MAANA NA FADHILA ZA DUA

DUA Kwa ufupi dua ni kumuomba Allah akuondoshee lililobaya, ama linalo kuudhi ama akupe jambo fulani.

MAANA NA FADHILA ZA DUA

DUA
Kwa ufupi dua ni kumuomba Allah akuondoshee lililobaya, ama linalo kuudhi ama akupe jambo fulani. Na dua ni ibada kama ibada nyingine.

Dua ni jambo lenye kupendeza kama walivyosema maulamaa na masalafi wema walotangulia. Umuhimu wa dua na msisitizo wake unapatikana katika quran na sunnah.

Dua zimesisitizwa sana katika quran na sunnah hata mtume akasema ู„ููŠูŽุณู’ุฃูŽู„ู’ ุฃูŽุญูŽุฏููƒูู…ู’ ุฑูŽุจู‘ูŽู‡ู ุญูŽุงุฌูŽุชูŽู‡ู ุญูŽุชู‘ูŽู‰ ูŠูŽุณู’ุฃูŽู„ูŽู‡ู ุงู„ู’ู…ูู„ู’ุญูŽ โ€œna aombe mmoja wenu haya yake (dua) kwa Allah mpaka chumvi.โ€ฆโ€. Hivyo si kuomba mambo kakubwa tu na matatizo tulonayo ila mpaka chumvi.

FADHILA ZA DUA
1.Dua ni ibada. Basi utambue ewe ndugu muislamu kuwa dua ni ibada. Imepokewa hadithi kutoka kwa Nuuman Ibn Bashir ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kuw Mtume wa Allah ุตู„ูŠุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู… amesema "โ€ ุงู„ุฏูู‘ุนูŽุงุกู ู‡ููˆูŽ ุงู„ู’ุนูุจูŽุงุฏูŽุฉูโ€œhakika dua ni ibadaโ€ (imepokewa na Tirmidh na ameisahihisha).

2.Dua ndio jambo tukufu zaidi kwa Allah kama Mtume ุตู„ูŠุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู… aliposema katika hadithi iliyosimuliwa na Abu Huraurah ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kuwa Mtume amesema โ€œhakuna kitu kitukufu mbele ya Allah kuliko duaโ€ (imapokewa na tirmidh, imam Ahmad na Alhaakim kwa isnad sahihi) ู„ูŽูŠู’ุณูŽ ุดูŽูŠู’ุกูŒ ุฃูŽูƒู’ุฑูŽู…ูŽ ุนูŽู„ูŽู‰ ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ุชูŽุนูŽุงู„ูŽู‰ ู…ูู†ูŽ ุงู„ุฏู‘ูุนูŽุงุกู โ€œ

3.Allah anamchukia mtu ambaye hamuombi. Abuu Hurairah ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ amesema kuwa Mtume ุตู„ูŠุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู… amesema "โ€ ู…ูŽู†ู’ ู„ูŽู…ู’ ูŠูŽุณู’ุฃูŽู„ู ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ูŽ ูŠูŽุบู’ุถูŽุจู’ ุนูŽู„ูŽูŠู’ู‡ู โ€" โ€œmtu yeyote ambaye hamuombi Allah, Allah humchukia mtu huyoโ€ (amepokea hadithi tirmidh)

4.Allah anapenda kuombwa. Katika masimulizi ya Ibn Masโ€™ud ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… amesema โ€œmuombeni Allah katika fadhila zake, hakika Mwenyezimungu Mtukufu (ุบุฒู‘ ูˆุฌู„ู‘) anapenda kuombwaโ€ (amepokea Tirmidh).

