MAANA NA FADHILA ZA KUOMBA DUA

DUA Kwa ufupi dua ni kumuomba Allah akuondoshee lililobaya, ama linalo kuudhi ama akupe jambo fulani.

MAANA NA FADHILA ZA KUOMBA DUA


DUA
Kwa ufupi dua ni kumuomba Allah akuondoshee lililobaya, ama linalo kuudhi ama akupe jambo fulani. Na dua ni ibada kama ibada nyingine.

Dua ni jambo lenye kupendeza kama walivyosema maulamaa na masalafi wema walotangulia. Umuhimu wa dua na msisitizo wake unapatikana katika quran na sunnah.

Dua zimesisitizwa sana katika quran na sunnah hata mtume akasema ู„ููŠูŽุณู’ุฃูŽู„ู’ ุฃูŽุญูŽุฏููƒูู…ู’ ุฑูŽุจู‘ูŽู‡ู ุญูŽุงุฌูŽุชูŽู‡ู ุญูŽุชู‘ูŽู‰ ูŠูŽุณู’ุฃูŽู„ูŽู‡ู ุงู„ู’ู…ูู„ู’ุญูŽ โ€œna aombe mmoja wenu haya yake (dua) kwa Allah mpaka chumvi.โ€ฆโ€. Hivyo si kuomba mambo kakubwa tu na matatizo tulonayo ila mpaka chumvi.

FADHILA ZA DUA
1.Dua ni ibada. Basi utambue ewe ndugu muislamu kuwa dua ni ibada. Imepokewa hadithi kutoka kwa Nuuman Ibn Bashir ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kuw Mtume wa Allah ุตู„ูŠุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู… amesema "โ€ ุงู„ุฏูู‘ุนูŽุงุกู ู‡ููˆูŽ ุงู„ู’ุนูุจูŽุงุฏูŽุฉูโ€œhakika dua ni ibadaโ€ (imepokewa na Tirmidh na ameisahihisha).

2.Dua ndio jambo tukufu zaidi kwa Allah kama Mtume ุตู„ูŠุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู… aliposema katika hadithi iliyosimuliwa na Abu Huraurah ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kuwa Mtume amesema โ€œhakuna kitu kitukufu mbele ya Allah kuliko duaโ€ (imapokewa na tirmidh, imam Ahmad na Alhaakim kwa isnad sahihi) ู„ูŽูŠู’ุณูŽ ุดูŽูŠู’ุกูŒ ุฃูŽูƒู’ุฑูŽู…ูŽ ุนูŽู„ูŽู‰ ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ุชูŽุนูŽุงู„ูŽู‰ ู…ูู†ูŽ ุงู„ุฏู‘ูุนูŽุงุกู โ€œ

3.Allah anamchukia mtu ambaye hamuombi. Abuu Hurairah ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ amesema kuwa Mtume ุตู„ูŠุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู… amesema "โ€ ู…ูŽู†ู’ ู„ูŽู…ู’ ูŠูŽุณู’ุฃูŽู„ู ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ูŽ ูŠูŽุบู’ุถูŽุจู’ ุนูŽู„ูŽูŠู’ู‡ู โ€" โ€œmtu yeyote ambaye hamuombi Allah, Allah humchukia mtu huyoโ€ (amepokea hadithi tirmidh)

4.Allah anapenda kuombwa. Katika masimulizi ya Ibn Masโ€™ud ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… amesema โ€œmuombeni Allah katika fadhila zake, hakika Mwenyezimungu Mtukufu (ุบุฒู‘ ูˆุฌู„ู‘) anapenda kuombwaโ€ (amepokea Tirmidh).

5.Dua ni malango wa rehema. Katika masimulizi ya ibn โ€˜Umar ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kuwa Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… amesema "โ€ ู…ูŽู†ู’ ููุชูุญูŽ ู„ูŽู‡ู ู…ูู†ู’ูƒูู…ู’ ุจูŽุงุจู ุงู„ุฏูู‘ุนูŽุงุกู ููุชูุญูŽุชู’ ู„ูŽู‡ู ุฃูŽุจู’ูˆูŽุงุจู ุงู„ุฑูŽู‘ุญู’ู…ูŽุฉู ูˆูŽู…ูŽุง ุณูุฆูู„ูŽ ุงู„ู„ูŽู‘ู‡ู ุดูŽูŠู’ุฆู‹ุง ูŠูŽุนู’ู†ููŠ ุฃูŽุญูŽุจูŽู‘ ุฅูู„ูŽูŠู’ู‡ู ู…ูู†ู’ ุฃูŽู†ู’ ูŠูุณู’ุฃูŽู„ูŽ ุงู„ู’ุนูŽุงูููŠูŽุฉูŽ โ€"โ€ โ€œmwenye kufunguliwa mlango wa dua, hufunguliwa mlango wa rehema.โ€ฆโ€ (amepokea Tirmidh).

6.Dua huondosha mabalaa na majanga. Katika masimulizi ya Ibn โ€˜Umar, ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… amesema โ€œhakika dua hunufaisha kwa (hukinga) yale yanayoshuka (yanayotokea), na yale ambayo hayajashuaka ( hayajatokea). Basi jilazimisheni na (kuomba) dua enyi waja wa Allah.


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Download App yetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Sunnah Main: Dini File: Download PDF Views 863

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Bongolite - Game zone - Play free game    ๐Ÿ‘‰2 Madrasa kiganjani    ๐Ÿ‘‰3 Simulizi za Hadithi Audio    ๐Ÿ‘‰4 Kitau cha Fiqh    ๐Ÿ‘‰5 Kitabu cha Afya    ๐Ÿ‘‰6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Hukumu ya kukusanyika kwenye dua na umuhimu wa dua ya watu wengi

Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu umuhimu wa kukusanyika katika kuomba dua.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kutoa salamu katika uislamu

MAkala hii itakwenda kukufundisha jinsi ya kutoa salamu kwenye uislamu

Soma Zaidi...
MASHARTI YA KUKUBALIWA KWA DUA

MASHART YA KUKUBALIWA KWA DUA.

Soma Zaidi...
DUA ZA WAKATI WA HASIRA

DUA ZA WAKATI UNAPOKUWA NA HASIRA.

Soma Zaidi...
UHAKIKI WA HADITHI

Uhakiki wa Hadith za Mtume (s.

Soma Zaidi...
NYAKATI AMBAZO DUA HUJIBIWA

NYAKATI AMBAZO DUA HUJUBIWA.

Soma Zaidi...
DUA 85 - 93

SWALA YA MTUME 85.

Soma Zaidi...
DUA ZENYE MANENO HAYA HUJIBIWA

SIFA ZA (MANENO NA MATAMSHI YA) DUA YENYE KUJIBIWA.

Soma Zaidi...