picha

Dua ya kuingia nyumbani

Hii ni Dua inayisomwa unapoingia nyumbani

Dua [11.1] Unapoingia Nyumbani

 

بِسۡمِ ٱللَّهِ وَلَجۡنَا وَبِسۡمِ ٱللَّهِ خَرَجۡنَا وَعَلَى ٱللَّهِ رَبِّنَا تَوَكَّلۡنَا

 

Kwa Jina la Mwenyezi Mungu tunaingia, kwa Jina la Mwenyezi Mungu tunatoka, na kwa Mola wetu tunategemea.

 

Bismillaahi walajnaa, wa bismillaahi kharajnaa, wa ‘alaa Rabblnaa tawakkalnaa

 

Kisha useme: As-Salaamu ‘Alaykum kwa wale waliopo ndani.

 

Abu Dawud 4/325. Muslim 2018 anasema kwamba mtu anapaswa kulitaja Jina la Mwenyezi Mungu anapoingia nyumbani na anapoanza kula; na shetani akisikia hivyo husema: "Hakuna makazi kwetu hapa usiku wa leo, wala chakula."

 

 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2025-03-22 10:40:50 Topic: Sunnah Main: Post File: Download PDF Views 1334

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting     👉2 Bongolite - Game zone - Play free game     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 Dua za Mitume na Manabii     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zinazofanana:

DUA 113 - 126

DUA ZA WAKATI WA SHIDA Dua ya wakati wa taabu “LAA ILAAHA ILLA-LLAHUL-’ADHIMUL-HALIIMU.

Soma Zaidi...
Adhkari unazoweza kuomba kila siku

Hapa nitakuletea baadhi tu ya adhkari ambazo ni muhimu kwa muislamu

Soma Zaidi...