Dua sehemu ya 04

Soma dua mbalimbali za kila siku ambazo unatakiwa uzijuwe. Dua 120 ambazo muislamu anatakiwa kuzijua

Dua sehemu ya 04

BAADHI YA DUA ZA KILA SIKU.
Hizi ni dua ambazo zimekusanya mambo ya duniani na akhera. Yaani muombaji dua hizi atanufaika kwa mambo ya kidunia na akhera. Dua hizi ni zenye kujibiwa na hazichagui muda. Nidua ambazo zinaombwa wakati wowote ule. Hizi ni dua ambazo Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… alikuwa akizipenda sana kuzitumia.

1.Dua ya kuomba kheri duniani na akhera. Amesimulia Anas ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kuwa alikuwa mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… alikuwa akioma sana dua hii โ€œALLAHUMMA RABBANAA AATINAA FII DUNIYAA HASANA WAFIL-AAKHIRAT HASANA WAQINAA โ€˜ADHAABAN-NAARIโ€ (amesimulia Bukhari,Muslim na Abuu Daud).

2.Dua za kutaka maghafira (msamaha). Amesimulia Abuu Musa ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kuwa alikuwa Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… akiomba dua hii โ€œALLAHUMMA IGHFIR LII KHATWII-ATII, WAJAHLII, WAISRAAFII FII-AMRII, WAMAA ANTA Aโ€™ALAMU BIHI MINNII. ALLAHUMMA IGH-FIR LII JUDDII, WAHAZLII, WAKHATWAII, WAโ€™AMDII, WAKULLA DHALIKA โ€˜INDII. ALLAHUMMA IGH-FIRLII MAA QADDAMTU, WAMAA AKHARTU, WAMAA ASRARTU, WAMAA Aโ€™ALANTU, WAMAA ANTA Aโ€™ALAMU BIHI MINNII. WA ANTAL-MUAKHIRU, WAANTA โ€˜ALAA KULLI SHAI-IN QADIIRโ€ (amepokea Bukhari).

3.Dua ya kuomba rehma na rizki. Amesimulia Saโ€™ad ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kuwa alikuja mtu mmoja kwa Mtume akamwambia ewe mtume nijulishe maneno niwe ninayasema. Mtume akamwambia sema โ€œLAA ILAAHA ILLA LLAHU WAHDAHU LAA SHARIKA LAHU. ALLAHU AKBARU KABIIRAA WAL-HAMDU LILLAHI KATHIIRAA WASUBHAANA LLAHI RABBIL-โ€™ALAMIINA LAAHAULA WALAA QUWATA ILLAA BILLAHIL-โ€™AZIZIL-HAKIIMโ€ akasema Mtu yule kumwambia mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… โ€œmaneno haya ni kwa ajili ya Allah je! Ni yapi yatakuwa kwa ajili yangu? Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… akamwambia sema โ€œALLAHUMMA IGH-FIR LII WARHAMNII, WAHDINII WARZUQNIIโ€ (amepokea muslim).

4.Dua ya kujikinga na upotovu. Amesimulia Ibn โ€˜Abas ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kuwa Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… alikuwa akisema โ€œALLAHUMMA LAKA ASLAMTU, WABIKA AAMANTU, WAโ€™ALAIKA TAWAKALTU, WAILAIKA ANABTU WABIKA KHAASWAMTU. ALLAHUMMA INNII Aโ€™UDHUBIKA BIโ€™IZZATIKA LAA ILAAHA ILLA ANTA AN TUDHWILLANII ANTAL-HAYUL-LADHII LAA YAMUUTU WALJINNU WAL-INSU YAMUUTUUNAโ€. (amepokea Muslim).

5.Dua ya kutaka hifadha kwa Allah katika mambo ya dunia na akhera. Amesimulia Ibn โ€˜Abas ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kuwa alikuwa Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… akiomba dua (hii): โ€œRABBI Aโ€™INNII WALA TUโ€™IN โ€˜ALAIYA WANSURNII WALAA TANSUR โ€˜ALAIYA WAMKUR LII WALAA TAMKUR โ€˜ALAIYA WAHDINII WAYASIRIL-HUDAA LII WANSURNII โ€˜ALAA MAN YUGH-NII โ€˜ALAIYA. RABBI IJโ€™ALNII SHAKRAA LAKA DHAKAARAA WAHAABAA LAKA MUTWAWAA LAKA MUKHBITAN ILAIKA AWAHAN MUNIIBAA. RABBI TAQABBAL TAUBATII WAGH-SIL HAUBATII WAJIB DAโ€™AWATII WATHABIT HAJATII WASADID LISAANII WAHADI QALBII WASLUL SAKHIIMATI SWADRIIโ€. (amepokea Tirmidh na Abuu daud kwa isnad sahihi).

