Dua ya kuingia nyumbani
Hii ni Dua inayisomwa unapoingia nyumbani
Dua [11.1] Unapoingia Nyumbani
بِسۡمِ ٱللَّهِ وَلَجۡنَا وَبِسۡمِ ٱللَّهِ خَرَجۡنَا وَعَلَى ٱللَّهِ رَبِّنَا تَوَكَّلۡنَا
Kwa Jina la Mwenyezi Mungu tunaingia, kwa Jina la Mwenyezi Mungu tunatoka, na kwa Mola wetu tunategemea.
Bismillaahi walajnaa, wa bismillaahi kharajnaa, wa ‘alaa Rabblnaa tawakkalnaa
Kisha useme: As-Salaamu ‘Alaykum kwa wale waliopo ndani.
Abu Dawud 4/325. Muslim 2018 anasema kwamba mtu anapaswa kulitaja Jina la Mwenyezi Mungu anapoingia nyumbani na anapoanza kula; na shetani akisikia hivyo husema: "Hakuna makazi kwetu hapa usiku wa leo, wala chakula."
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
Al-Arba uwn An-Nawawiyyah hadithi ya 7: Nasaha katika dini
Post hii itakufundisha umuhimu wa nasaha katika dini
Soma Zaidi...Al-Arbauwn An-Nawawiyyah hadithi ya 2: Ujio wa Jibril kwa Mtume (s.a.w)
Hii ni hadithi ya pili katika kitabu cha Arbain Nawawiy
Soma Zaidi...Maswali juu ya Sunnah na hadithi
Sunnah na hadithi (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...