Post inahusu zaidi athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa wajawazito au ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri.ugonjwa huu uleta madhara kwa wajawazito kama tutakavyoona
Athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa wajawazito au ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri
1.Ugonjwa huu usipotibiwa unaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na kusababisha madhara kwa wajawazito kama hawataweza kuutibu mapema.
2.Ugonjwa huu Usababisha mimba kutoka kwa wajawazito, tunajua wazi kwamba Ugonjwa huu usababishwa na virusi kwa hiyo kama hautatibiwa mapema unaweza kuingilia kwenye sehemu ya mfuko wa uzazi na kuufanya ukalegea na mimba ikatoka.
2. Pia ugonjwa huu Usababisha Mama kujifungua mtoto ambaye hajafikisha umri kwa sababu virusi wakishambulia kwenye plasenta na kusababisha mfuko wa uzazi mtoto anaweza kuzaliwa kabla ya wakati.
3. Pia kwa wajawazito mtoto tumboni anaweza kuchelewa kukua hali ambayo upekea mtoto kuzaliwa na umri wa miezi tisa lakini ana ka umbo kadogo sana kwa hiyo hali hii ikitokea ni lazima kupima ugonjwa huu na baadaye kuendelea kumhudumia mtoto.
4. Pia ugonjwa huu unaweza kutoka kwa mama mwenye mimba na kwenda kwa mtoto akiwa tumboni kwa hiyo kama mama ana mimba ni vizuri kufanya vipimo vya afya mara kwa mara kuangalia kama kuna Maambukizi yoyote kwa kufanya hivyo tunaweza kuokoa watoto kwa sababu watoto ni kama malaika Magonjwa haya uwashika kwa sababu ya uzembe wa wazazi kushindwa kuchukua vipimo muhimu wakati wa ujauzito.
5.Kwa hiyo baada ya kujua kwamba Ugonjwa huu unaleta matatizo mbalimbali kwa watoto hasa wanapokuwa tumboni ni vizuri kuelimisha jamii namna ya kujikinga na kusababisha kufanya vipimo vya mara kwa mara kwa wanawake wajawazito
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
posti inaonyesha dalili mbalimbali za Saratani ya ini. Saratani ya ini ni Saratani inayoanzia kwenye seli za ini lako. Ini lako ni kiungo cha ukubwa wa mpira wa miguu ambacho kinakaa sehemu ya juu ya kulia ya tumbo lako, chini ya diaphr
Soma Zaidi...Coma ni hali ya kupoteza fahamu kwa muda mrefu ambayo inaweza kusababishwa na matatizo mbalimbali Jeraha la kichwa , Kiharusi, Tumor ya ubongo, ulevi wa dawa za kulevya au pombe, au hata ugonjwa wa msingi, kama vile Kisukari au maambukizi.
Soma Zaidi...Ini Ni kiungo kikubwa Sana mwili na hutumika kuondoa sumu mwili ambayo hujulikana Kama detoxification
Soma Zaidi...post Ina onyesha madhara na matatizo ya Unene Utoto ni hali mbaya ya kiafya inayoathiri watoto na vijana. Inatokea wakati mtoto yuko juu ya uzito wa kawaida kwa umri na urefu wake
Soma Zaidi...maambukizi ya kawaida ya zinaa (STI), Hujulikana Kama Chlamydia. Huenda usijue una Ugonjwa huu kwa sababu watu wengi hawapati dalili au ishara, kama vile maumivu ya sehemu za siri na kutokwa na uchafu kutoka kwa uke au uume. Maambukizi haya huathiri
Soma Zaidi...Huwenda ukawa ni moja kati ya watu wanaotaka kujuwa juu ya dalili za ukimwi. Kama wewe ni katika watu hawa tambuwa kuwa kuna dalili za VVU (hiv) na dalili za ukimwi. Makala hii itakwenda kukuletea dalili kuu za mwanzo za VVU na HIV kuanzia wiki tatu za mw
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu visababishi vya vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Mapigo ya moyo ni hisia za kuwa na moyo wa haraka, Kupepesuka au kudunda. Mapigo ya moyo yanaweza kuchochewa na mafadhaiko, mazoezi, dawa au, mara chache, hali ya kiafya. Ingawa mapigo ya moyo yanaweza kuwa ya kutisha, kwa kawaida hayana madhara. Katik
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa akili .
Soma Zaidi...