Matibabu ya maumivu chini ya kitovu
Post hii inahusu zaidi matibabu ya kutibu ugonjwa wa maumivu chini ya kitovu.
Matibabu ya maumivu ya tumbo kwenye sehemu ya kitovu.
1. Kwanza tunatib kwa kuzuia mambukizi kwenye via vya uzazi kwa kawaida ugonjwa huu inaitwa PID maana yake ni pelvic disease infection.
2. Matumizi ya kusaidia mayai kukomaa.
3. Kuhakikisha tunaondoa uvimbe
4. Matibabu ya hedhi kubadilika badilika.
5. Kuzuia au kutibu mvurugiko wa homoni
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 ai web app 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Fahamu ugonjwa wa kaswende wakati wa ujauzito.
Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kaswende wakati wa ujauzito, kaswende inaweza kukaa kwa mtu zaidi ya miaka mingi bila kuleta madhara ya moja kwa moja lakini kadiri ya siku zinavyokwenda madhara utokea hasa wakati wa ujauzito, madhara hayo umwadhiri mtot
Soma Zaidi...Vyakula 6 vya Asili Vinavyoongeza Nguvu za Kiume
Muhtasari (Executive Summary) ​Upungufu wa nguvu za kiume ni changamoto inayowasumbua wanaume wengi, mara nyingi ikisababishwa na mtindo wa maisha, msongo wa mawazo, au mzunguko mdogo wa damu. Badala ya kukimbilia dawa za kemikali zenye madhara, makala haya yanachambua vyakula asili vinavyosaidia kuboresha mzunguko wa damu, kuongeza vichocheo vya testosterone, na kurudisha nishati mwilini.
Soma Zaidi...HPV (Human Papillomavirus): Chanjo na saratani ya shingo ya kizazi.
​Virusi vya Human Papillomavirus (HPV) ni kundi la virusi vinavyoambukiza ngozi na utando wa ndani wa mwili. Ingawa maambukizi mengi ya HPV hupona yenyewe, aina fulani za virusi hivi zinaweza kusababisha mabadiliko ya seli yanayoendelea na kuwa saratani, hasa saratani ya shingo ya kizazi. Makala hii inachambua uhusiano kati ya HPV na saratani, umuhimu wa chanjo, na hatua za kinga ambazo kila jamii inapaswa kuzichukua.
Soma Zaidi...Kuharisha choo cha marenda renda ni dalili gani?
Hivi huwa unachunguza choo chako? ivi huwa kinazama kwenye maji ama kinaelea? Kila damu ama malendalenda, je ni cheusi sana na kina harufu kali sana.
Soma Zaidi...Matibabu kwa mtu mwenye kiungulia
Posti hii inahusu zaidi matibabu kwa mtu mwenye kiungulia,ni tiba ambayo mtu anapaswa kutumia kama ana tatizo la kiungulia
Soma Zaidi...Mambo yanayochangia katika makuzi ya mtoto
Post hii inahusu zaidi mambo yanayochangia katika makuzi ya mtoto, mtoto katika makuzi yake anahitaji kutunzwa vizuri Ili akue kwa afya nzuri bila magonjwa
Soma Zaidi...