Madhara ya minyoo
Posti hii inaonyesha kiufupi kabisa madhara ya minyoo kwenye mwili wa binadamu. Yafuatayo Ni madhara ya minyoo;
1. Kupungukiwa damu, hii ikiwezekana endapo minyoo itakuwa inakiuka rasilimali, vingeweza kufanya mwili kuwa imara na uweze kutengeneza damu.
2. Udhaifu wa mwili
2. Kuungua uzito
3. Kukonda
4. Maradhi ya ini na akili
5. Miwasho
6. Maumivu ya tumbo
7.kutapika
8.kukosa hamu ya kula au kula Sana kupita kiasi
Mwisho; madhara ya minyoo hutokea minyoo wakizidi hivyo Ni vyema mtu kutumia dawa za minyoo Kila baada ya miezi 6 ili kuilinda afya yako.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Bongolite - Game zone - Play free game π2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π3 Kitau cha Fiqh π4 web hosting π5 Madrasa kiganjani π6 ai web app
Post zinazofanana:
Kisukari cha Aina ya 2: Dalili 10 za awali unazotakiwa kuzijua.
βKisukari cha Aina ya 2 (Type 2 Diabetes) ni janga la kimataifa la kiafya linalokua kwa kasi, huku watu wengi wakiishi na hali hii bila kujijua. Post hii inachunguza kwa kina dalili 10 za awali, ikitoa mwongozo wa kitaalamu wa jinsi ya kutambua mabadiliko ya mwili, umuhimu wa utambuzi wa mapema, na hatua za kuzuia madhara ya muda mrefu kupitia mabadiliko ya mtindo wa maisha.
Soma Zaidi...Maumivu ya miguu na ganzi nyakati za usiku.
Maumivu ya miguu na ganzi nyakati za usiku ni malalamiko ya kawaida yanayoathiri ubora wa maisha na usingizi. Makala haya yanachunguza visababishi mbalimbali vya kiafya kama vile matatizo ya neva (neuropathy), mzunguko wa damu hafifu, na upungufu wa virutubisho, huku yakitoa mikakati ya kitaalamu ya kupunguza usumbufu huu na kuboresha afya ya mfumo wa neva.
Soma Zaidi...Namna ya kufanya usafi wa sikio
Post hii inahusu zaidi namna ya kufanya usafi wa sikio, sikio ni mojawapo ya ogani ambayo usaidia kusikia,kwa hiyo sikio linapaswa kusafishwa kwa uangalifu kama tutakavyoona hapo chini.
Soma Zaidi...Je na kwa upande wa mwanaume kuumwa upande wa kushoto wa tumbo kuna shida gani?
Maumivu ya tumbo upande wa kushoti, kwa mwanamke huwenda ikawa ni ujauzito ama shida nyingine za kiafya kama tumbo kujaa gesi, kukosa choo na kadhalika. Sasa vipi kwa wanaume ni ipi hasa sababuΓ’Ββ
Soma Zaidi...Ugonjwa wa kisonono, sababu zake nanjia za kujilinda.
Kisonono husababishwa na bakteria. Bakteria ya kisonono mara nyingi hupitishwa kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine wakati wa kujamiiana, ikiwa ni pamoja na kujamiiana kwa mdomo, mkundu au uke.
Soma Zaidi...Fahamu matatizo ya ini kuwa na kovu
kovu (Fibrosis) ya ini inayosababishwa na aina nyingi za magonjwa na hali ya ini, kama vile Homa ya Ini na unywaji pombe kupita kiasi. Ini hufanya kazi kadhaa muhimu, ikiwa ni pamoja na kuondoa vitu vyenye madhara katika mwili wako, kusafisha damu yako
Soma Zaidi...