nataka niunganishe namba yangu kwa mtu mwingne ili kama kuna sms nimetumiwa ianzie kwa huyo mtu

Ikiwa nataka niunganishe namb yangu kwa mtu mwingne il kama kuna sms nime2miwa ianzie kwa huyo mtu nifanyeje?

nataka niunganishe namba yangu kwa mtu mwingne ili kama kuna sms nimetumiwa ianzie kwa huyo mtu

Ikiwa nataka niunganishe namb yangu kwa mtu mwingne il kama kuna sms nime2miwa ianzie kwa huyo mtu nifanyeje?



Namba ya swali 021

Unayo computer?



Namba ya swali 021

Hapana nina sim ya kawaida (sio smart)



Namba ya swali 021

Ok kwa ufupi ni kuwa hiyo huduma nibya gharama, pia ni siri ambayo inaweza hata kukufungisha. Na wengi wanaodai kutoa huduma hiyo ni matapeli. Na wala usipite taabu sana kutafuta hii huduma. Kwani walionayo ni wachache na wanayoa kwa siri. Ila kama ungelikuwa unayo pc ningekupa kaujanja flani



Namba ya swali 021

Ahaa, tatzo cna pc, nina simu ya kawaida ya battan



Namba ya swali 021

Na kwa kutumia call divert na call fowading je?



Namba ya swali 021

Hizi haziwezi ku divate sms



Namba ya swali 021

Naweza kufanyaje?



Namba ya swali 021

Ungelikuwa na PC kina App inaitwa might text ukiiweka kwenye slimu na kwwbye pc. Basi hiyo simu ikiwa online sms zinawenda kwenye pc.... Togautibna hapo, sina msaasa zaidi. Lamsa endelea kuwatafuta wanaotoa huduma hii, ikankuwa makini wwnhinni matapeli, na ni hatari pia



Namba ya swali 021

Kumbe hapo ntakuw nimeshindw, jap imefka nusu



Namba ya swali 021
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Mengineyo Main: Jifunze File: Download PDF Views 1423

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Kitau cha Fiqh    πŸ‘‰2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    πŸ‘‰3 Simulizi za Hadithi Audio    πŸ‘‰4 Madrasa kiganjani    πŸ‘‰5 kitabu cha Simulizi    πŸ‘‰6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Buibui hupuruka ijapokuwa hana mbawa.

Nataka nikufundishe moja katika maajabu ya mdudu Buibui kwa lugha ya kimombo spider.

Soma Zaidi...
More

Bila shaka umefurahishwa na huduma zetu, Je unataka huduma zaidi, Bofya kityfe cha Open hapo chini.

Soma Zaidi...
Cheetah

Posti hii inakwenda kukupa sifa za mnyama cheetah

Soma Zaidi...
THE DESTRUCTION OF THE ELEPHANT ARMY IN YEAR 570 AD.

This is the history of the attempt to destroy the city of Mecca and to destroy its people and destroy it in the history of the World. One leader, known as Abrah, organized a huge army to destroy Al-Qa'aba

Soma Zaidi...
Kitabu Cha Contact

Unaweza kuwasiliana nasi kwenye mitandao ya kijamii, kwa kutumia jina la Bongclass.

Soma Zaidi...
WIKIBONGO NI NINI?.

Bila shaka umekuwa ukijiuliza sana kuhusu wiki bongo hasa ni kitu gani. Hapa upo mahala sahihi. nitakwenda kukueleza hasa ni nini maana ya hili neno "wikibongo".

Soma Zaidi...
Historia fupi ya kuingia kwa wakoloni Tanzania

Hapa utakwenda kujifunza namna ambavyo ukoloni uliingia Tanzania na vipindi vyake. Utajifunza hatuwa ambazo ukoloni uliweza kupiti na hatimay kuitawala Tanzania

Soma Zaidi...
ZOEZI

Zoezi laΒ 1 (a) Ainisha maana ya sunnah kilugha na kisheria.

Soma Zaidi...
TUNAKUTAKIENI RANADHANI MUBARAKA

Wikibongo inawatakia waislamu wote heri ya mfungo wa ramadhaji

Soma Zaidi...
Samaki aina ya salmon

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sifa za samaki aina ya salmon

Soma Zaidi...