BONGOCLASS STAFF MEMBERS
RAJABU ATHUMAN BA.
CHAIR MAN
RAJABU ATHUMAN
BA.ED UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM (UDSM)
Amezaliwa mnamo 1992, mkoani Tanga-Tanzania, ni mwalimu na pia ni muelimishaji
katika maswala ya afya na ushauri. tofauti ya kuwa mwalimu pia ana taaluma za
IT kama kutengeneza website, software na graphic design.
›Soma zaidi
VICE-CHAIRMAN

SADAMU ABAS
BSWS UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM (UDSM)
Amezaliwa mnamo 1993, mkoani Pwani-Tanzania, ni mtaalamu katika IT, amesomma Bachelor of science with computer science.
Pia ni system developer, na mtaalamu wa kudisain graphics. Ni mtoaji wa ushauri
kuhusu teknolojia
›Soma zaidi
SECRETARY
HASSANI ISA
NURSE FROM KIWOVAC NURSING TRAINING CENTRE
Amezaliwa mnamo 1992, mkoani Tanga-Tanzania, anataaluma ya Nursing na pia ni mtaalamu
katika kutunga na kughani mashairi. Ana mkanda mweusi wa gujuriew na ni mrukaji wa sarakasi. Ni mtoaji
ushauri katika afya na maradhi.
›Soma zaidi
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 web hosting 👉6 ai web app
Post zinazofanana:
WELCOME TO OUR LIBRARY
Karibu sana Kwenye Maktaba Yetu Sasa umefika kwenye maktaba ya vitabu.
Soma Zaidi...Vitabu
VITABU: Karibu kwenye Maktaba yetu ya vitabu, hapa utaweza kusoma na kudownload vitabu vyetu bure.
Soma Zaidi...Ni kwa namna gani nyoka husikia ijapokuwa hana masikio
Ingawa nyoka hawana masikio ya nje kama binadamu na wanyama wengine, bado wana uwezo wa kusikia. Hutumia mifupa ya kichwa na viungo vya ndani kutambua mitetemo kutoka ardhini na mawimbi ya sauti yenye mzunguko mdogo.
Soma Zaidi...Kitabu Cha ayansi ya viumbe
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...