Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya undetectable viral load
UNDETECTABLE VIRAL LOAD ni nini?
Kabla ya kujuwa maana nzima ya hii sentensi kwanza utambuwe maana ya viral load. Viral load ni idadi ya virusi vilivyomo kwenye damu katika kipimo. Sasa undetectavble viral load maana yake mtu ni muathirika ila virusi vyake idadi yake haionekani kwenye kipimo. Hapa anaweza kuwa pengine ana kirusi kimoja ama viwili ama hana kabisa. Itambulike kuwa hata kama virusi havionekani kwenye kipimo bado mtu atakuwa ni muathirika na kipimo cha ukimwi kitaendelea kumuonyesha ni muathiriki.a.
Muathirika aliyefikia hatuwa hii ataishi vyema kama watu wengine bila ya kuonyesha dalili yeyote ile. Pia kama ataendelea kudumu na hali hii kwa muda wa miezi kama 6 hatoweza kumuambukiza mtu kwa namna yeyote ile. Ma muathirika endapo atatumia vyema dawa za ARV anaweza kufikia kiwango hiki ndani ya mieze 6, ila kama atakuwa amechelea kuanza matibabu inaweza kuchukuwa muda zaidi ya hapo, na ndio maana watu wanashauriwa kupima ili kugunduwa maambukizi mapema iwezekanavyo.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Katika post hii utajifunza kuhusu ugonjwa wa vitiligo, chanzo chake, dalili zake na matibabu yaje
Soma Zaidi...post Ina onyesha madhara na matatizo ya Unene Utoto ni hali mbaya ya kiafya inayoathiri watoto na vijana. Inatokea wakati mtoto yuko juu ya uzito wa kawaida kwa umri na urefu wake
Soma Zaidi...Ni muda gani nitaanza kuona dalili za HIV na kilimo kitaonyesha kuwa nimeathirika?
Soma Zaidi...Post hii unahusu mtu mwenye ugonjwa wa akili ambao huitwa ugonjwa wa wasiwasi Kwa kitaalamu huitwa anxiety,ni pale mtu anapokuwa na wasiwasi Kwa vitu nafasi mbali mbali kama tutakavoona.
Soma Zaidi...Zijuwe dalili kuu 7 za vidonda vya tumbo, kama kiungulia, tumbo kujaa, maumivu ya umbo..
Soma Zaidi...Tofauti na maradhi yaliyotajwa hapo juu pia tafiti za kisayansi zimethibitisha kuwepo kwa maradhi mengine hatari yanayosambazwa na mbu, kama vile ngirimaji pamoja na matende.
Soma Zaidi...Pumu ni ugonjwa wa njia ya upumuaji unaojulikana na kizuizi cha muda mrefu cha njia ya upumuaji. Inahusisha mfumo wa upumuaji unaobana njia ya hewa, Inaweza kuwa ya nje (hii hutokea kwa vijana kutokana na mizio) au ya ndani (hutokea kwa wazee)
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya njia za kuzuia kiungulia
Soma Zaidi...Post ya leo inaenda kufundisha dalili na hatari za presha ya kupanda. Presha ni ugonjwa unaosababishwa na baadhi ya vitu mbalimbali.pressure hujulikana kwa jina lingine ambolo ni hypertension (pressure ya kupanda). presha hugundulika pale ambapo presha ya
Soma Zaidi...