5.Dua ni malango wa rehema. Katika masimulizi ya ibn โ€˜Umar ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kuwa Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… amesema "โ€ ู…ูŽู†ู’ ููุชูุญูŽ ู„ูŽู‡ู ู…ูู†ู’ูƒูู…ู’ ุจูŽุงุจู ุงู„ุฏูู‘ุนูŽุงุกู ููุชูุญูŽุชู’ ู„ูŽู‡ู ุฃูŽุจู’ูˆูŽุงุจู ุงู„ุฑูŽู‘ุญู’ู…ูŽุฉู ูˆูŽู…ูŽุง ุณูุฆูู„ูŽ ุงู„ู„ูŽู‘ู‡ู ุดูŽูŠู’ุฆู‹ุง ูŠูŽุนู’ู†ููŠ ุฃูŽุญูŽุจูŽู‘ ุฅูู„ูŽูŠู’ู‡ู ู…ูู†ู’ ุฃูŽู†ู’ ูŠูุณู’ุฃูŽู„ูŽ ุงู„ู’ุนูŽุงูููŠูŽุฉูŽ โ€"โ€ โ€œmwenye kufunguliwa mlango wa dua, hufunguliwa mlango wa rehema.โ€ฆโ€ (amepokea Tirmidh).

6.Dua huondosha mabalaa na majanga. Katika masimulizi ya Ibn โ€˜Umar, ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… amesema โ€œhakika dua hunufaisha kwa (hukinga) yale yanayoshuka (yanayotokea), na yale ambayo hayajashuaka ( hayajatokea). Basi jilazimisheni na (kuomba) dua enyi waja wa Allah.


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Download App yetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Sunnah Main: Dini File: Download PDF Views 796

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Kitabu cha Afya    ๐Ÿ‘‰2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    ๐Ÿ‘‰3 Simulizi za Hadithi Audio    ๐Ÿ‘‰4 Kitau cha Fiqh    ๐Ÿ‘‰5 Bongolite - Game zone - Play free game    ๐Ÿ‘‰6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Dua za kuwaombea wazazi

Kwenye Quran kuna duaambazo Allah ametufundisha tuziombe kwa ajili ya wazazi, familia na kwa ajili yetu wenyewe.

Soma Zaidi...
Hali ambazo akiwa nazo mwenye kuomba dua dua yake hujibiwa

Post hii inakwenda kukifundisha nibhali zipi ukiwa nazo, basi dua yako kuhubaliwa kwa urahisi.

Soma Zaidi...
Dua sehemu ya 04

Soma dua mbalimbali za kila siku ambazo unatakiwa uzijuwe. Dua 120 ambazo muislamu anatakiwa kuzijua

Soma Zaidi...
AINA ZA HADITHI

Aina za HadithKuna aina kuu mbili za Hadith- (a) Hadith Nabawiyyi.

Soma Zaidi...
MAANA YA HADITHI SUNNAH

Maana ya SunnahKilugha: Neno sunnah katika lugha ya Kiarabu lina maana ya mwenendo au mila.

Soma Zaidi...
DUA ZA WAKATI WA HASIRA

DUA ZA WAKATI UNAPOKUWA NA HASIRA.

Soma Zaidi...
KAMA HUNA HAYA BASI FAJA UNACHOTAKA

ุนูŽู†ู’ ุฃูŽุจููŠ ู…ูŽุณู’ุนููˆุฏู ุนูู‚ู’ุจูŽุฉูŽ ุจู’ู†ู ุนูŽู…ู’ุฑููˆ ุงู„ู’ุฃูŽู†ู’ุตูŽุงุฑููŠูู‘ ุงู„ู’ุจูŽุฏู’ุฑููŠูู‘ ุฑูŽุถููŠูŽ ุงู„ู„ู‡ู ุนูŽู†ู’ู‡ู ู‚ูŽุงู„ูŽ: ู‚ูŽุงู„ูŽ ุฑูŽุณููˆู„ู ุงู„ู„ูŽู‘ู‡ู ุตู„ู‰ ุงู„ู„ู‡ ุนู„?...

Soma Zaidi...
dua ya kuomba jambo ufanikiwe

hii ni damna ya kuomba dua ukubaliwe, dua ya kuomba jambo ufanikiwe

Soma Zaidi...
BAADHI YA DUA ZA KILA SIKU

BAADHI YA DUA ZA KILA SIKU.

Soma Zaidi...