ENYI WAJA WANGU NIMEIKATAZA NAFSI YANGU DHULMA

ENYI WAJA WANGU NIMEIKATAZA NAFSI YANGU DHULMA

ุงู„ุญุฏูŠุซ ุงู„ุฑุงุจุน ูˆุงู„ุนุดุฑูˆู†

"ูŠุง ุนุจุงุฏูŠ ุฅู†ูŠ ุญุฑู…ุช ุงู„ุธู„ู… ุนู„ู‰ ู†ูุณูŠ"

ุนู† ุฃุจูŠ ุฐูŽุฑู‘ู ุงู„ู’ุบููุงุฑูŠู‘ู ุฑุถูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ุŒ ุนู† ุงู„ู†ุจูŠู‘ู ุตู„ู‰ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู… ููŠู…ุง ูŠูŽุฑู’ูˆูŠู‡ู ุนู† ุฑูŽุจู‘ูู‡ู ุนูŽุฒู‘ูŽ ูˆุฌูŽู„ู‘ูŽ ุฃูŽู†ู‘ูŽู‡ู ู‚ุงู„: 

(( ูŠุง ุนูุจุงุฏูŠ ุฅู†ู‘ููŠ ุญูŽุฑู‘ูŽู…ู’ุชู ุงู„ุธูู„ู’ู…ูŽ ุนู„ู‰ ู†ูŽูู’ุณููŠ ูˆูŽ ุฌุนูŽู„ู’ุชูู‡ู ุจูŽูŠู’ู†ูŽูƒูู…ู’ ู…ูุญูŽุฑู‘ูŽู…ุงู‹ ูู„ุง ุชูŽุธูŽุงู„ูŽู…ููˆุง.

ูŠุง ุนูุจุงุฏูŠ ูƒูู„ู‘ููƒูู…ู’ ุถุงู„ู‘ูŒ ุฅู„ุง ู…ูŽู†ู’ ู‡ูŽุฏูŽูŠู’ุชูู‡ูุŒ ูุงุณู’ุชูŽู‡ุฏููˆู†ูŠ ุฃู‡ู’ุฏููƒูู…ู’.

ูŠุง ุนูุจุงุฏููŠ ูƒูู„ู‘ููƒูู…ู’ ุฌุงุฆุนูŒ ุฅู„ุง ู…ูŽู†ู’ ุฃุทู’ุนูŽู…ู’ุชูู‡ูุŒ ูุงุณู’ุชูŽุทู’ุนูู…ููˆู†ูŠ ุฃูุทู’ุนูู…ู’ูƒูู….

ูŠุง ุนูุจุงุฏููŠ ูƒูู„ู‘ููƒูู…ู’ ุนูŽุงุฑู ุฅู„ุง ู…ูŽู†ู’ ูƒูŽุณูŽูˆู’ุชูู‡ูุŒ ูุงุณู’ุชูƒู’ุณูˆู†ูŠ ุฃูŽูƒุณููƒูู….

ูŠุง ุนูุจุงุฏููŠ ุฅูู†ู‘ูŽูƒูู…ู’ ุชูุฎู’ุทูุฆููˆู†ูŽ ุจุงู„ู„ูŠู’ู„ู ูˆุงู„ู†ู‘ูŽู‡ุงุฑูุŒ ูˆุฃู†ุง ุฃูŽุบู’ููุฑู ุงู„ุฐู‘ูู†ููˆุจูŽ ุฌูŽู…ูŠุนุงู‹ุŒ ูุงุณู’ุชูŽุบู’ููุฑููˆู†ูŠ ุฃูุบู’ููุฑ ู„ูƒูู…ู’.

ูŠุง ุนูุจุงุฏููŠ ุฅูู†ู‘ูŽูƒูู…ู’ ู„ู†ู’ ุชุจู’ู„ุบููˆุง ุถูุฑู‘ููŠ ูุชูŽุถูุฑู‘ููˆู†ูŠุŒ ูˆู„ู† ุชุจู’ู„ูุบููˆุง ู†ูู’ุนูŠ ููŽุชูŽู†ู’ูุนููˆู†ูŠ.

