MAANA NA FADHILA ZA KUOMBA DUA

DUA Kwa ufupi dua ni kumuomba Allah akuondoshee lililobaya, ama linalo kuudhi ama akupe jambo fulani.

MAANA NA FADHILA ZA KUOMBA DUA


DUA
Kwa ufupi dua ni kumuomba Allah akuondoshee lililobaya, ama linalo kuudhi ama akupe jambo fulani. Na dua ni ibada kama ibada nyingine.

Dua ni jambo lenye kupendeza kama walivyosema maulamaa na masalafi wema walotangulia. Umuhimu wa dua na msisitizo wake unapatikana katika quran na sunnah.

Dua zimesisitizwa sana katika quran na sunnah hata mtume akasema ู„ููŠูŽุณู’ุฃูŽู„ู’ ุฃูŽุญูŽุฏููƒูู…ู’ ุฑูŽุจู‘ูŽู‡ู ุญูŽุงุฌูŽุชูŽู‡ู ุญูŽุชู‘ูŽู‰ ูŠูŽุณู’ุฃูŽู„ูŽู‡ู ุงู„ู’ู…ูู„ู’ุญูŽ โ€œna aombe mmoja wenu haya yake (dua) kwa Allah mpaka chumvi.โ€ฆโ€. Hivyo si kuomba mambo kakubwa tu na matatizo tulonayo ila mpaka chumvi.

FADHILA ZA DUA
1.Dua ni ibada. Basi utambue ewe ndugu muislamu kuwa dua ni ibada. Imepokewa hadithi kutoka kwa Nuuman Ibn Bashir ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kuw Mtume wa Allah ุตู„ูŠุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู… amesema "โ€ ุงู„ุฏูู‘ุนูŽุงุกู ู‡ููˆูŽ ุงู„ู’ุนูุจูŽุงุฏูŽุฉูโ€œhakika dua ni ibadaโ€ (imepokewa na Tirmidh na ameisahihisha).

2.Dua ndio jambo tukufu zaidi kwa Allah kama Mtume ุตู„ูŠุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู… aliposema katika hadithi iliyosimuliwa na Abu Huraurah ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kuwa Mtume amesema โ€œhakuna kitu kitukufu mbele ya Allah kuliko duaโ€ (imapokewa na tirmidh, imam Ahmad na Alhaakim kwa isnad sahihi) ู„ูŽูŠู’ุณูŽ ุดูŽูŠู’ุกูŒ ุฃูŽูƒู’ุฑูŽู…ูŽ ุนูŽู„ูŽู‰ ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ุชูŽุนูŽุงู„ูŽู‰ ู…ูู†ูŽ ุงู„ุฏู‘ูุนูŽุงุกู โ€œ

3.Allah anamchukia mtu ambaye hamuombi. Abuu Hurairah ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ amesema kuwa Mtume ุตู„ูŠุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู… amesema "โ€ ู…ูŽู†ู’ ู„ูŽู…ู’ ูŠูŽุณู’ุฃูŽู„ู ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ูŽ ูŠูŽุบู’ุถูŽุจู’ ุนูŽู„ูŽูŠู’ู‡ู โ€" โ€œmtu yeyote ambaye hamuombi Allah, Allah humchukia mtu huyoโ€ (amepokea hadithi tirmidh)

4.Allah anapenda kuombwa. Katika masimulizi ya Ibn Masโ€™ud ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… amesema โ€œmuombeni Allah katika fadhila zake, hakika Mwenyezimungu Mtukufu (ุบุฒู‘ ูˆุฌู„ู‘) anapenda kuombwaโ€ (amepokea Tirmidh).

5.Dua ni malango wa rehema. Katika masimulizi ya ibn โ€˜Umar ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kuwa Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… amesema "โ€ ู…ูŽู†ู’ ููุชูุญูŽ ู„ูŽู‡ู ู…ูู†ู’ูƒูู…ู’ ุจูŽุงุจู ุงู„ุฏูู‘ุนูŽุงุกู ููุชูุญูŽุชู’ ู„ูŽู‡ู ุฃูŽุจู’ูˆูŽุงุจู ุงู„ุฑูŽู‘ุญู’ู…ูŽุฉู ูˆูŽู…ูŽุง ุณูุฆูู„ูŽ ุงู„ู„ูŽู‘ู‡ู ุดูŽูŠู’ุฆู‹ุง ูŠูŽุนู’ู†ููŠ ุฃูŽุญูŽุจูŽู‘ ุฅูู„ูŽูŠู’ู‡ู ู…ูู†ู’ ุฃูŽู†ู’ ูŠูุณู’ุฃูŽู„ูŽ ุงู„ู’ุนูŽุงูููŠูŽุฉูŽ โ€"โ€ โ€œmwenye kufunguliwa mlango wa dua, hufunguliwa mlango wa rehema.โ€ฆโ€ (amepokea Tirmidh).

6.Dua huondosha mabalaa na majanga. Katika masimulizi ya Ibn โ€˜Umar, ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… amesema โ€œhakika dua hunufaisha kwa (hukinga) yale yanayoshuka (yanayotokea), na yale ambayo hayajashuaka ( hayajatokea). Basi jilazimisheni na (kuomba) dua enyi waja wa Allah.


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Jiunge nasi WhatsApp
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Sunnah Main: Dini File: Download PDF Views 1068

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Dua za Mitume na Manabii    ๐Ÿ‘‰2 web hosting    ๐Ÿ‘‰3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    ๐Ÿ‘‰4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    ๐Ÿ‘‰5 kitabu cha Simulizi    ๐Ÿ‘‰6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

NAFASI YA SUNNAH KATIKA UISLAMU

Nafasi ya Sunnah katika UislamuMtume Muhammad (s.

Soma Zaidi...
Hadithi inayotaja nguzo tano za uislamu

ุนูŽู†ู’ ุฃูŽุจููŠ ุนูŽุจู’ุฏู ุงู„ุฑูŽู‘ุญู’ู…ูŽู†ู ุนูŽุจู’ุฏู ุงู„ู„ูŽู‘ู‡ู ุจู’ู†ู ุนูู…ูŽุฑูŽ ุจู’ู†ู ุงู„ู’ุฎูŽุทูŽู‘ุงุจู ุฑูŽุถููŠูŽ ุงู„ู„ูŽู‘ู‡ู ุนูŽู†ู’ู‡ูู…ูŽุง ู‚ูŽุงู„ูŽ: ุณูŽู…ูุนู’ุช ุฑูŽุณููˆู„ูŽ ุงู„ู„ูŽู‘ู‡ู ุตู„?...

Soma Zaidi...
Hadithi ya tatu:ukarimu na kusaidiana

Sunnah na hadithi (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Dua sehemu ya 04

Soma dua mbalimbali za kila siku ambazo unatakiwa uzijuwe. Dua 120 ambazo muislamu anatakiwa kuzijua

Soma Zaidi...
NYAKATI AMBAZO DUA HUJIBIWA

NYAKATI AMBAZO DUA HUJUBIWA.

Soma Zaidi...
Al-Arba uwn An-Nawawiyyah hadithi ya 7: Nasaha katika dini

Post hii itakufundisha umuhimu wa nasaha katika dini

Soma Zaidi...
DUA ZA WAKATI WA SHIDA

DUA ZA WAKATI WA SHIDA 1.

Soma Zaidi...
MAANA YA HADITHI SUNNAH

Maana ya SunnahKilugha: Neno sunnah katika lugha ya Kiarabu lina maana ya mwenendo au mila.

Soma Zaidi...