Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo, hizi ni njia ambazo zinapaswa kufuatwa ili kutokomeza kabisa maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.
Namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.
1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa sababu nyingi zinazoweza kusababisha maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo ni uchafu ambao tunakutana nao kwenye shughuli zetu za kila siku kwa hiyo tunapaswa kufanya yafuatayo ili kuweza kuepuka madhara makubwa yatokanayo na Maambukizi
2.Kwanza kabisa tunapaswa kuepuka kunywa maji machafu na vyakula vichafu kwa hiyo tunapaswa kuchemsha maji na kuyachuja kabla ya kunywa na pia chakula kinapaswa kwa cha moto au kufunikwa vizuri kama tumemtunzia mtu ili kuepuka kupandwa na nzi ambao utua sehemu mbalimbali.
3. Tunapaswa kuishi mikono na maji safi na sabuni baada ya kutoka chooni, kabla ya kuandaa chakula , kabla ya kula na kabla ya kugusa kitu chochote ambacho kinaingia mdomoni mwa mtu kwa kufanya hivyo tunaweza kupunguza maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.
4. Pia tunapaswa kuwashauri Watu wale wanaotumia madawa ya antibiotics mara kwa mara bila mpangilio na bila maelekezo kutoka kwa daktari au wataalamu wa afya wanapaswa kuacha kabisa kwa sababu nazo uleta Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo ikiwa zitatumiwa bila mpangilio
5.Na pia tunapaswa kuosha vyakula vyote tunavyozipata kutoka sokoni na pia kuelimisha jamii matumizi ya choo na kuacha kukisaidia ovyoovyo kwa kufanya hivyo tutaweza kuondoa tatizo la Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi juu ya ugonjwa wa kipindupindu.Ni dalili zinzojitokeza kwa magonjwa wa kipindupindu.
Soma Zaidi...Kuvimbiwa kwa watoto ni shida ya kawaida. Kuvimbiwa kwa watoto mara nyingi huonyeshwa na kinyesi kisicho kawaida au kinyesi ngumu na kavu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia Watu wale ambao wana Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.
Soma Zaidi...Hivi umeshawahi kuwazakuwa jekipimo cha HIV ni sahihi kwa kiasi gani. Unadhani huwa kinakoseaga kutoa majibu?
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ngozi kuwa kavu si mbaya, lakini inaweza kusumbua na isipendeze, ikitengeneza mistari laini na Mikunjo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu Zaidi aina za ajali kwenye kifua,pamoja na kifua kuwa na sehemu mbalimbali na pia na ajali ambazo utokea Huwa za aina mbalimbali kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Upasuaji ni kundi la ki medical linalohusu kutoa kiungo kisichohitajika kwenye mwili.
Soma Zaidi...Post hii inahusu dalili za uvimbe kwenye kinywa ambapo kitaalamu hujulikana Kama oral candidiasis Uvimbe kwenye kinywa husababisha vidonda vyeupe, kwa kawaida kwenye ulimi au mashavu ya ndani. Wakati mwingine uvimbe kwenye kinywa huweza ku
Soma Zaidi...Posti hii inahusu athari za maambukizi ya magonjwa ya ngonoย ambapo magonjwa ya ngono isipokuwa UKIMWIย yanatibika .mgonjwa anashauriwa kuwahi hospitali au kituo chochote cha afya kupata matibabu mara anapoona dalili za magonjwa haya.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kushindwa kupitisha mkojo, ni madhara makubwa yanayotokea kwa mtu iwapo akishindwa kupitisha mkojo.
Soma Zaidi...