ูŠุง ุนูุจุงุฏููŠ ู„ูˆู’ ุฃูŽู†ู‘ูŽ ุฃูŽูˆู‘ูŽู„ูŽูƒูู…ู’ ูˆุขุฎูุฑูŽูƒูู…ู’ ูˆุฅู†ู’ุณูŽูƒูู…ู’ ูˆุฌูู†ู‘ูŽูƒูู…ู’ ูƒุงู†ููˆุง ุนูŽู„ูŽู‰ ุฃูŽุชู’ู‚ูŽู‰ ู‚ูŽู„ู’ุจู ุฑูŽุฌูู„ู ูˆุงุญุฏู ู…ูู†ู’ูƒูู…ู’ ู…ุง ุฒุงุฏูŽ ุฐู„ูƒ ููŠ ู…ูู„ู’ูƒูŠ ุดูŽูŠุฆุงู‹.

ูŠุง ุนูุจุงุฏููŠ ู„ูˆู’ ุฃูŽู†ู‘ูŽ ุฃูŽูˆู‘ูŽู„ูƒูู…ู’ ูˆุขุฎูุฑูŽูƒูู…ู’ ูˆุฅู†ู’ุณูŽูƒูู…ู’ ูˆุฌูู†ู‘ูŽูƒูู…ู’ ูƒุงู†ููˆุง ุนูŽู„ูŽู‰ ุฃูŽูู’ุฌูŽุฑู ู‚ูŽู„ู’ุจู ุฑูŽุฌูู„ู ูˆูŽุงุญุฏู ู…ูู†ู’ูƒูู…ู’ ู…ุง ู†ูŽู‚ูŽุตูŽ ุฐูŽู„ููƒูŽ ู…ูู†ู’ ู…ูู„ู’ูƒูŠ ุดูŽูŠุฆุงู‹.

ูŠุง ุนูุจุงุฏููŠ ู„ูˆู’ ุฃูŽู†ู‘ูŽ ุฃูŽูˆู‘ูŽู„ูŽูƒูู…ู’ ูˆุขุฎูุฑูŽูƒูู…ู’ ูˆุฅู†ู’ุณูŽูƒูู…ู’ ูˆุฌู†ู‘ูŽูƒูู…ู’ ู‚ุงู…ูˆุง ููŠ ุตูŽุนููŠุฏู ูˆูŽุงุญูุฏูุŒ ููŽุณูŽุฃูŽู„ููˆู†ูŠุŒ ูุฃูŽุนู’ุทูŽูŠู’ุชู ูƒู„ู‘ูŽ ูˆุงุญุฏู ู…ูŽุณู’ุฃูŽู„ูŽุชูŽู‡ู ู…ุง ู†ูŽู‚ูŽุตูŽ ุฐู„ูƒ ู…ูู…ู‘ูŽุง ุนูู†ู’ุฏููŠ ุฅู„ุง ูƒู…ุง ูŠูŽู†ู’ู‚ูุตู ุงู„ู’ู…ูุฎู’ูŠูŽุทู ุฅุฐุง ุฃูุฏู’ุฎูู„ูŽ ุงู„ู’ุจูŽุญู’ุฑูŽ.

ูŠุง ุนูุจุงุฏููŠ ุฅู†ู‘ูŽู…ุง ู‡ูŠ ุฃุนู…ูŽุงู„ููƒูู…ู’ ุฃูุญู’ุตููŠู‡ุง ู„ูŽูƒูู…ู’ ุซูู…ู‘ูŽ ุฃููˆูŽูู‘ููŠูƒูู…ู’ ุฅูŠู‘ูŽุงู‡ุงุŒ ููŽู…ูŽู†ู’ ูˆูŽุฌูŽุฏูŽ ุฎูŠู’ุฑุงู‹ ููŽู„ู’ูŠูŽุญู’ู…ูŽุฏู ุงู„ู„ู‡ูŽุŒ ูˆู…ูŽู†ู’ ูˆูŽุฌูŽุฏูŽ ุบูŽูŠู’ุฑูŽ ุฐู„ูƒ ููŽู„ุง ูŠูŽู„ูˆู…ูŽู†ู‘ูŽ ุฅู„ุง ู†ูŽูู’ุณูŽู‡))

