Menu



Dalili za fangasi uken

Posti hii inahusu zaidi dalili za fangasi uken, hizi ni baadhi ya dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la fangasi uken.

Dalili za fangasi ukeni

1. Kuwasha sehemu za Siri

Hii ni dalili mojawapo kwa mtu Mwenye tatizo la fangasi ukeni, utokea pale ambapo wadudu wanaosababisha fangusi usababisha michubuko sehemu za Siri na pale ikitokea majimaji kugusa sehemu za maambukizi mtu uhisi kuwasha sehemu za Siri.

 

2. Maumivu makali wakati wa kujamiiana.

Hali hii utokea pale ambapo maambukizi yakisha enea sehemu mbalimbali za via vya uzazi maumivu makali wakati wa kujamiiana usababishwa na msuguano wakati wa kujamiiana na hivyo maumivu utokea wakati wa kujamiiana.

 

3.Kuhisi hali ya kuwaka moto hasa wakati wa kumaliza kujamiiana, hii hali utokea pale baada ya kujamiiana hii ni kwa  sababu ya msuguano ambao utokea Kati ya sehemu ya maambukizi na uume kwa hiyo baada ya kujamiiana mtu usikia moto kuwaka kwenye sehemu za Siri.

 

4.Vidonda utokea ukeni.

Mtu mwenye matatizo ya fungasi ukeni huwa na matatizo ya vidonda ukeni, hali hii utokea kwa sababu ya wadudu walioshambulia sehemu za Siri   usababisha kinga ya mwili kupungua na hatimaye kuenea kwa vidonda sehemu za Siri.

 

5. Kuvimba sehemu za Siri na rangi nyekundu utokea katika mdoma wa sehemu za Siri.

Hali hii utokea kwa sababu ya maambukizi kwenye sehemu za Siri, ambapo wadudu ushambulia kwa kiwango kikubwa kwenye sehemu ya nje ya mdomo wa uke na kubadili rangi na kuwa nyekundu hali hii uambatana na kuvimba sehemu za ukeni kwa sababu ya maambukizi.

 

6. Kutokwa na uchafu kwenye sehemu za Siri.

Mtu mwenye matatizo ya fangasi ukeni daima utokwa na maji maji meupe ukeni hii ni kwa sababu ya maambukizi kwenye uke pale ambapo wadudu ushambulia sehemu mbalimbali na kusababisha majimaji mazito na meupe kutokea.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2084

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Dalili na ishara za anemia ya minyoo

Posti hii inshusiana na dalili za anemia ya minyoo

Soma Zaidi...
MALARIA INATOKEAJE? (Namna ambavyo malaria inatokea, inaanza na inavyoathiri afya)

Kama tulivyokwisha kuona kuwa malaria inaweza kuambukizwa kwa kung'atwa na mbu aina ya anophelesi.

Soma Zaidi...
Fangasi wanaosababisha mapunye dalili zao na jinsi ya kupambana nao

Fangasi hawa ni maarufu sana kwa mapunye ya kichwani ama kwenye ngozi mikononi ama miguuni.

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia uwepo wa ugonjwa wa Bawasili.

Posti hii inahusu zaidi njia au mbinu ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuepuka kuwepo kwa ugonjwa wa Bawasili kwenye jamii, hizi ni njia za awali za kupambana na kuwepo kwa Ugonjwa wa Bawasili.

Soma Zaidi...
Kumsaidia sliyepungukiwa na damu kwa sababu ya minyoo

Posti hii inahusu namna ya kumsaidia mgonjwa aliyepungukiwa na damu kwa sababu ya minyoo.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa kiseyeye na dalili zake

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa kiseyeye na dalili zake

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa kisonono

Kisonono ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria wa zinaa ambao wanaweza kuwaambukiza wanaume na wanawake. Kisonono mara nyingi huathiri urethra, puru au koo. Kwa wanawake, ugonjwa wa kisonono unaweza pia kuambukiza kizazi.

Soma Zaidi...
Kifuwa kinaniuma katikati kinaambatana nakichwa

Maumivu ya kifuwa yanaweza kutokea baada ya kubeba kitu kizito, ama kupata mashambulizi ya vijidudu vya maradhi. maumivu ya viungo na hata vidonda vya tumbo. Lakini sasa umesha wahi fikiria maumivu ya kifuwa kwa katikati?

Soma Zaidi...
Ijuwe saratani ya kibofu cha nyongo

Makala hii inakwenda kukufahamishavkuhusu saratani yavkibifu cha mkojo.

Soma Zaidi...
Nini kinasababisha kizunguzungu?

Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za kizunguzungu zinazotekea katika mwili wa binadamu

Soma Zaidi...