Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za Uzazi wa mpango. Uzazi wa mpango ni huduma ambazo hutoa chaguo kwa familia kuwa na idadi ya watoto wanaotaka katika muda maalum, wanahisi na mbinu iliyoamuliwa.
Faida za Uzazi wa Mpango
Faida za Uzazi wa mpango zimegawanyika katika makundi manne ambayo Ni kwa watoto, kwa mama, kwa wanandoa na kwa jumuiya
Faida za Uzazi wa mpango Kwa Watoto
1. Watoto Kupata upendo kutoka kwa wazazi.
2. Hupata muda wa kutosha wa kunyonya
3. Watoto wanaweza kupata nafasi ya kuelimishwa na wazazi.
4. Kiwango cha vifo vya watoto wachanga/watoto hupunguzwa kwa Muda kati ya ujauzito.
Faida za Uzazi wa mpango Kwa Mama Ni pamoja na;
1. Mama atakuwa na afya kwa sababu anapata muda mwingin wa kupumzika baada ya ujauzito uliopita.
2. Kupunguza idadi ya mimba zisizotarajiwa.
3. Kupunguza idadi ya magonjwa ya uzazi, kiwango cha vifo.
4. Mama anapata muda mwingin na nafasi kwaajili ya kufanya shughuli nyingine.
Faida za Uzazi wa mpango Kwa Jumuiya Ni pamoja na;.
1. Familia ndogo inaongoza kwa uhifadhi wa maliasili na huduma.
2. Familia ndogo husaidia taifa kuwa na shule za kutosha, hospitali na huduma zingine za kimsingi.
3. Familia ndogo huzuia ukosefu wa ajira usio wa lazima.
4. Shughuli ndogo zilizopangwa polepole huleta furaha, maelewano ya amani na ustawi
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1266
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya
👉2 kitabu cha Simulizi
👉3 Madrasa kiganjani
👉4 Simulizi za Hadithi Audio
👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉6 Kitau cha Fiqh
Sababu za mimba ya miezi 4-6 kutoka.
Posti hii inahusu zaidi sababu za mimba ya miezi kuanzia minne mpaka sita kutoka , Kuna kipindi mimba kuanzia miezi mimne mpaka sita utoka kwa sababu mbalimbali. Soma Zaidi...
Ni ili sababu ya kutokea kwa tezi dume
Tezidume ni moja ya magonjwa hayari yanayotokea katika mwili wa mwanaume.Hapa nimekuandalia sababu za kutokea kwa tezi dume. Soma Zaidi...
utaratibu wa lishe kwa Mjamzito, Vyakula anavyopasa kula mjamzito
Ni vyakula gani anapasa kula mjamzito, na utaratibu mzima wa lishe kwa wajawazito Soma Zaidi...
Tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume.
Posti hii inahusu zaidi tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume, ni tatizo ambalo uwakumba baadhi ya wanaume kwa sababu mbalimbali na pia Ugonjwa huu unatibika hasa kwa wale wanaowahi kupata matibabu. Soma Zaidi...
Je kitunguu saumu kina madhara kwa Mgonjwa wa figo?
Nimesoma makala yenu, sasa nina swaliJe kitunguu saumu kina madhara kwa Mgonjwa wa figo? Soma Zaidi...
Umuhimu wa uzazi wa mpango kwa Mama
Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa akina Mama, tunajua wazi kubwa kuna faida kubwa za uzazi wa mpango kwa akina Mama pindi watumiapo njia hizi kwa uhakika zaidi. Soma Zaidi...
Njia za kutibu mbegu dhaifu.
Posti hii inahusu zaidi njia za kutibu mbegu dhaifu, ni njia ambazo utumika kutibu mbegu ambazo ni dhaifu ili kuweza kuondoa tatizo hili ambalo limewakumba wanaume wengi na kusababisha madhara makubwa kwenye ndoa au familia. Soma Zaidi...
Ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango.
Posti hii inahusu zaidi ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango, sio kwa imani potofu ambazo Watu utumia kuelezea uzazi wa mpango. Soma Zaidi...
Lazima matiti kuuma ka mimba changa?
Kuuma mwa matiti ni moka ya Ichiro kuwa huwenda ni ujauzito. Hii haimaanishi etindio mjamzito, zipo dalili nyingi za ujauzito. Hata hivyo kuona dalili za ujauzito haimaanishi umepata tayari ujauzito. Kwanza fanya vipimondipo Upate uhakika Soma Zaidi...
Mabadiliko ya uzito kwa mjamzito
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya uzito kwa mjamzito, hii ni hali ya kubadilika kwa uzito kwa Mama akiwa na Mimba Soma Zaidi...
Mimi kwenye korodani yai moja limezungukwa na majimaji ,na haya maji yamekuwepo toka utotoni mwangu lakin bado sijayaona matatizo yake , je kitaaramu hii inaweza kua na athari gani? ,Naombeni ushauri
Korodani ni kiungo muhimu kwa mwanaume, katika afya ya uzazi. Unaweza kusema ni kiwanda cha kutengeneza mbegu za kiume. Kiungo hiki ni sawa na ovari kwa mwanamke. Soma Zaidi...
Umuhimu wa kunyonyesha kwa Mama
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kunyonyesha kwa akina Mama, kunyonyesha ni kitendo ambacho Mama utumia maziwa yake na kumlisha mtoto pindi tu anapozaliwa mpaka wakati anapoachishwa titi, kunyonyesha huwa na faida kubwa kwa wote yaani Mama na mtoto, zif Soma Zaidi...