picha

Kichwa kinaniuma mbele sielewi nini

Zijuwe sababu za kuumwa nankichwa upande mmoja wa kichwa.

Kama unasumbuliwa na maumivu haya basi huwenda una moja kati ya haya:-

1. Hunywi maji kwa wingi

2. uchovu na usingizi

3. stress na misongo ya nawazo

4. Huwenda ni kwa sababu ya hali ya hewa kama jua ni kali

5. Kama unasumbuliwa na presha

 

Je nini ufanye

1. Tumia dawanza maumivu

2. Pata muda wa kutosha kulala

3. Kunywa maji mengi

4. Fika hospitali

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1545

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 Dua za Mitume na Manabii     πŸ‘‰2 kitabu cha Simulizi     πŸ‘‰3 Bongolite - Game zone - Play free game     πŸ‘‰4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     πŸ‘‰5 Kitau cha Fiqh     πŸ‘‰6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

Vyakula 6 vya Asili Vinavyoongeza Nguvu za Kiume

Muhtasari (Executive Summary) ​Upungufu wa nguvu za kiume ni changamoto inayowasumbua wanaume wengi, mara nyingi ikisababishwa na mtindo wa maisha, msongo wa mawazo, au mzunguko mdogo wa damu. Badala ya kukimbilia dawa za kemikali zenye madhara, makala haya yanachambua vyakula asili vinavyosaidia kuboresha mzunguko wa damu, kuongeza vichocheo vya testosterone, na kurudisha nishati mwilini.

Soma Zaidi...
Fahamu ugonjwa wa Varicose vein

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa vericose veini, hili ni tatizo ambalo utokea katika mzunguko wa damu hasa kwenye miguu.

Soma Zaidi...
​Dalili za UKIMWI Huchukua Muda Gani Kuonekana?

Watu wengi hujiuliza ni muda gani huchukua kwa mtu aliyeambukizwa virusi vya HIV kuanza kuonyesha dalili za UKIMWI. Makala hii inafafanua hatua tatu za maambukizi ya HIV, muda unaochukua kwa dalili kujitokeza, na kwa nini kupima ndiyo njia pekee ya uhakika ya kujua afya yako.

Soma Zaidi...
Samaani nilikuwa nauriza ninasumburiwa na fanga ya mdomoni naomba ushauri

Fangasi mdomoni wanaweza kuwa tatizo endapo hawatatibiwa mapema. Wanaweza kuongeza majeraha kwenye kinywa.

Soma Zaidi...
Dalili za Maambukizi kwenye mifupa

Posti hii inahusu zaidi dalili za Maambukizi kwenye mifupa, ni dalili ambazo ukionyesha kwa mtu mwenye Maambukizi kwenye mifupa.

Soma Zaidi...
Dalilili za saratani ya utumbo

Saratani ya Utumbo ni Saratani ya utumbo mpana (koloni), sehemu ya chini ya mfumo wako wa usagaji chakula. Kwa pamoja, mara nyingi hujulikana kama Saratani ya utumbo mpana. Visa vingi vya Saratani ya utumbo mpana huanza

Soma Zaidi...