NAJISI
Najisi ni uchafu unaohusiana na vitu vifuatavyo:
1. Damu.
2. Usaha.
3. Matapishi.
4. Udenda.
5. Haja ndogo na kubwa ya binaadamu au mnyama.
6.Pombe za aina zote.
7.Mzoga wowote isipokuwa wa binaadamu, samaki na nzige (au jamii ya nzige).
8.Kiungo cha mnyama kilichokatwa naye yu ngali hai
9.Maziwa ya mnyama asiye halali kuliwa kama vile paka, punda wa nyumbani, farasi, n.k.
10.Mbwa na Nguruwe na kila kinachotokana nao.
Umeionaje Makala hii.. ?
Ni kwa nini Allah ametutaka tugunge. Je kuna lengo gani hasa katika kufunga.
Soma Zaidi...Posti hii inakwenda kukufundisha kuhusu jinsi yavkuchunga nyakatibza swala tano.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukugundisha jinsi ya kutawadha hatuwa kwa hatuwa.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu swala ya jamaa na taratibu zake.
Soma Zaidi...Post hiibitakugundisha hekima ya kuruhusiwa kuoa mke zaidi ya mmoja katika sheria za kiislamu.
Soma Zaidi...