picha

Namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo, hizi ni njia ambazo zinapaswa kufuatwa ili kutokomeza kabisa maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.

Namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.

1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa sababu nyingi zinazoweza kusababisha maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo ni uchafu ambao tunakutana nao kwenye shughuli zetu za kila siku kwa hiyo tunapaswa kufanya yafuatayo ili kuweza kuepuka madhara makubwa yatokanayo na Maambukizi 

 

2.Kwanza kabisa tunapaswa kuepuka kunywa maji machafu na vyakula vichafu kwa hiyo tunapaswa kuchemsha maji na kuyachuja kabla ya kunywa na pia chakula kinapaswa kwa cha moto au kufunikwa vizuri kama tumemtunzia mtu ili kuepuka kupandwa na nzi ambao utua sehemu mbalimbali.

 

3. Tunapaswa kuishi mikono na maji safi na sabuni baada ya kutoka chooni, kabla ya kuandaa chakula , kabla ya kula na kabla ya kugusa kitu chochote ambacho kinaingia mdomoni mwa mtu kwa kufanya hivyo tunaweza kupunguza maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.

 

4. Pia tunapaswa kuwashauri Watu wale wanaotumia madawa ya antibiotics mara kwa mara bila mpangilio na bila maelekezo kutoka kwa daktari au wataalamu wa afya wanapaswa kuacha kabisa kwa sababu nazo uleta Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo ikiwa zitatumiwa bila mpangilio 

 

5.Na pia tunapaswa kuosha vyakula vyote tunavyozipata kutoka sokoni na pia kuelimisha jamii matumizi ya choo na kuacha kukisaidia ovyoovyo kwa kufanya hivyo tutaweza kuondoa tatizo la Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1681

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting     👉2 ai web app     👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉4 kitabu cha Simulizi     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

vidonda vya tumbo, dalili zake, chanzo chake na tiba yake

Makala hii itakwenda kukupa elimu juu ya vidonda vya tumbo, nini hasa chanzo chake, vipi vinatokea ni zipi dalili zake, ni zipi njia za kujilinda dhidi ya vidonda vya tumbo. Pia tutaangalia matibabu ya kutibi vidonda vya tumbo.

Soma Zaidi...
je Kama utaonekana kupatwa na homa,kichwa,tumbo, kiharisha kwa siku moja( ya kwanza) na vyote kupona siku nyingine (ya pili kupona) pasipo kutumia dawa inaweza kuwa Ni dalili ya ugonjwa wa zinaa ?

Homa ni moka ya dalili inayohusiana na maradhi mengi sana. Unaweza kuwa na homa ikawa pia si maradhi kumbe ni stress tu. Je unasumbuliwa na homa za mara kwamara, Makala hii ni kwa ajili yako

Soma Zaidi...
Dalili za mtu aliyegongwa na nyoka

Post hii inahusu zaidi dalili za mtu aliyegongwa na nyoka, nyoka ni kiumbe ambacho Kina sumu kali na sumu ikiingia mwilini mtu huwa na dalili mbalimbali

Soma Zaidi...
MARADHI YA MOYO

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Dalili kuu 7 za vidonda vya tumbo

Zijuwe dalili kuu 7 za vidonda vya tumbo, kama kiungulia, tumbo kujaa, maumivu ya umbo..

Soma Zaidi...
Matatizo ya mapigo ya moyo

posti hii inazungumzia kuhusiana na matatizo ya mapigo ya moyo.Mapigo ya moyo ni hisia za kuwa na moyo wa haraka, unaodunda. Mapigo ya moyo yanaweza kuchochewa na mafadhaiko, mazoezi, dawa au, mara chache, hali ya kiafya. Ingawa mapigo ya moyo yanaweza k

Soma Zaidi...