Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za Uzazi wa mpango. Uzazi wa mpango ni huduma ambazo hutoa chaguo kwa familia kuwa na idadi ya watoto wanaotaka katika muda maalum, wanahisi na mbinu iliyoamuliwa.
Faida za Uzazi wa Mpango
Faida za Uzazi wa mpango zimegawanyika katika makundi manne ambayo Ni kwa watoto, kwa mama, kwa wanandoa na kwa jumuiya
Faida za Uzazi wa mpango Kwa Watoto
1. Watoto Kupata upendo kutoka kwa wazazi.
2. Hupata muda wa kutosha wa kunyonya
3. Watoto wanaweza kupata nafasi ya kuelimishwa na wazazi.
4. Kiwango cha vifo vya watoto wachanga/watoto hupunguzwa kwa Muda kati ya ujauzito.
Faida za Uzazi wa mpango Kwa Mama Ni pamoja na;
1. Mama atakuwa na afya kwa sababu anapata muda mwingin wa kupumzika baada ya ujauzito uliopita.
2. Kupunguza idadi ya mimba zisizotarajiwa.
3. Kupunguza idadi ya magonjwa ya uzazi, kiwango cha vifo.
4. Mama anapata muda mwingin na nafasi kwaajili ya kufanya shughuli nyingine.
Faida za Uzazi wa mpango Kwa Jumuiya Ni pamoja na;.
1. Familia ndogo inaongoza kwa uhifadhi wa maliasili na huduma.
2. Familia ndogo husaidia taifa kuwa na shule za kutosha, hospitali na huduma zingine za kimsingi.
3. Familia ndogo huzuia ukosefu wa ajira usio wa lazima.
4. Shughuli ndogo zilizopangwa polepole huleta furaha, maelewano ya amani na ustawi
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi maumivu wakati wa hedhi, haya ni maumivu ambayo utokea wakati wa hedhi kwa wanawake walio wengi, wengine huwa hawayapati kabisa na wengine hutapata na kwa kiwango kikubwa kutegemea na matatizo mbalimbali kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Kutokuwa na damu wakati wa ujauzito ni hali uliyo ya kawida lakini inapaswa kujuwa sifa za damu hiyo nabje unatoka kwa namna gani. Kama unasumbuliwa na tatizo hili makala hii ni kwa ajili yako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye ngozi wakati wa ujauzito, ni mabadiliko yanayotokea kwenye ngozi ya Mama wakati wa ujauzito.
Soma Zaidi...Makala hii itakwenda kukufundisha dalili za kujifunguwa, hatuwa za kujifunguwa na kuzalisha, pia utajifunza mabo muhimu kabla na wakatii wa kujifungua.
Soma Zaidi...Nini humaanisha kama chuchu zinauma na hupati period mwanaidi mrefu.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili pamoja na mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua kwa Wanaume
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi sababu za mimba kutoka, hili ni tatizo ambalo linawakumba wanawake wengi ambapo mimba utoka kabla ya kumfikisha mda wake, kwa kawaida Ili kawaida mimba nyingi utoka zikiwa na miezi chini ya Saba au wengine wanaweza kusema kwamba mim
Soma Zaidi...Miongoni mwa changamoto za ujauzito ni maumivu ya tumbo. Maumivu haya yanawezakuwaya kawaida ama makali zaidi. Vyema kufika Kituo cha Afya endapoyatakuwa makali.
Soma Zaidi...