Maswali juu ya Mambo anayopaswa kufanyiwa maiti ya muislamu

Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Zoezi la 3.

  1. Bainisha mambo manne ya msingi kufanyiwa muislamu mara tu baada ya kufa.
  2. Bainisha tofauti kati ya sanda ya;

(a)  Maiti ya mwanamke.

(b)  Maiti ya mwanaume.

(c)  Maiti ya toto.

  1. (a)  Taja nguzo za kuosha maiti.

(b)  Taja sehemu zinazofaa kutumika katika kuoshea maiti.

(c)  Ni zipi sifa za muosha maiti?

  1. Eleza hatua kwa hatua namna ya kumuosha maiti wa Kiislamu.
  2. Ni mambo gani maiti ya shahidi haitakiwi kufanyiwa? Taja mambo matatu.
  3. Fafanua ni kwa vipi unaweza kuandaa sanda ya maiti wa kike na kumkafini.
  4. Taja tofauti kati ya swala ya kumswalia maiti na swala ya kawaida.
  5. (a)  Ni yapi masharti ya kuswaliwa maiti wa Kiislamu?

(b)  Orodhesha nguzo za swala ya maiti.

  1. (a)  Eleza hatua kwa hatua namna kutekeleza swala ya maiti.

(b)  Taja mambo manne yaliyoharamishwa kufanyiwa kaburi.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 2562

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Zijuwe nguzo 17 za swala.

Ili swala itimie utahitajika kutimiza nguzo zake na masharti yake. Hapa utajifunza nguzo 17 za swala.

Soma Zaidi...
Kutoa vilivyo halali

Nguzo za uislamu (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Jukumu la serikali katika kuzuia dhuluma

Serikali ina nafasi kubwa katika kuzuia dhulma na kufanya uchumibuwe huru kuyokana na dhulma.

Soma Zaidi...
Hijjah

Nguzo za uislamu (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Tofauti kati ya fiqh na sheria

Kipengele hichi tutajifunza tofauti kati ua fiqh na sheria.

Soma Zaidi...
Kuzika-namna ya kuzika hatua kwa hatua

Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...