Maswali juu ya Mambo anayopaswa kufanyiwa maiti ya muislamu

Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Zoezi la 3.

  1. Bainisha mambo manne ya msingi kufanyiwa muislamu mara tu baada ya kufa.
  2. Bainisha tofauti kati ya sanda ya;

(a)  Maiti ya mwanamke.

(b)  Maiti ya mwanaume.

(c)  Maiti ya toto.

  1. (a)  Taja nguzo za kuosha maiti.

(b)  Taja sehemu zinazofaa kutumika katika kuoshea maiti.

(c)  Ni zipi sifa za muosha maiti?

  1. Eleza hatua kwa hatua namna ya kumuosha maiti wa Kiislamu.
  2. Ni mambo gani maiti ya shahidi haitakiwi kufanyiwa? Taja mambo matatu.
  3. Fafanua ni kwa vipi unaweza kuandaa sanda ya maiti wa kike na kumkafini.
  4. Taja tofauti kati ya swala ya kumswalia maiti na swala ya kawaida.
  5. (a)  Ni yapi masharti ya kuswaliwa maiti wa Kiislamu?

(b)  Orodhesha nguzo za swala ya maiti.

  1. (a)  Eleza hatua kwa hatua namna kutekeleza swala ya maiti.

(b)  Taja mambo manne yaliyoharamishwa kufanyiwa kaburi.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 2512

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Masharti ya utoaji wa zakat na sadaqat

Nguzo za uislamu, masharti ya utoaji wa zakat na sadaqat (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Je mahari inashusha hadhi ya mwanamke katika jamii

Unadhani mwanamke kupewa mahari kitendo hiki kinaweza kushusha hadhi yake?

Soma Zaidi...
Kuenea kwa dhana ya udhibiti uzazi na uzazi wa mpango

Kustawi kwa Kampeni ya Kudhibiti UzaziMiongoni mwa sababu zilizosaidia kustawi kwa kampeni hii ni matokeo ya mapinduzi ya viwanda (Industrial revolution) ya huko Ulaya.

Soma Zaidi...
Swala ya ijumaa, nguzo zake, sharti zake na jinsi ya kuiswali

Post hii inakwenda kukugundisha kuhusu swala ya ijumaa taratibu zake na jinsi ya kuiiswali.

Soma Zaidi...
Hadhi na haki za mwanamke katika jamii za Kigiriki hapo zamani

(a) UgirikiTunajifunza katika historia ya Ulimwengu kuwa jamii ya Wagiriki ilikuwa miongoni mwa jamii zilizoanza kustarabika.

Soma Zaidi...
Msimamo wa uislamu juu ya utumwa

Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...