Maswali juu ya Mambo anayopaswa kufanyiwa maiti ya muislamu
Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Zoezi la 3.
- Bainisha mambo manne ya msingi kufanyiwa muislamu mara tu baada ya kufa.
- Bainisha tofauti kati ya sanda ya;
(a) Maiti ya mwanamke.
(b) Maiti ya mwanaume.
(c) Maiti ya toto.
- (a) Taja nguzo za kuosha maiti.
(b) Taja sehemu zinazofaa kutumika katika kuoshea maiti.
(c) Ni zipi sifa za muosha maiti?
- Eleza hatua kwa hatua namna ya kumuosha maiti wa Kiislamu.
- Ni mambo gani maiti ya shahidi haitakiwi kufanyiwa? Taja mambo matatu.
- Fafanua ni kwa vipi unaweza kuandaa sanda ya maiti wa kike na kumkafini.
- Taja tofauti kati ya swala ya kumswalia maiti na swala ya kawaida.
- (a) Ni yapi masharti ya kuswaliwa maiti wa Kiislamu?
(b) Orodhesha nguzo za swala ya maiti.
- (a) Eleza hatua kwa hatua namna kutekeleza swala ya maiti.
(b) Taja mambo manne yaliyoharamishwa kufanyiwa kaburi.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
๐1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina ๐2 web hosting ๐3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) ๐4 Madrasa kiganjani ๐5 Dua za Mitume na Manabii ๐6 Kitabu cha Afya
๐1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina ๐2 web hosting ๐3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) ๐4 Madrasa kiganjani ๐5 Dua za Mitume na Manabii ๐6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Fadhila za usiku waalylat al qadir
Zijuwe fadhila za usiku wenye cheo kuliko nyusiku ya miezi 1000.
Soma Zaidi...Taratibu za kuchaguwa mchumba katika uislamu
Hapa utajifunza hatuwa kwa hatuwa za kuchaguwa mchumba kulingana na sheria za kiislamu.
Soma Zaidi...Maana ya swala
Maana ya Swala Maana ya Swala kilugha(a) Kilugha Katika lugha ya Kiarabu neno ยSwalaatย lina maana ya ยombi au ยdua.
Soma Zaidi...Aina za Najisi na twahara katika uislamu
Post hii inakwenda kukufundisha aina za najis. Pia utajifunza aina za twahara katika uislamu
Soma Zaidi...