Bongoclass
Bongoclass ni darasa la kushiriika akili na maarifa kutoka kwa watu mbalimbali katika kutumia fursa zilizopo ili kuzalisha kipato na kuleta maendeleo katika jami
VITABU
Kutana na waandishi wenzio wa vitabu, riwaya na tamthilia. Jifunze namna ya kusambaza vitabu online na kupata pesa kupitia kazi yako. Pata nafasi ya kusambaza na kukuza kipaji na biashara yako. Jiunge na mamia ya waandishi wa kibongo wanaotumia lugha ya kiswahili ili kuwafikia wazawa na watumiaji wa lugha ya kiswahili.
BIASHARA
Kutana na wafanyabiashara wenzio hapa ili tuweze kujadili mambo kadhaa. zijuwe namna za kupata pesa ukiwa kwako kama facebook, youtube, instagram WhatsApp na kwa kutumia blog, website au makala. Kutana na wataalamu hapa upate msaada zaidi. Njoo sasa tufanye biashara pamoja ama mmoja mmoja, ukiwa na wajanja wenzio hapa
APPS
Download Apps zetu upate kufaidika na makala mbalimbali kutoka kwetu. Pata fursa ya kukutana na na wataalamu wa Android na ujifunze mengi. Toa oda ya kutengenezewa App kwa ajili ya kampuni yako, biashara yako ama kutangaza jina lako, wasiliana nasi sasa kwa huduma bora na za uhakika. Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 ai web app 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 web hosting 👉6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
WIKIBONGO NI NINI?.
Bila shaka umekuwa ukijiuliza sana kuhusu wiki bongo hasa ni kitu gani. Hapa upo mahala sahihi. nitakwenda kukueleza hasa ni nini maana ya hili neno "wikibongo".
Soma Zaidi...Njia za Kutatua Migogoro Katika Ndoa
igogoro katika ndoa ni jambo lisiloepukika kutokana na ukweli kuwa wanandoa wawili ni watu tofauti wenye malezi, fikra, na matarajio tofauti. Hata hivyo, tofauti kati ya ndoa zinazostawi na zile zinazoshindwa si ukosefu wa migogoro, bali ni jinsi wanandoa wanavyoitatua. Makala hii inaangazia mbinu za kivitendo za kutatua migogoro ili kudumisha upendo na heshima.
Soma Zaidi...nataka niunganishe namba yangu kwa mtu mwingne ili kama kuna sms nimetumiwa ianzie kwa huyo mtu
Ikiwa nataka niunganishe namb yangu kwa mtu mwingne il kama kuna sms nime2miwa ianzie kwa huyo mtu nifanyeje?
Soma Zaidi...MAAJABU NA NGUZU ZA TEMBO
TEMBO Tembo ni katika wanyama wa porini na ndiye mnyama mkubwa kuliko wote.
Soma Zaidi...