عَنْ أَبِي يَعْلَى شَدَّادِ بْنِ أَوْسٍ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ عَنْ رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم قَالَ: "إنَّ اللَّهَ كَتَبَ الْإِح...
عَنْ أَبِي يَعْلَى شَدَّادِ بْنِ أَوْسٍ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ عَنْ رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم قَالَ: "إنَّ اللَّهَ كَتَبَ الْإِحْسَانَ عَلَى كُلِّ شَيْءٍ، فَإِذَا قَتَلْتُمْ فَأَحْسِنُوا الْقِتْلَةَ، وَإِذَا ذَبَحْتُمْ فَأَحْسِنُوا الذِّبْحَةَ، وَلْيُحِدَّ أَحَدُكُمْ شَفْرَتَهُ، وَلْيُرِحْ ذَبِيحَتَهُ".
[رَوَاهُ مُسْلِمٌ].
Kwa mapokezi ya Abu Ya'la Shaddad bin Aws (Mwenyezi Mungu apendezwe naye), kwamba Mjumbe wa Mwenyezi Mungu (amani na baraka za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) amesema:
Hakika Mwenyezi Mungu ameamuru ihsan (ustadi, ukamilifu) katika vitu vyote. Kwa hivyo ikiwa mnaua basi uueni vizuri; na ikiwa mnachinja, basi chinjen vizuri. Na anoe (vyema) mmoja wenu kichinjio chake (kisu) na na asimpe mateso mnyama anayemchinja ”
[Muslim]
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 537
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi
👉2 Madrasa kiganjani
👉3 Kitau cha Fiqh
👉4 Kitabu cha Afya
Ijuwe swala ya Tawbah na jinsi ya kuiswali
Post hii itakufundisha kuhusu swala ya sinnah ya tawba. Soma Zaidi...
Sera ya uchumi katika Uislamu
4. Soma Zaidi...
Aina ya biashara zilizo haramu kwenye uislamu
Hapa utajifunza aina za biashara ambazo ni haramu. Soma Zaidi...
Watu hawa huruhusiwi kuwaoa katika uislamu
Hapa utajifunza watu ambao ni halali kuwaoa na wale ambao ni haramu kuwaoa. Soma Zaidi...
Hii ndio namna ya kuswali kama alivyoswali Mtume s.a.w
Mtume (s. Soma Zaidi...
Kumuandaa Maiti kabla ya kufa ama kukata roho
Soma Zaidi...
Haki za kijamii za mwanamke katika uislamu
Soma Zaidi...
namna ya kuswali swala ya msafiri, nguzo zake na hukumu zake
Soma Zaidi...
Ijuwe ibada ya zaka na sadaka na namna ya kuitekeleza
Soma Zaidi...
Misingi na Maadili Katika Uislamu
5. Soma Zaidi...
Yanayofaa kwa maamuma katika kumfata imamu kwenye swala ya jamaa
Soma Zaidi...
Kumuosha maiti hatua kwa hatua nguzo zake, na suna zake
Soma Zaidi...