Nini hutokea unapokuwa kwenye ndoto ukiwa usingizini umelala

Ndoto ni moja ya mamba ambayo yanatokea mwanadamu na sayansi haina uelewa hasa nini hutokea. Hata hivyo yapo machache tafiti za kisayansi zinatueleza.

Kuhusu ndoto,  tafiti za kisayansi zinasema kuwa: 

πŸ‘Œ Ubongo umegawanyika katika sehemu tatu wakati unapokuwa umelala usingizi na ukaanza kuota ndoto. 

 

😴 Sehemu ya kwanza kutengeneza stori, mara nyingi stori hizi hutokana na maisha ya kawaida kama kusikia,  kuona mwenyewe,  kuhisi ama kujuwa,  na hata kutamani. 

 

πŸ˜‹Sehemu nyingine ya ubongo huwa ni muhusika wa hiyo ndoto. Sehemu hii huleta furaha ma watoto ni mpya kufurahisha,  na hutishika,  huhuzunika,  hushangaa na zaidi. 

 

πŸ˜‚ Ni sawa na kusema kama sehemu moja ya ubongo inasimulia na nyingine inasikiliza. Kwahiyo sehemu hizi mbili zinashirikiana. 

 

😁 Sehemu ya tatu ni sehemu inayohusika na kufikiri na kutenda. Sehemu hii wakati upo kwenye ndoto inakuwa imelala yaani haipo kazini. 

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Afya File: Download PDF Views 762

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Simulizi za Hadithi Audio    πŸ‘‰2 Kitabu cha Afya    πŸ‘‰3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    πŸ‘‰4 kitabu cha Simulizi    πŸ‘‰5 Kitau cha Fiqh    πŸ‘‰6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

YANAYOATHIRI AFYA KUTOKANA NA VIZAZI, FAMILIA NA KURITHI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
dondoo 100 za Afya

Basi tambua haya;- 61.

Soma Zaidi...
DONDOO 100 ZA AFYA

Pata dondoo 100 za Afya

Soma Zaidi...
CHUKUWA TAHADHARI HIZI KWENYE MAZINGIRA ILI KULINDA AFYA YAKO

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
SHUGHULI ZA KILA SIKU

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Kitabu cha Afya 02

Kama tulivyosema hapo juu kuwa afya ni kuwa mzima kimwili na kiakili.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kufunga kusayansi

Katika somo hili utakwenda kuzinuwa faida za kufunga kitaalamu. Hapa hatutaangalia mtazamo wa dini yeyote

Soma Zaidi...
darasa la lishe

Jifunze mengi kuhusu afya na lishe, ujuwe utaratibu wa lishe

Soma Zaidi...
MAANA YA AFYA, ni nani aliye na afya?

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...