Athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa wajawazito

Post inahusu zaidi athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa wajawazito au ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri.ugonjwa huu uleta madhara kwa wajawazito kama tutakavyoona

Athari za Ugonjwa wa herpes simplex  kwa  wajawazito au ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri 

1.Ugonjwa huu usipotibiwa unaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na kusababisha  madhara kwa wajawazito kama hawataweza kuutibu mapema.

 

2.Ugonjwa huu Usababisha mimba kutoka kwa wajawazito, tunajua wazi kwamba Ugonjwa huu usababishwa na virusi kwa hiyo kama hautatibiwa mapema unaweza kuingilia kwenye sehemu ya mfuko wa uzazi na kuufanya ukalegea na mimba ikatoka.

 

2. Pia ugonjwa huu Usababisha Mama kujifungua mtoto ambaye hajafikisha umri kwa sababu virusi wakishambulia kwenye plasenta na kusababisha mfuko wa uzazi mtoto anaweza kuzaliwa kabla ya wakati.

 

3. Pia kwa wajawazito mtoto tumboni anaweza kuchelewa kukua hali ambayo upekea mtoto kuzaliwa na umri wa miezi tisa lakini ana ka umbo kadogo sana kwa hiyo hali hii ikitokea ni lazima kupima ugonjwa huu na baadaye kuendelea kumhudumia mtoto.

 

4. Pia ugonjwa huu unaweza kutoka kwa mama mwenye mimba na kwenda kwa mtoto akiwa tumboni kwa hiyo kama mama ana mimba ni vizuri kufanya vipimo vya afya mara kwa mara kuangalia kama kuna Maambukizi yoyote kwa kufanya hivyo tunaweza kuokoa watoto kwa sababu watoto ni kama malaika Magonjwa haya uwashika kwa sababu ya uzembe wa wazazi kushindwa kuchukua vipimo muhimu wakati wa ujauzito.

 

5.Kwa hiyo baada ya kujua kwamba Ugonjwa huu unaleta matatizo mbalimbali kwa watoto hasa wanapokuwa tumboni ni vizuri kuelimisha jamii namna ya kujikinga na kusababisha kufanya vipimo vya mara kwa mara kwa wanawake wajawazito

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1384

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Vyanzo vya minyoo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyanzo vya minyoo

Soma Zaidi...
Dalili za mawe kwenye kibofu Cha mkono

Mawe ya kibofu ni mkusanyiko mgumu wa madini kwenye kibofu chako. Mawe kwenye kibofu hukua wakati mkojo kwenye kibofu chako unapokolea, na kusababisha madini katika mkojo wako kung'aa.

Soma Zaidi...
Namna ya kuzuia ugonjwa wa Homa ya inni.

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia ugonjwa wa Homa ya inni, ni njia ambazo utumiwa Ili kuepuka kusambaa kwa ugonjwa wa Homa ya inni kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine,

Soma Zaidi...
Jinsi ya kuepuka minyoo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuiepuka minyoo

Soma Zaidi...
Dalili na Sababu za homa ya manjano kwa watoto

Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili na Sababu za Homa ya manjano ya watoto wachanga ni kubadilika rangi kwa manjano katika ngozi na macho ya mtoto mchanga. Homa ya manjano ya mtoto hutokea kwa sababu damu ya mtoto ina ziada ya rangi ya

Soma Zaidi...
Dalili za hatari kwa mtoto aliyezaliwa

Posti hii inahusu zaidi dalili za hatari kwa mtoto aliyezaliwa, ni dalili ambazo ujitokeza tu mtoto anapozaliwa kwa hiyo dalili hizi zinapaswa kuzuiwa ili zisilete madhara makubwa.

Soma Zaidi...
Maumivu ya kiuno na dalili zake

Posti hii inahusu zaidi maumivu ya kiuno na dalili zake, ni maumivu ambayo utokea kwenye kiuno na kusababisha madhara mbalimbali katika mwili,

Soma Zaidi...
Matibabu ya fangasi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu matibabu ya fangasi

Soma Zaidi...
Hatua tatu anazozipitia mgonjwa wa tauni

Posti hii inahusu zaidi njia au hatua tatu muhimu anazopitia Mgonjwa wa gauni, kuanzia kwa Maambukizi mpaka kwenye hatua ya mwisho hasa kama Ugonjwa huu haujatibiwa mapema.

Soma Zaidi...