Maswali juu ya Mambo anayopaswa kufanyiwa maiti ya muislamu

Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Zoezi la 3.

  1. Bainisha mambo manne ya msingi kufanyiwa muislamu mara tu baada ya kufa.
  2. Bainisha tofauti kati ya sanda ya;

(a)  Maiti ya mwanamke.

(b)  Maiti ya mwanaume.

(c)  Maiti ya toto.

  1. (a)  Taja nguzo za kuosha maiti.

(b)  Taja sehemu zinazofaa kutumika katika kuoshea maiti.

(c)  Ni zipi sifa za muosha maiti?

  1. Eleza hatua kwa hatua namna ya kumuosha maiti wa Kiislamu.
  2. Ni mambo gani maiti ya shahidi haitakiwi kufanyiwa? Taja mambo matatu.
  3. Fafanua ni kwa vipi unaweza kuandaa sanda ya maiti wa kike na kumkafini.
  4. Taja tofauti kati ya swala ya kumswalia maiti na swala ya kawaida.
  5. (a)  Ni yapi masharti ya kuswaliwa maiti wa Kiislamu?

(b)  Orodhesha nguzo za swala ya maiti.

  1. (a)  Eleza hatua kwa hatua namna kutekeleza swala ya maiti.

(b)  Taja mambo manne yaliyoharamishwa kufanyiwa kaburi.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 2783

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

Hukumu na sherei zinazohusu ajira na kazi katika uislamu

Wajibu wa KufanyakaziUislamu siyo tu unawahimiza watu kufanya kazi na kutokuwa wavivu bali kufanya kazi ni Ibada.

Soma Zaidi...
Ni nini maana ya Talaka katika uislamu

Post hii inakwenda kukufundisha maana ya neno talaka katika uislamu kisheria na kilugha.

Soma Zaidi...
Haki za nafsi

Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Aina za Najisi na twahara katika uislamu

Post hii inakwenda kukufundisha aina za najis. Pia utajifunza aina za twahara katika uislamu

Soma Zaidi...
Maana ya hadathi na aina zake

Post hii inakwenda kukugundisha maana ya hadathi pamoja na kutaja aina za hadathi

Soma Zaidi...
hukumu ya ombaomba katika uchumi wa kiislamu

Suala la omba-ombaTukiliangalia suala la omba-omba kwa upana kidogo, ambalo hivi sasa linaongelewa katika vikao mbalimbali vya kitaifa na kimataifa, tutaona kuwa ni Uislamu pekee unaotoa namna bora ya kulishughulikia suala hili.

Soma Zaidi...
Haki za muislamu kwa muislamu mwenziwe

Hizi ndio haki kuu tano unazopasa kumpatia Muislamu mwenzio.

Soma Zaidi...