Nini hutokea unapokuwa kwenye ndoto ukiwa usingizini umelala

Ndoto ni moja ya mamba ambayo yanatokea mwanadamu na sayansi haina uelewa hasa nini hutokea. Hata hivyo yapo machache tafiti za kisayansi zinatueleza.

Kuhusu ndoto,  tafiti za kisayansi zinasema kuwa: 

πŸ‘Œ Ubongo umegawanyika katika sehemu tatu wakati unapokuwa umelala usingizi na ukaanza kuota ndoto. 

 

😴 Sehemu ya kwanza kutengeneza stori, mara nyingi stori hizi hutokana na maisha ya kawaida kama kusikia,  kuona mwenyewe,  kuhisi ama kujuwa,  na hata kutamani. 

 

πŸ˜‹Sehemu nyingine ya ubongo huwa ni muhusika wa hiyo ndoto. Sehemu hii huleta furaha ma watoto ni mpya kufurahisha,  na hutishika,  huhuzunika,  hushangaa na zaidi. 

 

πŸ˜‚ Ni sawa na kusema kama sehemu moja ya ubongo inasimulia na nyingine inasikiliza. Kwahiyo sehemu hizi mbili zinashirikiana. 

 

😁 Sehemu ya tatu ni sehemu inayohusika na kufikiri na kutenda. Sehemu hii wakati upo kwenye ndoto inakuwa imelala yaani haipo kazini. 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Afya File: Download PDF Views 901

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Simulizi za Hadithi Audio    πŸ‘‰2 Kitabu cha Afya    πŸ‘‰3 kitabu cha Simulizi    πŸ‘‰4 Kitau cha Fiqh    πŸ‘‰5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    πŸ‘‰6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

kitabu cha matunda

Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho

Soma Zaidi...
MARADHI YASABABISHWAYO NA HALI ZA MAISHA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Nina shida hiyo maumivu chini ya tumbo upande wa kushoto na mkojo wa kahawia sana na unatoa arufu

Kama unapatwa na maumivu ya tumbo na ilhali mkojo ni mchafu, ama una harufu sana, basi post hii ni kwa ajili yako.

Soma Zaidi...
ZIJUWE NYANJA KUU 6 ZA AFYA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Namna ambavyo usingizi unasaidia kuimarisha afya ya ubongo

Kwa kuimarisha afya ya ubongo unaweza kuimarisha kumbukumbu, Kinga za mwili na mengineyo mengi ambayo utajifunza kwenye makala hii

Soma Zaidi...
AINA ZA VYAKULA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
KWA NINI MBU HAWEZI KUAMBUKIZA HIV (UKIMWI)

Tumekusha kuona na kujua kuwa mbu anaweza kuambukiza maradhi mengi na ya virusi kama zika.

Soma Zaidi...