Yaliyoharamishwa kwa as iye na udhu
Mtu asiye na udhu haruhusiwi kufanya yafuatayo:
1. Kuswali.
2. Kutufu.
Mtu asiye na udhu anaruhusiwa kuchukua msahafu (Qur-an) na kusoma. Kama tunavyojifunza katika hadith ifuatayo:
Ally (r.a) amesimulia: Mtume (s.a.w) alikuwa akitoka chooni kisha akatusomea Qur-an na hakuna chochote kilichomzuia kusoma Qur-an ila alipokuwa na janaba β. (Abuu Daud, Nisai, Ibn Majah)
Umeionaje Makala hii.. ?
Uchumi wa kiislamu unatofautiana sana na uchumi wa kikafiri. Hapa utajifunza tofauti hizo.
Soma Zaidi...Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3:Dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Maana ya Swala Maana ya Swala kilugha(a) Kilugha Katika lugha ya Kiarabu neno ΒSwalaatΒ lina maana ya Βombi au Βdua.
Soma Zaidi...Uislamu umeweka taratibu maalumu za kuzifata katika kusherehekea siku ya idi.
Soma Zaidi...