Hii ni Dua inayisomwa unapoingia nyumbani
Dua [11.1] Unapoingia Nyumbani
بِسۡمِ ٱللَّهِ وَلَجۡنَا وَبِسۡمِ ٱللَّهِ خَرَجۡنَا وَعَلَى ٱللَّهِ رَبِّنَا تَوَكَّلۡنَا
Kwa Jina la Mwenyezi Mungu tunaingia, kwa Jina la Mwenyezi Mungu tunatoka, na kwa Mola wetu tunategemea.
Bismillaahi walajnaa, wa bismillaahi kharajnaa, wa ‘alaa Rabblnaa tawakkalnaa
Kisha useme: As-Salaamu ‘Alaykum kwa wale waliopo ndani.
Abu Dawud 4/325. Muslim 2018 anasema kwamba mtu anapaswa kulitaja Jina la Mwenyezi Mungu anapoingia nyumbani na anapoanza kula; na shetani akisikia hivyo husema: "Hakuna makazi kwetu hapa usiku wa leo, wala chakula."
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Post hii itakwenda kukugundisha masharti yanayofungamana na kukubaliwa kwa dua.
Soma Zaidi...DUA ZA KUONDOA MAUMIVU MWILINI Katika uislamu Allah amejaalia dawa katika kufuata sunnah.
Soma Zaidi...DUA Kwa ufupi dua ni kumuomba Allah akuondoshee lililobaya, ama linalo kuudhi ama akupe jambo fulani.
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kukufundisha sura katika Quran ambazo ni kinga dhidi ya Wachawi, uchawi na Masheitwani.
Soma Zaidi...Kukubaliwa kwa dua kunategemea mahusiano yako na Allah. hata hivyo kuna baadhi ya mabo ukiyafanya dua yako inaweza kukubaliwa kwa haraka zaidi. Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu jinsi ya kuomba dua ikubaliwe.
Soma Zaidi...Zijuwe nyakati ambazo dua inakubaliwa kwa haraka zaidi. Zijuwe nyakati ambazo ukiomba dua hitakubaliwa.
Soma Zaidi...