Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo mtu anaweza kupata ikiwa Kuna maambukizi kwenye magoti, kwa sababu mbalimbali ambazo usababisha maumivu au maambukizi kwenye magoti Kuna dalili za mwanzo ambazo zinajitokeza kama tutakavyoona hapo chini
1. Kuwepo kwa maumivu wakati wa asubuhi au wakati wa baridi.
Kwa kawaida wakati wa asubuhi na wakati wa baridi kunakuwepo na hali ambayo usababisha mwili kusinyaa kwa hiyo kutokana na kusinyaa kwa mwili hivyo hivyo usababisha misuli ya magoti kusinyaa na kusababisha maumivu pale penye maambukizi hasa mtu akitaka kusimama au kutembea kwa hiyo watu wenye maambukizi upata shida sana.
2. Kuwepo kwa maumivu wakati wa kubeba mizigo.
Kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye magoti endapo mtu atabeba mzigo mzito maumivu yote yataishia sehemu Ile iliyoadhirika kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi na hivyo sehemu hiyo inakuwa imeathirka sana.
3. Kuwepo kwa maumivu wakati wa kutembea.
Kwa kawaida Mtu anapotembea kutoka hatua Moja kwenda nyingine usababisha na viungo vyote kubadilisha mwelekeo na kuelekea kwa mtu ambapo anaelekea kwa kufanya hivyo usababisha sehemu Ile yenye maambukizi kuumia kwa sababu ya msuguano kutoka sehemu Moja kwenda nyingine.
4. Maumivu wakati wa kuchuchumaa
Kwa kawaida Mtu anapotaka kuchuchumaa ni lazima kuhusisha na magoti kwa hiyo akitaka kuchuchumaa usababisha maumivu makali kwenye magoti na vile vile kushindwa kuchuchumaa na wengine wanatumia choo za kusimama kwa sababu ya kushindwa kuchuchumaa kwa sababu ya maumivu kwenye sehemu ya maambukizi.
5. Maumivu wakati wa kufanya kazi yoyote ile.
Hii nayo ni dalili Mojawapo inayowapata watu wenye maambukizi kwenye magoti akija kufanya kazi ni lazima kuhisi maumivu kwenye sehemu ya maambukizi na pengine watu wengine ushindwa kufanya hata kazi ndogo kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi.
6. Pia maumivu wakati wa kunyanyua vitu vizito.
Kuna wakati mwingine mtu akija kunyanyua vitu vizito anahisi maumivu makali kwenye sehemu ya maambukizi.
7. Maumivu wakati wa kusimama.
Na pia kama mtu amekaa chini unalalamika sana maumivu akija kuamuka kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye magoti.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Kama unahisi maumivu ya tumbo huwenda umejiuliza swali hili ukiwa kama mwanamke "Je maumivu juu ya kitovu ni miongoni mwa dalili za mimba?". Post hii inakwenda kujibu swali hili
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hatua au mbinu za kupambana na ugonjwa wa UTI kwa sababu ugonjwa huu umekuwa tishio kubwa kwa sasa kwa hiyo tunapaswa kutumia njia mbalimbali ili kuweza kupambana na Ugonjwa huu.
Soma Zaidi...Kama tulivyokwisha kuona kuwa malaria inaweza kuambukizwa kwa kung'atwa na mbu aina ya anophelesi.
Soma Zaidi...VYNZO VYA MINYOO Kama tulivyoona hapo mwanzo kuusu aina za minyoo, pia tumeona vyanzo vya minyoo hao kulingana na aina zao.
Soma Zaidi...Saratani ya kibofu cha nyongo ni Saratani inayoanzia kwenye kibofu cha nyongo. Nyongo yako ni kiungo kidogo, chenye umbo la peari upande wa kulia wa tumbo lako, chini ya ini lako. Kibofu cha nyongo huhifadhi nyongo, Kioevu cha usaga
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza namna mbalimbali za kujikinga na VVU/UKIMWI
Soma Zaidi...Kutokuona siku zake mwanamke ni ishara kuwa kuna shida kwenye umfumo wa uzazi. Wakati mwingine kutokuona siku ni ishara ya baraka ya kupata mtoto. Ijapokuwa kuna wengine wanadiriki kutoa mimba kwa sababu zisizo za msingi. Je unadhani UTI inaweza kusababi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mlo kwa wagonjwa wa figo wanaochujwa damu, ni wagonjwa ambao figo zao zimeharibika na zimeshindwa kufanya kazi au pengine kuna uchafu mwingi mwilini ambao uchujwa kwa hiyo kuna vyakula muhimu ambavyo wagonjwa wa figo wanapaswa kutu
Soma Zaidi...Post hii inahusu Zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea Kwa mgonjwa mweye usaha kwenye mapafu.
Soma Zaidi...