Faida za kiafya za kula Kisamvu

Faida za kiafya za kula kisamvu
- kisamvu ni kizuri kwa wanawake wajawazito kwani kina vitamini C vingi
- Husaidia kupambana na kwashoorkor (kwashiakoo) aina ya utapiamlo
- Majani ya kisamvu yakipondwa husaidia kuondosha homa na maumivu ya kichwa
- Hutibu kuhara unasanga majani
- Hutibu tatizo la macho kutokuona vyema unachemsha majani ya kisamvu pamoja na tangawizi na chumvi
- Huongeza hamu ya kual chemsha kisamvu, tangawizi na chumvi kisha kunywa
- Hutibu minyoo
- Husaidia kuchelewa kuzeheka
- Hutibu stroke
- Huongeza stamina
- Husaidia katika kupona kwa vidonda na majeraha kwa haraka
- Huboresha mfumo wa kinga
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 web hosting
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
Faida za kula kunde, maharage, njegere, mbaazi na njugu mawe
Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kunde, maharage, njegere, mbaazi na njugu mawe
Soma Zaidi...Habari ndugu naomba kuuliza eti mtu akipaliwa na asali anakufa?
Post hii inakwenda kukujulisha hatari za kupaliwa na asali ama kitu kingine kama muulizaji alivyouliza.
Soma Zaidi...Madhara ya kula chakula chenye chumvi nyingi
Posti hii inakwendavkukufundisha madhara unayoweza kuyapata unapokula chakula cgenye chumvi nyingi
Soma Zaidi...Faida za kiafya za kula passion
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion
Soma Zaidi...Faida za kula pilipili
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula pilipili
Soma Zaidi...