Athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa wajawazito

Post inahusu zaidi athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa wajawazito au ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri.ugonjwa huu uleta madhara kwa wajawazito kama tutakavyoona

Athari za Ugonjwa wa herpes simplex  kwa  wajawazito au ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri 

1.Ugonjwa huu usipotibiwa unaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na kusababisha  madhara kwa wajawazito kama hawataweza kuutibu mapema.

 

2.Ugonjwa huu Usababisha mimba kutoka kwa wajawazito, tunajua wazi kwamba Ugonjwa huu usababishwa na virusi kwa hiyo kama hautatibiwa mapema unaweza kuingilia kwenye sehemu ya mfuko wa uzazi na kuufanya ukalegea na mimba ikatoka.

 

2. Pia ugonjwa huu Usababisha Mama kujifungua mtoto ambaye hajafikisha umri kwa sababu virusi wakishambulia kwenye plasenta na kusababisha mfuko wa uzazi mtoto anaweza kuzaliwa kabla ya wakati.

 

3. Pia kwa wajawazito mtoto tumboni anaweza kuchelewa kukua hali ambayo upekea mtoto kuzaliwa na umri wa miezi tisa lakini ana ka umbo kadogo sana kwa hiyo hali hii ikitokea ni lazima kupima ugonjwa huu na baadaye kuendelea kumhudumia mtoto.

 

4. Pia ugonjwa huu unaweza kutoka kwa mama mwenye mimba na kwenda kwa mtoto akiwa tumboni kwa hiyo kama mama ana mimba ni vizuri kufanya vipimo vya afya mara kwa mara kuangalia kama kuna Maambukizi yoyote kwa kufanya hivyo tunaweza kuokoa watoto kwa sababu watoto ni kama malaika Magonjwa haya uwashika kwa sababu ya uzembe wa wazazi kushindwa kuchukua vipimo muhimu wakati wa ujauzito.

 

5.Kwa hiyo baada ya kujua kwamba Ugonjwa huu unaleta matatizo mbalimbali kwa watoto hasa wanapokuwa tumboni ni vizuri kuelimisha jamii namna ya kujikinga na kusababisha kufanya vipimo vya mara kwa mara kwa wanawake wajawazito

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Author Tarehe 2022/02/24/Thursday - 04:25:08 pm     Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 778

Post zifazofanana:-

Msaada kwa wenye tonsils
Posti hii inahusu zaidi msaada kwa wenye tonsils, kwa wale wenye tonsils wanapaswa kufanya yafuatayo ili kuweza kupambana na ugonjwa huu. Soma Zaidi...

Zijuwe athari za vidonda mwilini
Posti hii inahusu zaidi athari za kutotibu vidonda, hizi ni athari mbalimbali ambazo zinaweza kutokea ingawa kama vidonge haujatibiwa au vimetibiwa kwa kuchelewa. Soma Zaidi...

Mapendekezo muhimu kwa wajawazito
Posti hii inahusu zaidi mapendekezo muhimu kwa wajawazito, haya ni mapendekezo yaliyotolewa na wataalamu wa afya ili wajawazito waweze kule mimba zao vizuri na kuweza kujifungua vizuri na kupata watoto wenye afya njema na makuzi mazuri pasipokuwepo na ulemavu wa aina yoyote ile. Soma Zaidi...

Mambo yanayohitajika kabla ya kuanza upasuaji
Posti hii inahusu zaidi mambo yanayohitajika kabla ya kuanza upasuaji ni mambo muhimu ambayo yanapaswa kufanyika kwanza na baadaye upasuaji unaweza kuendelea. Soma Zaidi...

Imani potofu kuhusu uzazi wa mpango
Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu uzazi wa mpango, ni imani walizonazo Watu kuhusu matumizi ya uzazi wa mpango. Soma Zaidi...

Vyakula na ugonjwa wa kisukari
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vimpasavyo mgonjwa wa kisukari Soma Zaidi...

Ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango.
Posti hii inahusu zaidi ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango, sio kwa imani potofu ambazo Watu utumia kuelezea uzazi wa mpango. Soma Zaidi...

Mambo ambayo mama anapaswa kujua akiwa mjamzito
Posti hii inahusu zaidi mambo anyopaswa kujua akiwa mjamzito. Ni mambo muhimu ya kuzingatia kwa mama akiwa mjamzito. Soma Zaidi...

Ratiba ya chanjo ya Pentavalenti
Posti hii inahusu zaidi chanjo ya pentavalent ni aina ya chanjo ambayo inazuia Magonjwa matano ambayo ni kifadulo, pepopunda, homa ya ini na magonjwa yanayohusiana na upumuaji. Soma Zaidi...

Zifahamu sofa za seli
Seli ni chembechembe hai ambazo zimo ndani ya mwili wa binadamu na hufanya kazi mbalimbali kwenye mwili, binadamu hawezi kuishi bila seli. Soma Zaidi...

Ains ya kisukari inayojulikana kama Diabety type 1
Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kisukari Aina ya kwanza ambapo kwa kitaalamu huitwa Diabetes type 1, ni hali ambayo utokea ambapo mwili ushindwa kutengeneza insulini ambayo uweka sukari kwenye hali ya usawa. Soma Zaidi...

Dalili zake mtoto mwenye Ugonjwa wa Maambukizi kwenye koo
Pisti hii inahusu zaidi dalili za mtoto mwenye Maambukizi ya ugonjwa wa Dondakoo, tunajua wazi kuwa ugonjwa huu uwashambulia hasa watoto wadogo ambao wako chini ya miaka mitano, kwa hiyo zifuatazo ni baadhi ya Dalili zinazoweza kujitokeza kwa watoto hawa. Soma Zaidi...