Posti hii inahusu zaidi dalili za fangasi uken, hizi ni baadhi ya dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la fangasi uken.
Dalili za fangasi ukeni
1. Kuwasha sehemu za Siri
Hii ni dalili mojawapo kwa mtu Mwenye tatizo la fangasi ukeni, utokea pale ambapo wadudu wanaosababisha fangusi usababisha michubuko sehemu za Siri na pale ikitokea majimaji kugusa sehemu za maambukizi mtu uhisi kuwasha sehemu za Siri.
2. Maumivu makali wakati wa kujamiiana.
Hali hii utokea pale ambapo maambukizi yakisha enea sehemu mbalimbali za via vya uzazi maumivu makali wakati wa kujamiiana usababishwa na msuguano wakati wa kujamiiana na hivyo maumivu utokea wakati wa kujamiiana.
3.Kuhisi hali ya kuwaka moto hasa wakati wa kumaliza kujamiiana, hii hali utokea pale baada ya kujamiiana hii ni kwa sababu ya msuguano ambao utokea Kati ya sehemu ya maambukizi na uume kwa hiyo baada ya kujamiiana mtu usikia moto kuwaka kwenye sehemu za Siri.
4.Vidonda utokea ukeni.
Mtu mwenye matatizo ya fungasi ukeni huwa na matatizo ya vidonda ukeni, hali hii utokea kwa sababu ya wadudu walioshambulia sehemu za Siri usababisha kinga ya mwili kupungua na hatimaye kuenea kwa vidonda sehemu za Siri.
5. Kuvimba sehemu za Siri na rangi nyekundu utokea katika mdoma wa sehemu za Siri.
Hali hii utokea kwa sababu ya maambukizi kwenye sehemu za Siri, ambapo wadudu ushambulia kwa kiwango kikubwa kwenye sehemu ya nje ya mdomo wa uke na kubadili rangi na kuwa nyekundu hali hii uambatana na kuvimba sehemu za ukeni kwa sababu ya maambukizi.
6. Kutokwa na uchafu kwenye sehemu za Siri.
Mtu mwenye matatizo ya fangasi ukeni daima utokwa na maji maji meupe ukeni hii ni kwa sababu ya maambukizi kwenye uke pale ambapo wadudu ushambulia sehemu mbalimbali na kusababisha majimaji mazito na meupe kutokea.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Haya ni masharti ya mwenye vidonda vya tumbo. Mgojwa wa vidonda vya hatumbo hatakiwi kufanya yafuatayo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za maambukizi ya Homa ya inni, Homa ya inni usababishwa na virusi viitwavyo Hepatitis B, huwapata watu wote hasa wale wenye umri chini ya miaka mitano.
Soma Zaidi...Ugonjwa wa degedege ni ugonjwa unaowapata sana watoto chini ya miaka mitano ingawa na watu wazima wanapatwa na ugonjwa huo
Soma Zaidi...Hivi huwa unachunguza choo chako? ivi huwa kinazama kwenye maji ama kinaelea? Kila damu ama malendalenda, je ni cheusi sana na kina harufu kali sana.
Soma Zaidi...Dondakoo ni ugonjwa mbaya unaosababishwa na sumu inayotengenezwa na bakteria. Husababisha mipako nene nyuma ya pua au koo ambayo inafanya kuwa ngumu kupumua au kumeza. Inaweza kuwa mauti.
Soma Zaidi...Maumivu ya tumbo yanaweza kusababishwa na mambo mengi ikiwemo typhod, vidonda vya tumbo na shida nyingine kwenye mfumo wa chakula.
Soma Zaidi...Maumivu ya kifua huja kwa aina nyingi, kuanzia kuchomwa na kisu hadi kuuma kidogo. Baadhi ya Maumivu ya kifua yanafafanuliwa kama kuponda kuungua. Katika baadhi ya matukio, maumivu husafiri juu ya shingo, hadi kwenye taya.
Soma Zaidi...Malaria husababishwa na vijidudu vidogo parasite wanaojulikana kama plasmodium. Vijidudu hivi hubebwa na mbu aina ya anophelesi. Kuna ina nyingi za plasmodium lakini aina 5 tu ndizo husababisha malaria
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula hatari kwa mwenye vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa na Ugonjwa unaohusiana na joto ambao hujulikana Kama Anhidrosis ni kutoweza jasho kawaida. Usipotoa jasho mwili wako hauwezi kujipoza, jambo ambalo linaweza kusababisha joto kupita. wakati mwingine inaweza k
Soma Zaidi...