Nasaba ya mtume

Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu)

  1. Kuandaliwa Mtume (s.a.w) Kulingania Uislamu katika mji wa Makkah.

-    Mtume (s.a.w) alizaliwa siku ya kuamkia Jumatatu, tarehe 20 mwezi April, 570 A.D. sawa na mwezi 12 Rabi’ul-Awwal, mwaka wa tembo.

 

-    Muhammad (s.a.w) alizaliwa katika kabila la Quraish, baba yake ni Abdullah bin Abdul-Muttalib, aliyefariki kabla ya kuzaliwa kwake.

 

-    Mama yake Muhammad (s.a.w) ni Amina bint Wahhab, ambaye ni miongoni mwa koo za Kiqureish pia.

 

-    Uzaliwa wa Muhammad (s.a.w) una nasaba na kizazi cha Nabii Ismail (a.s), alipozaliwa alipewa jina la ‘Muhammad’ au ‘Ahmad’ lenye maana ya mwenye kusifiwa kwa vitendo vizuri. 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Sira Main: Dini File: Download PDF Views 1887

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Dua za Mitume na Manabii    πŸ‘‰2 Bongolite - Game zone - Play free game    πŸ‘‰3 web hosting    πŸ‘‰4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    πŸ‘‰5 kitabu cha Simulizi    πŸ‘‰6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana: