Namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo, hizi ni njia ambazo zinapaswa kufuatwa ili kutokomeza kabisa maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.
Namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.
1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa sababu nyingi zinazoweza kusababisha maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo ni uchafu ambao tunakutana nao kwenye shughuli zetu za kila siku kwa hiyo tunapaswa kufanya yafuatayo ili kuweza kuepuka madhara makubwa yatokanayo na Maambukizi
2.Kwanza kabisa tunapaswa kuepuka kunywa maji machafu na vyakula vichafu kwa hiyo tunapaswa kuchemsha maji na kuyachuja kabla ya kunywa na pia chakula kinapaswa kwa cha moto au kufunikwa vizuri kama tumemtunzia mtu ili kuepuka kupandwa na nzi ambao utua sehemu mbalimbali.
3. Tunapaswa kuishi mikono na maji safi na sabuni baada ya kutoka chooni, kabla ya kuandaa chakula , kabla ya kula na kabla ya kugusa kitu chochote ambacho kinaingia mdomoni mwa mtu kwa kufanya hivyo tunaweza kupunguza maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.
4. Pia tunapaswa kuwashauri Watu wale wanaotumia madawa ya antibiotics mara kwa mara bila mpangilio na bila maelekezo kutoka kwa daktari au wataalamu wa afya wanapaswa kuacha kabisa kwa sababu nazo uleta Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo ikiwa zitatumiwa bila mpangilio
5.Na pia tunapaswa kuosha vyakula vyote tunavyozipata kutoka sokoni na pia kuelimisha jamii matumizi ya choo na kuacha kukisaidia ovyoovyo kwa kufanya hivyo tutaweza kuondoa tatizo la Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 web hosting 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 ai web app
Post zinazofanana:
Aina za vyakula somo la 13: Faida za bamia
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu faida za bamia mwilini
Soma Zaidi...Vipele vyenye maji (Chickenpox): Je, ni vya kuambukiza?
Vipele vyenye maji, kitaalamu Varicella, ni ugonjwa wa kuambukiza unaosababishwa na virusi vya Varicella-Zoster. Ugonjwa huu hujulikana kwa vipele vyake vyenye maji ambavyo huwasha sana. Ni ugonjwa unaoambukiza kwa kasi kubwa, hasa kwa wale ambao hawajawahi kupata ugonjwa huu au hawajachanjwa. Makala hii inafafanua jinsi virusi hivi vinavyosambaa na hatua za kuchukua ili kujikinga
Soma Zaidi...Fahamu Ugonjwa unaohusiana na kuzidi kwa joto mwilini (anhidrosis) ama heatshock
posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa na Ugonjwa unaohusiana na joto ambao hujulikana Kama Anhidrosis ni kutoweza jasho kawaida. Usipotoa jasho mwili wako hauwezi kujipoza, jambo ambalo linaweza kusababisha joto kupita. wakati mwingine inaweza k
Soma Zaidi...Dalili za mtu aliyegongwa na nyoka
Post hii inahusu zaidi dalili za mtu aliyegongwa na nyoka, nyoka ni kiumbe ambacho Kina sumu kali na sumu ikiingia mwilini mtu huwa na dalili mbalimbali
Soma Zaidi...Je wiki 1 dalili zinaonyesha za maambukizi ya ukimwi na wiki 3 vipimo vinaweza kuonyesha Kama umeasilika
Muda ambao maambukizi ya virusi vya ukimwi kuonyesha dalili unaweza kutofautiana kutika mtu hadi mwingine.
Soma Zaidi...Homa ya manjano, dalili za homa ya manjano na namna ya kujikinga na homa ya manjano
HOMA YA MANJANO (yellow fever)Homa ya manjano ni maradhi yanayosababishwa na virusi na husambazwa na mbu.
Soma Zaidi...