Faida za kiafya za kula Kisamvu

Faida za kiafya za kula kisamvu
- kisamvu ni kizuri kwa wanawake wajawazito kwani kina vitamini C vingi
- Husaidia kupambana na kwashoorkor (kwashiakoo) aina ya utapiamlo
- Majani ya kisamvu yakipondwa husaidia kuondosha homa na maumivu ya kichwa
- Hutibu kuhara unasanga majani
- Hutibu tatizo la macho kutokuona vyema unachemsha majani ya kisamvu pamoja na tangawizi na chumvi
- Huongeza hamu ya kual chemsha kisamvu, tangawizi na chumvi kisha kunywa
- Hutibu minyoo
- Husaidia kuchelewa kuzeheka
- Hutibu stroke
- Huongeza stamina
- Husaidia katika kupona kwa vidonda na majeraha kwa haraka
- Huboresha mfumo wa kinga
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 ai web app 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 Kitau cha Fiqh
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 ai web app 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Faida za kula asali
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula asali
Soma Zaidi...Faida za kula Tufaha (epo)
Tufaha ni katika matunda adimu na matamu, je unazijuwa faida zake kkiafya?
Soma Zaidi...JITIBU KWA KITUNGUU THAUMU: faida za kiafya za kitunguu thaumu
Kitunguu thaumu ni katika viungo vya mboga na chakula.
Soma Zaidi...Faida za kiafya za kula korosho
Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula korosho
Soma Zaidi...Faida za kiafya za kula fyulisi/ peach
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fyulisi/peach
Soma Zaidi...Faida za kitunguu thaumu
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kitunguu thaumu
Soma Zaidi...