' ' '
"' ' '"
' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ': ((' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' '))
' ' .
' ' ' ' ' ' ' ': ' ' ' ' ' ' ' ((' ' ' ')) . ': '. ': ((' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' '))
' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' '.
Kutoka kwa An-Nawwaas Ibn Sam'aan ' ' ' ambaye alisema kuwa Mtume ' ' ' ' kasema:
Uadilifu ni tabia nzuri na udhalimu ni kile kitu ambacho huyumbayumba (chenye mashaka) katika nafsi yako na hupendelei watu kukitambua.
Imesimuliwa na Muslim
Na kutoka kwa Waabisah Ibn Ma'abad ' ' ' ambaye alisema:
Nilikuja kwa Mtume ' ' ' ' naye akasema:
Umekuja kuuliza juu uadilifu? Nikasema: Ndio . Akasema: Ushaurishe moyo wako. Uadilifu ni kile ambacho nafsi yako inakihisi shwari na moyo wako pia unahisi shwari, na udhalimu ni kile kinachoyumbayumba katika nafsi na kwenda na kurudi kifuani ijapokuwa watu wamekupa shauri lao la kisheria (kukipendelea).
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa
Mwandhishi Tarehe 2018-08-01 Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 134
Download our Apps
👉1 Madrasa kiganjani
👉2 Kitau cha Fiqh
👉3 kitabu cha Simulizi
👉4 Kitabu cha Afya
Namna ya kumvalisha sanda maiti, na kushona sanda ya maiti
Soma Zaidi...
Vipengele vya mkataba wa Hudaibiya na faida zake katika Ukombozi (ufunguzi) wa mji wa Makkah
Soma Zaidi...
Watu wanaowajibikiwa kuhiji
Soma Zaidi...
DUA DHIDI YA WASIWASI, UCHAWI NA MASHETANI
DUA ZA KUONDOA WASIWASI, SIHIRI NA UCHAWI 1. Soma Zaidi...
Kuangamia kwa Mtoto na Mke wa Nuhu(a.s)
Tukirejea Qur'an (11:36-48) na (23:26 -29) tunapata maelezo juu ya mchakato wa kuangamizwa makafiri na kuokolewa waumini katika kaumu ya Nabii Nuhu(a. Soma Zaidi...
Masomo ya Dua na Faida zake Dua
Soma Dua mbalimbali hapa, Soma Zaidi...
UJUMBE WA SIRI KWENYE KITABU CHA AJABU
Soma Zaidi...
DARSA LA KUJIFUNZA KUHUSU QURAN NA SUNNAH
Soma Zaidi...
Maana ya shahada kama nguzo ya kwanza ya uislamu
4. Soma Zaidi...
Maamrisho ya kushikamana nayo
Yale tunayoamrishwa kushikamana nayo ni haya yafuatayo: (i)Kumuabudu Allah (s. Soma Zaidi...