Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu)
- Mtume (s.a.w) alizaliwa siku ya kuamkia Jumatatu, tarehe 20 mwezi April, 570 A.D. sawa na mwezi 12 Rabi’ul-Awwal, mwaka wa tembo.
- Muhammad (s.a.w) alizaliwa katika kabila la Quraish, baba yake ni Abdullah bin Abdul-Muttalib, aliyefariki kabla ya kuzaliwa kwake.
- Mama yake Muhammad (s.a.w) ni Amina bint Wahhab, ambaye ni miongoni mwa koo za Kiqureish pia.
- Uzaliwa wa Muhammad (s.a.w) una nasaba na kizazi cha Nabii Ismail (a.s), alipozaliwa alipewa jina la ‘Muhammad’ au ‘Ahmad’ lenye maana ya mwenye kusifiwa kwa vitendo vizuri.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Tukio la kartasiTukio la โkartasiโ lililonakiliwa katika vitabu vya Muslim na Bukhari kuwa siku tatu kabla ya kutawafu Mtume (s.
Soma Zaidi...Sara na historia ya Mtume Muhammad s.a.w, sehemu ya 15. Hapa utajifunza kuhusu chimbuko la ndoa ya Mtume s.a.w na bi Khadija.
Soma Zaidi...Katika Suratul Yassin Allah(s.
Soma Zaidi...Mwenyezi Mungu pekee ndiye aliyewawezesha Mitume na Manabii kufanya miujiza.
Soma Zaidi...