Fahamu Faida za Uzazi wa mpango


image


Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za Uzazi wa mpango. Uzazi wa mpango ni huduma ambazo hutoa chaguo kwa familia kuwa na idadi ya watoto wanaotaka katika muda maalum, wanahisi na mbinu iliyoamuliwa.


Faida za Uzazi wa Mpango

Faida za Uzazi wa mpango zimegawanyika katika makundi manne ambayo Ni kwa watoto, kwa mama, kwa wanandoa na kwa jumuiya


Faida za Uzazi wa mpango  Kwa Watoto 
1. Watoto  Kupata upendo kutoka kwa wazazi.
2.  Hupata muda wa kutosha wa kunyonya 
3.  Watoto wanaweza kupata nafasi ya kuelimishwa na wazazi.
4.  Kiwango cha vifo vya watoto wachanga/watoto hupunguzwa kwa Muda kati ya ujauzito.

 

Faida za Uzazi wa mpango  Kwa Mama Ni pamoja na;
1.  Mama atakuwa na afya kwa sababu anapata muda mwingin wa kupumzika baada ya ujauzito uliopita.
2.  Kupunguza idadi ya mimba zisizotarajiwa.
3.  Kupunguza idadi ya magonjwa ya uzazi, kiwango cha vifo.
4.  Mama anapata muda mwingin na nafasi kwaajili ya kufanya shughuli nyingine.

 

Faida za Uzazi wa mpango   Kwa Jumuiya Ni pamoja na;.
1.  Familia ndogo inaongoza kwa uhifadhi wa maliasili na huduma.
2.  Familia ndogo husaidia taifa kuwa na shule za kutosha, hospitali na huduma zingine za kimsingi.
3.  Familia ndogo huzuia ukosefu wa ajira usio wa lazima.
4.  Shughuli ndogo zilizopangwa polepole huleta furaha, maelewano ya amani na ustawi



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    2 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    3 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    4 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Sababu za kuvimba na maumivu kwenye korodani moja au zote mbili
Post yetu ya Leo inaenda kutufundisha kuhusiana na uvimbe wa korodani moja au ambayo kitaalamu huitwa EPIDIDYMITIS. EPIDIDYMITIS ni ugonjwa unaoathiri mfumo wa kiume wa uzazi. Epididymis ni mrija (tube) uliyoko nyuma ya korodani ambayo mbegu za kiume huifadhiwa na kusafirishwa. Kazi za korodani hizi kazi yake ni kuhifadhi na kuzalisha mbegu za kiume. Soma Zaidi...

image UUME KUWASHA
Post yetu imebeba mada inayohusiana na wanaume wanaowashwa Uume embu tuone dalili zinazopelekea kuwashwa kwa penis. Uume(penis) ni party ya mwanaume ya sehemu za siri.pia wanaume ambao hawajatahiriwa(unsircumside) kwasababu Ile ngozi ya juu husababishwa kupata magonjwa kwa haraka Kama vile phimosis, paraphimosis, Epididymitis na mengineyo mengi .', ' Soma Zaidi...

image Vyakula vinavyosaidia katika uzalishaji wa homoni ya testosterone
Posti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo usaidia katika uzalishaji wa homoni ya testosterone. Soma Zaidi...

image Mwezi juzi niliingia tarhe 21 ila mwez uloisha nmeingia tarh 25 maana mzunguko wangu umekuwa mrefu nikahs naujauzito kumbe mzunguko umebadilika hapo tatz n nn
Posti hii utakwenda kutoa sababu kuu za kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi. Kama na wewe numiongini mwaka endelea kusoma Soma Zaidi...

image Habari Mimi ni mjamzito was miezi Tisa sasa nimeanza kutokwa na maji kidogo kidogo ukeni bila uchungu na no mimba yangu ya kwanza he Kuna shida?
Ujauzito husababisha mabadiliko mengi mwilini, ikiwepo ongezeko la Majimaji ukeni ifikapo tarehe za kukaribia kujifunguwa. Majimaji haya ni muhimu kwa afya ya mtoto aliye tumboni. Soma Zaidi...

image je mwana mke ana weza kubeba mimba kama hayupo kwenye siku zake za hatali ama
Mimba haipatikani kila siku, na pia mimba huingia kwa siku moja na katika muda mmoja. Baada ya mimba kutungwa hakuna tena nafasi ya kutungwa mimba nyingine. Soma Zaidi...

image Madhara kwa wasiofanya mazoezi
Posti hii inahusu zaidi madhara mbalimbali ambayo yanaweza kutokea kwa watu wasiofanya mazoezi, mazoezi ni kama tiba kwa namna Moja au nyingine ila Kuna madhara ambayo yanaweza kutokea kwa wale ambao hawafanyi mazoezi. Soma Zaidi...

image Je? Naomba kuuliza mkewangu ali ingiya kwenye hezi siku tatu damu ikakata nikakutana nae siku ya nane je? Anaweza pata ujauzito
Idadi ya siku hatari za kupata mimba hutofautiana kutoka kwa mwanamke mmoja namwinhine. Kinda ambao idadivyavsikuvzao za hatari ni nyingi kuliko wengine. Soma Zaidi...

image Unakuta siku imefka ya hedhi kabla haijaanza kutoka hedhi yanatoka maji meupe clean kabisa hii Ina naamisha nini?
Kutoka na majimaji ka uchache kwa mwanamke sio jambo lakishangaa sana. Damu hii inawezapiabkikbatana damu na maumivu makali. Soma Zaidi...

image Sababu za kuongezeka uzito wa wajawazito.
Posti hii inahusu zaidi sababu za kuongezeka uzito kwa wajawazito, Mara nyingi Mama akibeba mimba uongezeka uzito kutoka wiki ya Kwanza mpaka wiki ya mwisho ya kujifungua. Soma Zaidi...