Kichwa kinaniuma mbele sielewi nini
Zijuwe sababu za kuumwa nankichwa upande mmoja wa kichwa.
Kama unasumbuliwa na maumivu haya basi huwenda una moja kati ya haya:-
1. Hunywi maji kwa wingi
2. uchovu na usingizi
3. stress na misongo ya nawazo
4. Huwenda ni kwa sababu ya hali ya hewa kama jua ni kali
5. Kama unasumbuliwa na presha
Je nini ufanye
1. Tumia dawanza maumivu
2. Pata muda wa kutosha kulala
3. Kunywa maji mengi
4. Fika hospitali
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Bongolite - Game zone - Play free game π2 Kitau cha Fiqh π3 Dua za Mitume na Manabii π4 web hosting π5 Kitabu cha Afya π6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
Ishara na dalilili za Mtoto mwenye kuhara
postii hii inazungumzia dalilili za Mtoto mwenye Kuhara. Kuhara maana yake ni kutokwa na kinyesi chenye maji matatu au zaidi, pamoja na au bila damu ndani ya masaa 24. Kuhara kunaweza kusababishwa na maambukizo ya bakteria na virusi, ugonjwa wa matumb
Soma Zaidi...Matatizo ya kisaikolojia baada ya kujifungua (Postpartum Depression).
Kipindi cha baada ya kujifungua ni wakati wa mabadiliko makubwa ya kimwili na kihisia. Makala haya yanalenga kuelimisha kuhusu Postpartum Depression (PPD)βhali ya huzuni kali na msongo inayowapata akina mama wengi. Tutachambua dalili, sababu, na njia muhimu za kutafuta msaada ili kuhakikisha afya ya akili ya mama na ustawi wa mtoto.
Soma Zaidi...βSababu za Mtoto Kukosa Hamu ya Kula
Kukosa hamu ya kula kwa watoto ni changamoto inayowapa hofu wazazi wengi. Post hii inaangazia sababu mbalimbali za tatizo hili, kuanzia mabadiliko ya ukuaji, maambukizi ya magonjwa, hadi mambo ya kisaikolojia, ili kuwasaidia wazazi kuelewa nini cha kufanya.
Soma Zaidi...Kujiamini na jinsi ya kuondoa hofu ya kushindwa.
Hofu ya kushindwa ni moja ya vikwazo vikubwa vinavyozuia watu wengi kufikia malengo na ndoto zao. Inatufanya tubaki kwenye maeneo tuliyoyazoea (comfort zone) na kuogopa kujaribu fursa mpya. Makala haya yanachambua jinsi hofu hii inavyofanya kazi na kukupa mbinu za kisaikolojia za kukusaidia kujenga ujasiri na kubadili mtazamo wako kuelekea mafanikio makubwa.
Soma Zaidi...Maambukizi ya tezi za mate
Psti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa Maambukizi ya tezi za mate ambao hujulikana Kama MABUSHA (mumps) ni maambukizi ya virusi ambayo kimsingi huathiri tezi mojawapo ya jozi tatu za tezi za mate zinazotoa mate, zilizo chini na mbele ya masikio
Soma Zaidi...Dalili za madonda ya koo
Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya koo, ni ugonjwa unaoshambulia sana sehemu ya koo la hewa, na na huwa na dalili zake kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...