26.
26.Toroka
Mtu mmoja alikuwa amekamatwa, na akafunguwa kwenye chumba chenye milango miwili bila hata ya madirisha. Mlango wa kwanza ulikuwa na nyoka mkali anasubiri uje akugonge. Mlango wa pili ulikuwa na kioo ambacho kikipigwa na jua kunaunguza sana. Ukikisogelea tu unaugua kama moto.
Unadhani mtu huyu atatokaje salama kwenye chumba hiki?
Jibu
Atasubiri jua lizame ndipo atatoka kwa usalama
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Kutoka kwenye usingizi mzito unaamka, Haujui nini kimetokea (uenda ukawa umepoteza kumbukumba).
Soma Zaidi...Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...Chemshabongo, Je? ungelikuwa ni w ewe ungetorokaje gerezani?
Soma Zaidi...