image

Dalili za maambukizi kwenye magoti

Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo mtu anaweza kupata ikiwa Kuna maambukizi kwenye magoti, kwa sababu mbalimbali ambazo usababisha maumivu au maambukizi kwenye magoti Kuna dalili za mwanzo ambazo zinajitokeza kama tutakavyoona hapo chini

Dalili za maambukizi kwenye magoti.

1.  Kuwepo kwa maumivu wakati wa asubuhi au wakati wa baridi.

Kwa kawaida wakati wa asubuhi na wakati wa baridi kunakuwepo na hali ambayo usababisha mwili kusinyaa kwa hiyo kutokana na kusinyaa kwa mwili hivyo hivyo usababisha misuli ya magoti kusinyaa na kusababisha maumivu pale penye maambukizi hasa mtu akitaka kusimama au kutembea kwa hiyo watu wenye maambukizi upata shida sana.

 

2. Kuwepo kwa maumivu wakati wa kubeba mizigo.

Kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye magoti endapo mtu atabeba mzigo mzito maumivu yote yataishia sehemu Ile iliyoadhirika kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi na hivyo sehemu hiyo inakuwa imeathirka sana.

 

3. Kuwepo kwa maumivu wakati wa kutembea.

Kwa kawaida Mtu anapotembea kutoka hatua Moja kwenda nyingine usababisha na viungo vyote kubadilisha mwelekeo na kuelekea kwa mtu ambapo anaelekea kwa kufanya hivyo usababisha sehemu Ile yenye maambukizi kuumia kwa sababu ya msuguano kutoka sehemu Moja kwenda nyingine.

 

4. Maumivu wakati wa kuchuchumaa 

Kwa kawaida Mtu anapotaka kuchuchumaa ni lazima kuhusisha na magoti kwa hiyo akitaka kuchuchumaa usababisha maumivu makali kwenye magoti na vile vile kushindwa kuchuchumaa na wengine wanatumia choo  za kusimama kwa sababu ya kushindwa kuchuchumaa kwa sababu ya maumivu kwenye sehemu ya maambukizi.

 

5. Maumivu wakati wa kufanya kazi yoyote ile.

Hii nayo ni dalili Mojawapo inayowapata watu wenye maambukizi kwenye magoti akija kufanya kazi ni lazima kuhisi maumivu kwenye sehemu ya maambukizi na pengine watu wengine ushindwa kufanya hata kazi ndogo kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi.

 

6. Pia maumivu wakati wa kunyanyua vitu vizito.

Kuna wakati mwingine mtu akija kunyanyua vitu vizito anahisi maumivu makali kwenye sehemu ya maambukizi.

 

7. Maumivu wakati wa kusimama.

Na pia kama mtu amekaa chini unalalamika sana maumivu akija kuamuka kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye magoti.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1263


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Tiba ya vidonda vya tumbo na dawa zake
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Tina ya vidonda vya tumbo na dawa zake Soma Zaidi...

Namna ya kuzuia virusi vya ukimwi
Posti hii inaelezea kuhusiana na kujikinga au kuzuia virusi vya ukimwi. Soma Zaidi...

Fahamu Ugonjwa wa Maambukizi kwenye mfupa
posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa Maambukizi kwenye mfupa ambao kitaalamu hujulikana Kama Soma Zaidi...

Sababu na Chanzo cha vidonda vya tumbo
Zijuwe sababu za kutokea kwa vidonda vya tumbo. Sababu kuu za vidonda vya tumbo hizi hapa Soma Zaidi...

Madhara ya fangasi.
Posti hii inahusu zaidi madhara ya fangasi za ukeni kwa kawaida tunajua kubwa fangasi zikiingia kwenye uke usababisha madhara mbalimbali ambayo mengine yanaweza ya kudumu na mengine ya mda kama yametibiwa mapema. Soma Zaidi...

nina maambukizi ya zinaha maumivu wakati wa kukojoa na usaha
Mimi nilifanya ngono isiyo salama Tar 14/07 mwaka huu, nilikutana tu na mwanamke ambae sikuwa hata na background yake yoyote hivyo baada ya siku tatu nilijikuta nina maambukizi ya zinaha (maumivu wakati wa kukojoa na usaha), hivyo nilienda hospital na kup Soma Zaidi...

Dalili za UTI
Somo hili linakwenda kukuletea dalili za UTI Soma Zaidi...

Madhara ya kutotibu uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo
Post hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu ugonjwa wa uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo,ni madhara yanayotokea kwenye mfumo mzima wa kupitisha mkojo na via vya uzazi kama ifuayavyo. Soma Zaidi...

Madhara ya kaswende kwa wajawazito na watoto wadogo.
Posti inahusu zaidi madhara ya kaswende kwa mama mjamzito na mtoto, Ni ugonjwa unaopatikana hasa kwa njia ya kujamiiana na utoka kwa mwenye Ugonjwa kwenda kwa mtu ambaye hana ugonjwa, kwa hiyo tunapaswa kujua madhara ya ugonjwa huu kwa mama mjamzito na mt Soma Zaidi...

Dalili za ugonjwa wa vericose veini
Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa vericose veini Soma Zaidi...

Kuona damu kwenye mkojo
Kuona damu kwenye mkojo kunaweza kusababisha wasiwasi. Ingawa katika hali nyingi kuna sababu zisizofaa, Damu kwenye mkojo (hematuria) pia inaweza kuonyesha ugonjwa mbaya. Soma Zaidi...

Njia za kuzuia kiungulia
Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya njia za kuzuia kiungulia Soma Zaidi...