Menu



HOMA YA DENGUE, DALILI ZAKE, TIBA YAKE, CHANGO YAKE NA INA SABABISHWA (AMBUKIZWA) NA MBU GANI

Homa ya dengue hupatikana sana Afrika, Asia na baadhi ya maeneo ya Caribbean.

HOMA YA DENGUE, DALILI ZAKE, TIBA YAKE, CHANGO YAKE NA INA SABABISHWA (AMBUKIZWA) NA MBU GANI

2. HOMA YA DENGUE

Homa ya dengue hupatikana sana Afrika, Asia na baadhi ya maeneo ya Caribbean. pia inapatikana maeneo mengine kama marekani na maeneo yenye joto. Dengue ni katika homa ambazo ni hatari sana. kama ilivyo virusi vua Zika havina chanjo, pia hakuna chanjo ya dengue.

 

Dengue husambazwa na aina ya mbu waitwao Aedes aegypti. Mbu hawa pia wanang'ata wakati wa mchana tofauti na mbu wa Malaria. Dalili za dengue huweza kutokea siku nne mpaka saba baada ya kung'atwa na mbu.

 

Dalili za dengue dengue ni:-homa, maumivu ya kichwa, macho, viungio pamoja na misuli au miguu. Ugonjwa wa dengue mara chache hupelekea kifo. Dalili hizi zinakuwa hatari pale mgonjwa anapopata homa ya hemorrhagige. Hii hupelekea mgonjwa kutoka damu, ambayo haikati. Na hali hii pia inaweza kupelekea presha yaani shinikizo la damu kushuka sana.

 



                   

Download app yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download

Download Now Bongoclass

           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Views 731


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Faida za kiafya za kula pera
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula pera Soma Zaidi...

VYAKULA VYA MADINI
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

Faida za embe
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula embe Soma Zaidi...

Faida za kula parachichi
Somo hili litakwenda kukueleza na kukuelimisha kuhusu umuhimu wa kula parachichi kiafya Soma Zaidi...

Vyakula muhimu kwa afya ya uzazi wa mwanaume
Vyakula vya kuongeza Nguvu za kiume Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula mahindi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mahindi Soma Zaidi...

Vitamini C ni nini, na vipo kwenye nini?
Hapa utajifunza maana ya Vitamini C, mwaka vilipogunduliwa na aliyegundua vitamini C Soma Zaidi...

Vyakula vinavyosaidia kupunguza uzito
Posti hii inahusu vyakula ambavyo vinasaidia kupunguza uzito, ni baadhi ya vyakula ambavyo unaweza kutumia ili kuweza kuweka kwenye hali ya kawaida. Soma Zaidi...

Vyakula vya vitamin B
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya vitamin B Soma Zaidi...

Faida za kula Tango
Matunda ya zamani na ya asili, zijuwe faida za kiafya za tango Soma Zaidi...