Athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa wajawazito

Post inahusu zaidi athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa wajawazito au ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri.ugonjwa huu uleta madhara kwa wajawazito kama tutakavyoona

Athari za Ugonjwa wa herpes simplex  kwa  wajawazito au ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri 

1.Ugonjwa huu usipotibiwa unaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na kusababisha  madhara kwa wajawazito kama hawataweza kuutibu mapema.

 

2.Ugonjwa huu Usababisha mimba kutoka kwa wajawazito, tunajua wazi kwamba Ugonjwa huu usababishwa na virusi kwa hiyo kama hautatibiwa mapema unaweza kuingilia kwenye sehemu ya mfuko wa uzazi na kuufanya ukalegea na mimba ikatoka.

 

2. Pia ugonjwa huu Usababisha Mama kujifungua mtoto ambaye hajafikisha umri kwa sababu virusi wakishambulia kwenye plasenta na kusababisha mfuko wa uzazi mtoto anaweza kuzaliwa kabla ya wakati.

 

3. Pia kwa wajawazito mtoto tumboni anaweza kuchelewa kukua hali ambayo upekea mtoto kuzaliwa na umri wa miezi tisa lakini ana ka umbo kadogo sana kwa hiyo hali hii ikitokea ni lazima kupima ugonjwa huu na baadaye kuendelea kumhudumia mtoto.

 

4. Pia ugonjwa huu unaweza kutoka kwa mama mwenye mimba na kwenda kwa mtoto akiwa tumboni kwa hiyo kama mama ana mimba ni vizuri kufanya vipimo vya afya mara kwa mara kuangalia kama kuna Maambukizi yoyote kwa kufanya hivyo tunaweza kuokoa watoto kwa sababu watoto ni kama malaika Magonjwa haya uwashika kwa sababu ya uzembe wa wazazi kushindwa kuchukua vipimo muhimu wakati wa ujauzito.

 

5.Kwa hiyo baada ya kujua kwamba Ugonjwa huu unaleta matatizo mbalimbali kwa watoto hasa wanapokuwa tumboni ni vizuri kuelimisha jamii namna ya kujikinga na kusababisha kufanya vipimo vya mara kwa mara kwa wanawake wajawazito

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1699

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 web hosting    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Sababu za Kuvimba kwa kope.

Post hii inazungumzia kuhusiana na Sababu zinazopelekea kuvimba kwa kope, kawaida huhusisha sehemu ya kope ambapo kope hukua na kuathiri kope zote mbili. Pia hutokea wakati tezi ndogo za mafuta ziko karibu na msingi wa kope huziba. Hii inasababisha kuw

Soma Zaidi...
Dalili za kipindupindu na njia za kujilinda na kipindupindu.

Post hii inazungumzia zaidi kuhusiana na ugonjwa wa kipindupindu.kipindupindu ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu ambaye kwa kitaalamu anaitwa vibrio cholera.mdudu huyu hushambulia utumbo mdogo na kusababisha madhara mengi.

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa unaosababisha madhara kwenye mapafu

Posti hii inaelezea kuhusiana na Magonjwa yanayosababisha madhara kwenye mapafu na kitaalamu hujulikana Ugonjwa wa Acute Respiratory Distress Syndrome (ARDS) hutokea wakati Majimaji yanapojaa kwenye vifuko vidogo vya hewa nyororo (alveoli) kwenye mapafu

Soma Zaidi...
AFYA NA MAGONJWA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Sababu za mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu.

Post hii inahusu zaidi mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu na kwa kitaalamu huitwa retention of urine.

Soma Zaidi...
Nini chanzo cha malaria

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu chanzo cha ugonjwa wa malaria

Soma Zaidi...
Dalili kuu 7 za vidonda vya tumbo

Zijuwe dalili kuu 7 za vidonda vya tumbo, kama kiungulia, tumbo kujaa, maumivu ya umbo..

Soma Zaidi...
ninatatizo la miguu kuuma nimepima wanasema seli nyeupe za damu ipo chini Sana sasa nauliza dawa hizi za vitamin k na sindano vinaweza nisaidia?

Upungufu wa damu ni tatizo la kiafya, lakini kupunguwa seli nyeupe za damu ni tatizo zaidi, nikwa sabaabu seli hizi ndizo ambazo hupambana na wadudu shambulizi wanapoingia mwilini.

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa kisonono

Kisonono ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria wa zinaa ambao wanaweza kuwaambukiza wanaume na wanawake. Kisonono mara nyingi huathiri urethra, puru au koo. Kwa wanawake, ugonjwa wa kisonono unaweza pia kuambukiza kizazi.

Soma Zaidi...
vidonda vya tumbo

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...