' ' ' ' ' ' ': ' ' ' ' ' ' ' ' "' ' ' ' ' ' '...
' ' ' ' ' ' ': ' ' ' ' ' ' ' ' "' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ': "' ' ' ' ' ' ' '"' ' ': "' ' ' ' ' ' ' ' '" ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ': ' '! ' '! ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' '".
[' ']
Kwa mapokezi ya Abu Hurayrah (ra):
Mjumbe wa Mwenyezi Mungu ((s.a.w)) Amesema, "Mwenyezi Mungu Mtukufu ni Mzuri na anakubali mambo mazuri (mema). Na hakika Mwenyezi Mungu amewaamrisha waumini kufanya yale ambayo Amewaamuru Mitume.
Kwani Mwenyezi Amesema: "Enyi Mitume! Kuleni kila vyakula vizurit [kila aina ya vyakula halal (kisheria)], na fanya matendo mema. "[23:51] na Mwenyezi Amesema:" Enyi mlio amini! Kuleni vitu vilivyo vizuri (halali) ambavyo tumekupeni.
Kisha akataja habari ya Mtu mmoja ambaye alikuwa yupo safarini, safari ndefu akiwa manywele yapo timtim amechafuka mavumbi akavyoosha mikono yake angani kuomba dua akisema "Ewe Bwana! Ee Mola! 'Wakati chakula chake ni haram (kisicho halali), kinywaji chake ni haram, mavazi yake ni haram, na amelelewa na chakula kilicho haram, kwa hivyo [dua yake] inawezaje kujibiwa? [Muslim]
Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa
Author Tarehe 2018-08-01 Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 104
Chemsha bongo namba 23
18. Soma Zaidi...
STANDARD FOUR ENGLISH TEST 007
Soma Zaidi...
Aina za talaka zinazo rejewa
Soma Zaidi...
Bara la Arabu Zama za Jahiliyyah
Wakati Mtume(s. Soma Zaidi...
VOCABULARY ANSWERS
1. Soma Zaidi...
FANGASI SEHEMU ZA SIRI: DALILI ZAKE, CANZO CHAKE NA NJIA ZA KUPAMBANA NAO
Soma Zaidi...
HADITHI YA BINTI MWENYE KUFICHWA MTOTO WA MFALME
Download kitabu Hiki Bofya hapa HADITHI YA BINTI MWENYEKUFICHWA, MTOTO WA MFALME. Soma Zaidi...
kitabu cha matunda
Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEKUNYWA SUMU
Maisha ya mtu yanaweza kuwa hatarini ama kupotea mara moja baada ya kunywa sumu. Soma Zaidi...
Dua sehemu ya 04
Soma dua mbalimbali za kila siku ambazo unatakiwa uzijuwe. Dua 120 ambazo muislamu anatakiwa kuzijua Soma Zaidi...
WAQFU WAL-IBTIDAAI
Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa Soma Zaidi...