Dua ya kuingia nyumbani

Hii ni Dua inayisomwa unapoingia nyumbani

Dua [11.1] Unapoingia Nyumbani

 

بِسۡمِ ٱللَّهِ وَلَجۡنَا وَبِسۡمِ ٱللَّهِ خَرَجۡنَا وَعَلَى ٱللَّهِ رَبِّنَا تَوَكَّلۡنَا

 

Kwa Jina la Mwenyezi Mungu tunaingia, kwa Jina la Mwenyezi Mungu tunatoka, na kwa Mola wetu tunategemea.

 

Bismillaahi walajnaa, wa bismillaahi kharajnaa, wa ‘alaa Rabblnaa tawakkalnaa

 

Kisha useme: As-Salaamu ‘Alaykum kwa wale waliopo ndani.

 

Abu Dawud 4/325. Muslim 2018 anasema kwamba mtu anapaswa kulitaja Jina la Mwenyezi Mungu anapoingia nyumbani na anapoanza kula; na shetani akisikia hivyo husema: "Hakuna makazi kwetu hapa usiku wa leo, wala chakula."

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:45 Topic: Sunnah Main: Dini File: Download PDF Views 406

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

DUA 113 - 126

DUA ZA WAKATI WA SHIDA Dua ya wakati wa taabu “LAA ILAAHA ILLA-LLAHUL-’ADHIMUL-HALIIMU.

Soma Zaidi...
(ii)Hum cha Allah (s.w) kwa kutekeleza amri zake

Anapotajwa Mwenyezi Mungu au wanapokumbushwa juu ya maamrisho na makatazo ya Mwenyezi Mungu, nyoyo zao hunyenyekea na kufuata kama walivyokumbushwa.

Soma Zaidi...
Dua Sehemu ya 01

Zijue fadhila za kuomba dua, tambua umuhimu na mahimizo juu ya kuomba dua?

Soma Zaidi...
Hadithi ya tatu:ukarimu na kusaidiana

Sunnah na hadithi (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
kuwa muaminifu na kuchunga Amana

Uaminifu ni uchungaji wa amana.

Soma Zaidi...
Dua 10 ambazo ni muhimu kuziomba kwa kila siku.

Posti hii inakwenda kukupa orodha ya dua 10 ambazo unaweza kuziomba kila siku.

Soma Zaidi...
NAMNA AMBAZO DUA HUJIBIWA

NAMNA AMBAYO ALLAH HUJIBU DUA.

Soma Zaidi...