Faida za kiafya za kula Kisamvu

Faida za kiafya za kula kisamvu
- kisamvu ni kizuri kwa wanawake wajawazito kwani kina vitamini C vingi
- Husaidia kupambana na kwashoorkor (kwashiakoo) aina ya utapiamlo
- Majani ya kisamvu yakipondwa husaidia kuondosha homa na maumivu ya kichwa
- Hutibu kuhara unasanga majani
- Hutibu tatizo la macho kutokuona vyema unachemsha majani ya kisamvu pamoja na tangawizi na chumvi
- Huongeza hamu ya kual chemsha kisamvu, tangawizi na chumvi kisha kunywa
- Hutibu minyoo
- Husaidia kuchelewa kuzeheka
- Hutibu stroke
- Huongeza stamina
- Husaidia katika kupona kwa vidonda na majeraha kwa haraka
- Huboresha mfumo wa kinga
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 Kitabu cha Afya
👉1 ai web app 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Faida za kiafya za kunywa chai
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa chai
Soma Zaidi...Fahamu kuhusu maji, kazizake mwilini na athari za upungufu wake mwilini
Hpa utafahamu faida za maji mwilini pamoja na athari za upungufu wa maji mwilini na dalili zake
Soma Zaidi...Vyakula vya vitamin E
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin E
Soma Zaidi...Faida za kula tikiti
Ukubwa wa tikiti unasadifu yaliyopo, kwani kuna fgaida akubwa sana za kiafya katika kula tikiti
Soma Zaidi...Hasara za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito
Posti hii inahusu zaidi hasara za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito.
Soma Zaidi...