6.Dua ya wakati wa kulala na kuamka.amesimulia Abuu Dhar ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kuwa alikuwa Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… pindi anapotaka kulala usiku huweka mkono wake chini ya kitefute chake kisha husema โ€œBISMIKALLAHUMMA AHYAA WA AMUTโ€ na anapoamka husema โ€œALHAMDU LILLAHI LADHII AHYAANAA BAโ€™ADA MAA AMAATANAA WAILAIHN-NUSHUURโ€. (amepokea Ahmad Bukhari na musmlim).

7.Dua wakati wa kuvaa nguo. Amesimulia Ibn Saโ€™id ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kuwa alikuwa Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… anapovaa nguo au kanzu au msuli au kilemba husema โ€œALLAHUMMA INNII AS-ALUKA MIN KHAIRIHI WAKHAIR MAA HUWA LAHU WA Aโ€™UDHUBIKA MIN SHARI WASHARI MAA HUWA LAHUโ€

8.Dua wakati wa kutoka nyumbani. Amesimulia Anas ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kuwa amesema Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… Mwenyekusema pindi anapoingia nyumbani kwake โ€œBISMILLAHI TAWAKALTU โ€˜ALAA LLAHI WALAA HAULA WALAA QUWATA ILLAA BILLAHโ€ huambia โ€œumetoshelezewa, umeongozwa na umekingwa na shetaniโ€ (amepokea Abuu Daud n Tirmidh).

9.Dua wakati wa kuingia nyumbani amesimulia Anas ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kuwa Mtume alimwabia โ€œewe kijana changu utakapoingia kwa ahalizako (nyumbani kwako) salimia (yaani toa salamu โ€˜ASALAAMU โ€˜ALYKUM WARAHMATUL-LLAHI WABARAKAATUHโ€™) itakuwa ni baraka kwako na kwa ahalizakoโ€. (amepokea Tirmidh).

10.Dua ya wakati wa kuingia chooni. Amesimulia Anas ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kuwa alikuwa Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… anapoingia chooni husema โ€œBISMILLAHI ALLAHIMMA INNII Aโ€™UDHUBIKA MINALKHUBUTH WALKHABAAITHIโ€. (amepokea Bukhari Muslim).

11.Dua wakati wa kutoka chooni. Amesimulia ibn โ€˜Umar ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kuwa alikuwa mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… anapotoka chooni husema โ€œGHUFRAANAKA ALHAMDU LILLAHI LLADHII ADH HABA โ€˜ANNIL-ADHA WAโ€™AF โ€˜ANNIโ€ (amepokea Tirmidh na Abuu Daud).

ADHKARI MBALIMBALI NA DUA Hapa tutajifunza dua mbalimbali ambazo ni adhkari. Tutajifunza pia na faida zake kama Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… alivyozungumza na masahaba zake.

1.amesema Mtume"โ€ ุฃูŽูู’ุถูŽู„ู ุงู„ุฐู‘ููƒู’ุฑู ู„ุงูŽ ุฅูู„ูŽู‡ูŽ ุฅูู„ุงู‘ูŽ ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ูˆูŽุฃูŽูู’ุถูŽู„ู ุงู„ุฏู‘ูุนูŽุงุกู ุงู„ู’ุญูŽู…ู’ุฏู ู„ูู„ู‘ูŽู‡ู โ€"โ€ โ€œbora ya dhikir ni kusema Lฤ ilฤha illallฤh na bora ya dua ni kusema Al-แธฅamdulillฤhโ€ (amepokea Tirmidh).