 ุฑูŽูˆูŽุงู‡ู ู…ูุณู’ู„ูู…ูŒ   


 ENYI WAJA WANGU NIMEIKATAZA NAFSI YANGU DHULMA

 

Kutoka kwa Abu Dharr Al-Ghifariy ุฑุถูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡   naye kutoka kwa Mtume ุตู„ู‰ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู…  akisimulia yale aliyopokea kutoka kwa  Bwana wake   ุนูŽุฒู‘ูŽ ูˆูŽุฌูŽู„ู‘ูŽ   ni:

Enyi waja Wangu, Nimeikataza nafsi Yangu dhulma na Nimeiharamisha kwenu (hiyo dhulma), kwa hivyo msidhulumiane.

Enyi waja Wangu, nyote mumepotea isipokuwa wale Niliowaongoza, kwa hivyo tafuteni muongozo kutoka Kwangu Nitakuongozeni. 

Enyi waja Wangu nyote mna njaa isipokuwa wale Niliowalisha, kwa hivyo tafuteni chakula kutoka Kwangu na Nitakulisheni.

Enyi waja Wangu, nyote muko uchi isipokuwa wale niliowavika nguo, kwa hivyo tafuteni vazi kutoka Kwangu nitakuvisheni.

Enyi waja Wangu, mnafanya  makosa usiku na mchana, na ninasamehe dhambi zote, kwa hivyo tafuteni msamaha kutoka Kwangu nitakusameheni.

Enyi waja Wangu hamuwezi kunidhuru Mimi wala kuninufaisha.  

Enyi waja Wangu, ingekuwa wa mwanzo wenu na wa mwisho wenu, binaadamu katika nyinyi na majini katika nyinyi akawa mcha Mungu kama moyo wa mcha Mungu yeyote katika nyinyi, haitaongeza  chochote katika ufalme Wangu.

Enyi waja Wangu, angelikuwa wa mwanzo wenu na wa mwisho wenu, binaadamu katika nyinyi na majini katika nyinyi akawa mbaya kama moyo mbaya wa mtu miongoni mwenu (mtu mbaya kupita kiasi) haitonipunguzia chochote katika ufalme Wangu.

Enyi  waja Wangu ingelikuwa wa mwanzo wenu na wa mwisho wenu, binaadamu katika nyinyi na majini katika nyinyi mukasimama pahala pamoja na mkaniomba, na nikawapa kila mmoja alichoomba, haitonipunguzia katika nilicho nacho zaidi kuliko sindano inavyopunguza bahari inapochovya.

Enyi waja Wangu, ni vitendo vyenu ninavyovihesabu, kwa ajili yenu nikakulipeni.  Kwa hivyo anayekuta wema amshukuru Allaah na yule anayekuta yasiokuwa mema (basi) ajilaumu mwenyewe.

Imesimuliwa na Muslim



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Tawhid Main: Dini File: Download PDF Views 1007

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Madrasa kiganjani    ๐Ÿ‘‰2 Kitabu cha Afya    ๐Ÿ‘‰3 kitabu cha Simulizi    ๐Ÿ‘‰4 Bongolite - Game zone - Play free game    ๐Ÿ‘‰5 Simulizi za Hadithi Audio    ๐Ÿ‘‰6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Maswali juu ya nguzo za Imani

Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu

Faradhi kwa maiti ya muislamu (edk form 2:dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Kujielimisha kwa Ajili ya Allah (s.w).

Elimu ndiyo zanaย aliyotunukiwaย mwanadamuย ili aitumieย kutekelezaย majukumuย yake kama Khalifa wa Allah (s.

Soma Zaidi...
Lengo la kushushwa vitabu vya mwenyezi Mungu (s.w)

Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Kumuamini mwenyezi Mungu..

Nguzo za Imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...