kisonono na kaswende
4.kukua kwa tezi dume; ambayo huwapata zaidi walio na umri wa miaka 60 na huwakuendelea ni Mara chache Sana kuona wanaume chini ya umri anzia 40 akiwa na uvimbe wa korodani.
5.maambukizi sugu kwenye tezi dume Kama vile UTI na fangasi.
Mathara yanayosababisha maumivu na kuvimba kwa korodani
-ugumba
-kujaa kwa usaha
-ugonjwa wa epidydimo orchitis
Matibabu yanayo tibu uvimbe na maumivu kwenye korodani.
√Dawa; dawa zinazoweza kutibu ugonjwa huu ni dawa za magonjwa ya zinaa au UTI.
√upasuaji; Kama Pumbu zimevimbia usaha matibabu itakuwa ni upasuaji ili kuondoa uvimbe na maumivu makali kwenye korodani.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi dalili za jeraha kali kwenye ubongo, ni majeraha ambayo utokea kwenye ubongo pale ambapo mtu anapata ajali au amepigwa na kitu chochote kigumu kichwni, zifuatazo ni dalili za jeraha kali kwenye ubongo
Soma Zaidi...Madonda ya tumbo ni ugonjwa unaotokana na kuwepo kwa vidonda kwenye Koo, tumboni na kwenye utumbo mdogo
Soma Zaidi...Ni ngumu kujuwa vidonda vya tumbo uhakika wake bila ya kupata vipimo. Unajuwa ni kwa nini, ni kwa sababu maumivu ya tumbo ni dalili ya shida nyingi za kiafya kama ujauzito, mimba, typhod, na shida kwenye unfumo wa chakula.
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha dalili za ugonjwa wa Vidonda vya kitanda (bed sores)mara nyingi hukua kwenye ngozi ambayo hufunika sehemu za mifupa ya mwili, kama vile visigino, vifundoni, viuno. Vidonda vya kitanda vinaweza kukua haraka na mara nyingi ni vigumu
Soma Zaidi...Ugonjwa wa bakteria unaoambukizwa na kupe ambao husababisha dalili kama za mafua. Dalili na ishara za Ugonjwa huu ni kati ya kuumwa na mwili kidogo hadi homa kali na kwa kawaida huonekana ndani ya wiki moja au mbili baada ya kuumwa na kupe. Njia bora ya
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa
Soma Zaidi...Kaika post hii utakwenda kujifunz akuhusu dalili za homa ya ini. Dalili hizi sio lazima zitokee zote. Zinaweza zikatokea baadhi tu na ikatosha kuonjesha kuw auna homa ya ini.
Soma Zaidi...tambuwa chanzo na dalili za UTI na tiba yake, pamoja na njia za kupambana na UTI
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukupa majibu ya maswali mengi kuhusu VVU na UKIMWI. tutakwenda kuona kwa ufupi historian a chanzo cha VVU na UKIMWI. hatuwa za maambukizi ya VVU na ukimwi na dalili zake za kuonekana toka kupata maambukizi. Pia hapa utajifunza namna
Soma Zaidi...Je unahitaji kujuwa kama umepata ujauzito baada ya kufanya tendo la ndoa? hakika sio rahisi ila kama utakuwa makini utaweza.
Soma Zaidi...