nataka niunganishe namba yangu kwa mtu mwingne ili kama kuna sms nimetumiwa ianzie kwa huyo mtu

Ikiwa nataka niunganishe namb yangu kwa mtu mwingne il kama kuna sms nime2miwa ianzie kwa huyo mtu nifanyeje?

nataka niunganishe namba yangu kwa mtu mwingne ili kama kuna sms nimetumiwa ianzie kwa huyo mtu

Ikiwa nataka niunganishe namb yangu kwa mtu mwingne il kama kuna sms nime2miwa ianzie kwa huyo mtu nifanyeje?



Namba ya swali 021

Unayo computer?



Namba ya swali 021

Hapana nina sim ya kawaida (sio smart)



Namba ya swali 021

Ok kwa ufupi ni kuwa hiyo huduma nibya gharama, pia ni siri ambayo inaweza hata kukufungisha. Na wengi wanaodai kutoa huduma hiyo ni matapeli. Na wala usipite taabu sana kutafuta hii huduma. Kwani walionayo ni wachache na wanayoa kwa siri. Ila kama ungelikuwa unayo pc ningekupa kaujanja flani



Namba ya swali 021

Ahaa, tatzo cna pc, nina simu ya kawaida ya battan



Namba ya swali 021

Na kwa kutumia call divert na call fowading je?



Namba ya swali 021

Hizi haziwezi ku divate sms



Namba ya swali 021

Naweza kufanyaje?



Namba ya swali 021

Ungelikuwa na PC kina App inaitwa might text ukiiweka kwenye slimu na kwwbye pc. Basi hiyo simu ikiwa online sms zinawenda kwenye pc.... Togautibna hapo, sina msaasa zaidi. Lamsa endelea kuwatafuta wanaotoa huduma hii, ikankuwa makini wwnhinni matapeli, na ni hatari pia



Namba ya swali 021

Kumbe hapo ntakuw nimeshindw, jap imefka nusu



Namba ya swali 021

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Mengineyo Main: Jifunze File: Download PDF Views 1199

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Kitabu Cha

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
Our Privay police

At Bongoclass, accessible from https://www.

Soma Zaidi...
Bezoa goat (mbuzi pori)

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sifa za mnyama bezoa goat (mbuzi pori)

Soma Zaidi...
Promo

Kama wewe ni Muandishi mzuri za hadithi au makala za kutoa elimu kwa watu na unataka kazi yako iwafikie watu wengi, au unataka kazi yako iweze kukuingizia kipato, Bongoclass ndio mtatuzi wako sasa.

Soma Zaidi...
MAAJABU NA NGUZU ZA TEMBO

TEMBO Tembo ni katika wanyama wa porini na ndiye mnyama mkubwa kuliko wote.

Soma Zaidi...
ABOUT BONGOCLASS

learn English Vocabulary

Soma Zaidi...
Subscribe

Ingiza taarifa zako hapo chini uweze kupata Update zetu.

Soma Zaidi...