Maswali juu ya Mambo anayopaswa kufanyiwa maiti ya muislamu
Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Zoezi la 3.
- Bainisha mambo manne ya msingi kufanyiwa muislamu mara tu baada ya kufa.
- Bainisha tofauti kati ya sanda ya;
(a) Maiti ya mwanamke.
(b) Maiti ya mwanaume.
(c) Maiti ya toto.
- (a) Taja nguzo za kuosha maiti.
(b) Taja sehemu zinazofaa kutumika katika kuoshea maiti.
(c) Ni zipi sifa za muosha maiti?
- Eleza hatua kwa hatua namna ya kumuosha maiti wa Kiislamu.
- Ni mambo gani maiti ya shahidi haitakiwi kufanyiwa? Taja mambo matatu.
- Fafanua ni kwa vipi unaweza kuandaa sanda ya maiti wa kike na kumkafini.
- Taja tofauti kati ya swala ya kumswalia maiti na swala ya kawaida.
- (a) Ni yapi masharti ya kuswaliwa maiti wa Kiislamu?
(b) Orodhesha nguzo za swala ya maiti.
- (a) Eleza hatua kwa hatua namna kutekeleza swala ya maiti.
(b) Taja mambo manne yaliyoharamishwa kufanyiwa kaburi.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
๐1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) ๐2 ai web app ๐3 Simulizi za Hadithi Audio ๐4 kitabu cha Simulizi ๐5 Kitau cha Fiqh ๐6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
Watu wanaolazimika kufunga mwezi wa Ramadhani
Hapa utajifunza watu ambao wanalazimika kufunga mwezi wa Ramadhani.
Soma Zaidi...Hatua za kinga za ugumba na Utasa.
Ugumba ni รขโฌลugonjwa wa mfumo wa uzazi unaofafanuliwa kwa kushindwa kupata ujauzito baada ya miezi 12 au zaidi ya kujamiiana bila kinga mara kwa mara. Utasaรย kutoweza kwa kiumbe hai kufanya uzazi wa ngono au kutoweza kupata mimba au kuchangia mimba.
Soma Zaidi...Kujitwaharisha kutokana na najisi
Post hii itakufundisha namna ya kutwaharisha Najisi.
Soma Zaidi...Aina 12 za swala za sunnah na idadi ya rakaa zake wakati wa usiku na mchana
Aina za Swala za Sunnah.
Soma Zaidi...Mtazamo wa uislamu juu ya ndoa ya mke zaidi ya mmoja
Je jamii inachukuliaje swala la kuoa mke zaidi ya mmoja.
Soma Zaidi...