"ูุง ุนุจุงุฏู ุฅูู ุญุฑู ุช ุงูุธูู ุนูู ููุณู"
ุนู ุฃุจู ุฐูุฑูู ุงููุบููุงุฑููู ุฑุถู ุงููู ุนููุ ุนู ุงููุจููู ุตูู ุงููู ุนููู ูุณูู ููู ุง ููุฑููููู ุนู ุฑูุจูููู ุนูุฒูู ูุฌูููู ุฃูููููู ูุงู:
(( ูุง ุนูุจุงุฏู ุฅูููู ุญูุฑููู ูุชู ุงูุธูููู ู ุนูู ููููุณูู ูู ุฌุนูููุชููู ุจูููููููู ู ู ูุญูุฑููู ุงู ููุง ุชูุธูุงููู ููุง.
ูุง ุนูุจุงุฏู ูููููููู ู ุถุงููู ุฅูุง ู ููู ููุฏูููุชูููุ ูุงุณูุชููุฏูููู ุฃููุฏูููู ู.
ูุง ุนูุจุงุฏูู ูููููููู ู ุฌุงุฆุนู ุฅูุง ู ููู ุฃุทูุนูู ูุชูููุ ูุงุณูุชูุทูุนูู ูููู ุฃูุทูุนูู ูููู .
ูุง ุนูุจุงุฏูู ูููููููู ู ุนูุงุฑู ุฅูุง ู ููู ููุณูููุชูููุ ูุงุณูุชููุณููู ุฃููุณูููู .
ูุง ุนูุจุงุฏูู ุฅููููููู ู ุชูุฎูุทูุฆูููู ุจุงูููููู ูุงูููููุงุฑูุ ูุฃูุง ุฃูุบูููุฑู ุงูุฐูููููุจู ุฌูู ูุนุงูุ ูุงุณูุชูุบูููุฑูููู ุฃูุบูููุฑ ูููู ู.
ูุง ุนูุจุงุฏูู ุฅููููููู ู ููู ุชุจููุบููุง ุถูุฑููู ูุชูุถูุฑูููููุ ููู ุชุจูููุบููุง ูููุนู ููุชููููุนูููู.
ูุง ุนูุจุงุฏูู ููู ุฃูููู ุฃููููููููู ู ูุขุฎูุฑูููู ู ูุฅููุณูููู ู ูุฌููููููู ู ูุงูููุง ุนูููู ุฃูุชูููู ููููุจู ุฑูุฌููู ูุงุญุฏู ู ูููููู ู ู ุง ุฒุงุฏู ุฐูู ูู ู ููููู ุดููุฆุงู.
ูุง ุนูุจุงุฏูู ููู ุฃูููู ุฃูููููููู ู ูุขุฎูุฑูููู ู ูุฅููุณูููู ู ูุฌููููููู ู ูุงูููุง ุนูููู ุฃูููุฌูุฑู ููููุจู ุฑูุฌููู ููุงุญุฏู ู ูููููู ู ู ุง ููููุตู ุฐููููู ู ููู ู ููููู ุดููุฆุงู.
ูุง ุนูุจุงุฏูู ููู ุฃูููู ุฃููููููููู ู ูุขุฎูุฑูููู ู ูุฅููุณูููู ู ูุฌูููููู ู ูุงู ูุง ูู ุตูุนููุฏู ููุงุญูุฏูุ ููุณูุฃููููููุ ูุฃูุนูุทูููุชู ูููู ูุงุญุฏู ู ูุณูุฃูููุชููู ู ุง ููููุตู ุฐูู ู ูู ููุง ุนูููุฏูู ุฅูุง ูู ุง ููููููุตู ุงููู ูุฎูููุทู ุฅุฐุง ุฃูุฏูุฎููู ุงููุจูุญูุฑู.
ูุง ุนูุจุงุฏูู ุฅูููู ุง ูู ุฃุนู ูุงููููู ู ุฃูุญูุตูููุง ููููู ู ุซูู ูู ุฃูููููููููู ู ุฅูููุงูุงุ ููู ููู ููุฌูุฏู ุฎููุฑุงู ููููููุญูู ูุฏู ุงููููุ ูู ููู ููุฌูุฏู ุบูููุฑู ุฐูู ูููุง ููููู ูููู ุฅูุง ููููุณูู))
ุฑูููุงูู ู ูุณูููู ู
Kutoka kwa Abu Dharr Al-Ghifariy ุฑุถู ุงููู ุนูู naye kutoka kwa Mtume ุตูู ุงููู ุนููู ูุณูู akisimulia yale aliyopokea kutoka kwa Bwana wake ุนูุฒูู ููุฌูููู ni:
Enyi waja Wangu, Nimeikataza nafsi Yangu dhulma na Nimeiharamisha kwenu (hiyo dhulma), kwa hivyo msidhulumiane.
Enyi waja Wangu, nyote mumepotea isipokuwa wale Niliowaongoza, kwa hivyo tafuteni muongozo kutoka Kwangu Nitakuongozeni.
Enyi waja Wangu nyote mna njaa isipokuwa wale Niliowalisha, kwa hivyo tafuteni chakula kutoka Kwangu na Nitakulisheni.
Enyi waja Wangu, nyote muko uchi isipokuwa wale niliowavika nguo, kwa hivyo tafuteni vazi kutoka Kwangu nitakuvisheni.
Enyi waja Wangu, mnafanya makosa usiku na mchana, na ninasamehe dhambi zote, kwa hivyo tafuteni msamaha kutoka Kwangu nitakusameheni.
Enyi waja Wangu hamuwezi kunidhuru Mimi wala kuninufaisha.
Enyi waja Wangu, ingekuwa wa mwanzo wenu na wa mwisho wenu, binaadamu katika nyinyi na majini katika nyinyi akawa mcha Mungu kama moyo wa mcha Mungu yeyote katika nyinyi, haitaongeza chochote katika ufalme Wangu.
Enyi waja Wangu, angelikuwa wa mwanzo wenu na wa mwisho wenu, binaadamu katika nyinyi na majini katika nyinyi akawa mbaya kama moyo mbaya wa mtu miongoni mwenu (mtu mbaya kupita kiasi) haitonipunguzia chochote katika ufalme Wangu.
Enyi waja Wangu ingelikuwa wa mwanzo wenu na wa mwisho wenu, binaadamu katika nyinyi na majini katika nyinyi mukasimama pahala pamoja na mkaniomba, na nikawapa kila mmoja alichoomba, haitonipunguzia katika nilicho nacho zaidi kuliko sindano inavyopunguza bahari inapochovya.
Enyi waja Wangu, ni vitendo vyenu ninavyovihesabu, kwa ajili yenu nikakulipeni. Kwa hivyo anayekuta wema amshukuru Allaah na yule anayekuta yasiokuwa mema (basi) ajilaumu mwenyewe.
Imesimuliwa na Muslim
Umeionaje Makala hii.. ?
Faradhi kwa maiti ya muislamu (edk form 2:dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Elimu ndiyo zanaย aliyotunukiwaย mwanadamuย ili aitumieย kutekelezaย majukumuย yake kama Khalifa wa Allah (s.
Soma Zaidi...Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...