2.Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… amesema "โ€ ู…ูŽุง ู…ูู†ู’ ุนูŽุจู’ุฏู ูŠูŽู‚ููˆู„ู ูููŠ ุตูŽุจูŽุงุญู ูƒูู„ู‘ู ูŠูŽูˆู’ู…ู ูˆูŽู…ูŽุณูŽุงุกู ูƒูู„ู‘ู ู„ูŽูŠู’ู„ูŽุฉู ุจูุณู’ู…ู ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ุงู„ู‘ูŽุฐููŠ ู„ุงูŽ ูŠูŽุถูุฑู‘ู ู…ูŽุนูŽ ุงุณู’ู…ูู‡ู ุดูŽูŠู’ุกูŒ ูููŠ ุงู„ุฃูŽุฑู’ุถู ูˆูŽู„ุงูŽ ูููŠ ุงู„ุณู‘ูŽู…ูŽุงุกู ูˆูŽู‡ููˆูŽ ุงู„ุณู‘ูŽู…ููŠุนู ุงู„ู’ุนูŽู„ููŠู…ู ุซูŽู„ุงูŽุซูŽ ู…ูŽุฑู‘ูŽุงุชู ููŽูŠูŽุถูุฑู‘ูู‡ู ุดูŽูŠู’ุกูŒ โ€" โ€œMja yeyote atakayesema โ€˜Bismillฤh, alladhi lฤ yaแธurru ma`a ismihi shai'un fil-arแธi wa lฤ fis-samฤ', wa huwas-Samฤซ`ul `Alฤซmโ€™ mara tatu kila asubuhi na jioni hatadhuriwa na kitu chochoteโ€ (Amepokea Tirmidh).

3.mtume amesema "โ€ ู…ูŽู†ู’ ู‚ูŽุงู„ูŽ ุญููŠู†ูŽ ูŠูู…ู’ุณููŠ ุฑูŽุถููŠุชู ุจูุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ุฑูŽุจู‘ู‹ุง ูˆูŽุจูุงู„ุฅูุณู’ู„ุงูŽู…ู ุฏููŠู†ู‹ุง ูˆูŽุจูู…ูุญูŽู…ู‘ูŽุฏู ู†ูŽุจููŠู‘ู‹ุง ูƒูŽุงู†ูŽ ุญูŽู‚ู‘ู‹ุง ุนูŽู„ูŽู‰ ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ุฃูŽู†ู’ ูŠูุฑู’ุถููŠูŽู‡ู โ€"โ€ โ€œMwenye kusema jioni โ€˜Raแธฤซtu billฤhi rabban wabil-Islฤmi dฤซnan wa bi-Muแธฅammadin nabiyyanโ€™ itakuwa ni haki kwa Allah kumridhiaโ€ (Amepokea tirmidh).

4.Mtume alimwambia al-baraa IBN โ€˜Aazib kuwa โ€œุฃูŽู„ุงูŽ ุฃูุนูŽู„ู‘ูู…ููƒูŽ ูƒูŽู„ูู…ูŽุงุชู ุชูŽู‚ููˆู„ูู‡ูŽุง ุฅูุฐูŽุง ุฃูŽูˆูŽูŠู’ุชูŽ ุฅูู„ูŽู‰ ููุฑูŽุงุดููƒูŽ ููŽุฅูู†ู’ ู…ูุชู‘ูŽ ู…ูู†ู’ ู„ูŽูŠู’ู„ูŽุชููƒูŽ ู…ูุชู‘ูŽ ุนูŽู„ูŽู‰ ุงู„ู’ููุทู’ุฑูŽุฉู ูˆูŽุฅูู†ู’ ุฃูŽุตู’ุจูŽุญู’ุชูŽ ุฃูŽุตู’ุจูŽุญู’ุชูŽ ูˆูŽู‚ูŽุฏู’ ุฃูŽุตูŽุจู’ุชูŽ ุฎูŽูŠู’ุฑู‹ุง ุชูŽู‚ููˆู„ู ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ูู…ู‘ูŽ ุฅูู†ู‘ููŠ ุฃูŽุณู’ู„ูŽู…ู’ุชู ู†ูŽูู’ุณููŠ ุฅูู„ูŽูŠู’ูƒูŽ ูˆูŽูˆูŽุฌู‘ูŽู‡ู’ุชู ูˆูŽุฌู’ู‡ููŠ ุฅูู„ูŽูŠู’ูƒูŽ ูˆูŽููŽูˆู‘ูŽุถู’ุชู ุฃูŽู…ู’ุฑููŠ ุฅูู„ูŽูŠู’ูƒูŽ ุฑูŽุบู’ุจูŽุฉู‹ ูˆูŽุฑูŽู‡ู’ุจูŽุฉู‹ ุฅูู„ูŽูŠู’ูƒูŽ ูˆูŽุฃูŽู„ู’ุฌูŽุฃู’ุชู ุธูŽู‡ู’ุฑููŠ ุฅูู„ูŽูŠู’ูƒูŽ ู„ุงูŽ ู…ูŽู„ู’ุฌูŽุฃูŽ ูˆูŽู„ุงูŽ ู…ูŽู†ู’ุฌูŽุง ู…ูู†ู’ูƒูŽ ุฅูู„ุงู‘ูŽ ุฅูู„ูŽูŠู’ูƒูŽ ุขู…ูŽู†ู’ุชู ุจููƒูุชูŽุงุจููƒูŽ ุงู„ู‘ูŽุฐููŠ ุฃูŽู†ู’ุฒูŽู„ู’ุชูŽ ูˆูŽุจูู†ูŽุจููŠู‘ููƒูŽ ุงู„ู‘ูŽุฐููŠ ุฃูŽุฑู’ุณูŽู„ู’ุชูŽ โ€"โ€ โ€ โ€œje nikufundishe maneno utakayoyasema pindi atakapoliendea tandiko lako (kulala) na kama utakufa utakufa katika fitrah (uislamu) na ukiamka asubhi utakuwa umepambaukiwa katika kheri? Utasema โ€˜'Allฤhumma innฤซ aslamtu nafsฤซ ilaika wa wajjahtu wajhฤซ ilaika, wa fawwaแธtu amrฤซ ilaika, raghbatan wa rahbatan ilaika wa alja'tu แบ“ahrฤซ ilaika, lฤ malja'a [wa lฤ manjฤ] minka illฤ ilaik. ฤ€mantu bikitฤbikal-ladhฤซ anzalta wa binabiyyikal-ladhฤซ arsaltโ€™ (Amepokea Tirmidh).



