Watu walio hatarini kupata UTI
Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya makunfi ya watu walio hatarini kupata UTI
Watu hawa wapo hatarini kupatwa na UTI.
1.Kuwa mwanamke. Wanawake wapo hatarini kwa sababu ya maumbile yao. Njia yao ya mkojo ipo karibu sana na njia ya hajakubwa. Hata hivyo njia yao ya mkojo ni fupi kukifikia kibofu kuliko wanaume.
2.Kuwa ni mwenye kushiriki ngoni.
3.Kama unatumia baadhi ya njia za uzazi wa mpango kama spermicidal agent
4.Kama mwanamke hapati tena hedhi, yaani amefikia kikomo cha kupata hedhi
5.Kama una matatizo kwenye mfumo wa mkojo.
6.Kama njia ya mkojo imeziba kwa mfano kama unavijiwe kwenye figo na vikaziba njia ya mkojo.
7.Kama unatumia matibabu ya kuongezea kinga ya mwili nguvu kama vile wenye kisukari
8.Kama unatumia mpira wa kukojolea.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 ai web app 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Dalili za maambukizi kwenye milija(fallopian tube)
Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye milija (follapian tube) kwa kitaalamu huitwa salpingitis, ni maambukizi kwenye milija ambayo husababishwa na bakteria.
Soma Zaidi...Dalili za maumivu ya jino
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za maumivu ya jino
Soma Zaidi...Sababu za maumivu ya tumbo kwa chini uapande wa kushoto
Zijuwe sababu kuu zinazokufanya ukahisi maumivu makali ya tumbo kwa chini upande wa kushoto
Soma Zaidi...Homa ya manjano (Jaundice): Chanzo chake na dalili.
Homa ya manjano (Jaundice) si ugonjwa wenyewe, bali ni dalili ya kuwepo kwa tatizo la msingi linaloathiri ini, nyongo (gallbladder), au mfumo wa damu. Makala hii inachunguza kwa kina fiziolojia ya ugonjwa huu, ikielezea jinsi mkusanyiko wa bilirubin unavyopelekea ngozi na nyeupe za macho kugeuka rangi ya manjano. Tutachambua visababishi vikuu, dalili zinazoambatana na hali hii, na umuhimu wa kupata uchunguzi wa kimatibabu haraka
Soma Zaidi...Dalili ya pressure ya kupanda
Post ya leo inaenda kufundisha dalili na hatari za presha ya kupanda. Presha ni ugonjwa unaosababishwa na baadhi ya vitu mbalimbali.pressure hujulikana kwa jina lingine ambolo ni hypertension (pressure ya kupanda). presha hugundulika pale ambapo presha ya
Soma Zaidi...Sababu za Kutokwa na Damu Mwanzoni mwa Mimba:
Kutokwa na damu katika miezi mitatu ya kwanza ya ujauzito ni hali inayoweza kuleta hofu kubwa kwa mama mjamzito. Makala hii inachambua sababu za kawaida za hali hii, inapopaswa kuwa na wasiwasi, na hatua muhimu za kuchukua ili kulinda afya yako na ya kiumbe kilichopo tumboni.
Soma Zaidi...