        

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Sunnah Main: Dini File: Download PDF Views 1118

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Kitau cha Fiqh    ๐Ÿ‘‰2 Simulizi za Hadithi Audio    ๐Ÿ‘‰3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    ๐Ÿ‘‰4 Bongolite - Game zone - Play free game    ๐Ÿ‘‰5 kitabu cha Simulizi    ๐Ÿ‘‰6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Al-Arbauwn An-Nawawiyyah hadithi ya 6: ubainifu wa halali na haramu

Post hii inakwenda kukupa tahadhari juu ya mambo ya halali na mambo ya haramu.

Soma Zaidi...
Dua Sehemu ya 02

Zijuwe nyakati ambazo dua inakubaliwa kwa haraka zaidi. Zijuwe nyakati ambazo ukiomba dua hitakubaliwa.

Soma Zaidi...
Uislamu ni Nasaha (kunasihiana) kwa Mwenyezi Mungu, Kitabu chake Mtume wake , Viongozi na waislamu wote

ุนูŽู†ู’ ุฃูŽุจููŠ ุฑูู‚ูŽูŠูŽู‘ุฉูŽ ุชูŽู…ููŠู…ู ุจู’ู†ู ุฃูŽูˆู’ุณู ุงู„ุฏูŽู‘ุงุฑููŠูู‘ ุฑูŽุถููŠูŽ ุงู„ู„ู‡ู ุนูŽู†ู’ู‡ู ุฃูŽู†ูŽู‘ ุงู„ู†ูŽู‘ุจููŠูŽู‘ ุตู„ู‰ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู… ู‚ูŽุงู„ูŽ: "ุงู„ุฏูู‘ูŠู†ู ุงู„ู†ูŽู‘ุตู?...

Soma Zaidi...
KUKUSANYIKA KATIKA DUA

KUKUSANYIKA KATIKA DUA.

Soma Zaidi...
DUA ZA KUONDOA WASIWASI

DUA ZA KUONDOA MAUMIVU MWILINI Katika uislamu Allah amejaalia dawa katika kufuata sunnah.

Soma Zaidi...
Hali ambazo akiwa nazo mwenye kuomba dua dua yake hujibiwa

Post hii inakwenda kukifundisha nibhali zipi ukiwa nazo, basi dua yako kuhubaliwa kwa urahisi.

Soma Zaidi...
Uandishi wa Hadithi wakati wa Matabiina

Historia ya uandishi wa hadithibwakati wa Matabiina, yaani wafuasi wa maswahaba

Soma Zaidi...
DUA 85 - 93

SWALA YA MTUME 85.

Soma Zaidi...
AL-ARBAUWN AN-NAWAWIYYAH HADITHI YA 4: Uumbwaji wa mwanadamu

HAdithi hii itakufundisha namna ambavyo mwanadamu anapitia hatuwa mbalumbali tumboni mwa mama yake

Soma Zaidi...
Matamshi ambayo ukimwambia Allah kwenye dua yako basi hujibiwa kwa haraka dua hiyo

Post hii inakwenda kukufundisha matamshi ambayo mtu akiyatamka Allah hujibu dua hiyo kwa urahisi.

Soma Zaidi...