Dalili kuu za minyoo
Minyoo ni katika viume wanyonyaji, wanaoishi katika miili ya viumbe hai na kujipatia chakula humo. Minyoo wanaweza kuishi kwenye maeneo yenye majimaji kama kwenye maji, ndani ya viumembe hai kama mtu, ngombe, ngure na paka. Minyoo pia wanaweza kuishi kwen
DALILI ZA MINYOO
Aina za minyoo:
Kuna aina za minyoo ziatazo 300000 na kati ya hozo 300 tu ndio ambazo husababisha maradhi kwa binadamu. Minyoo imegawanyika katika aina kadhaa kulingana na tabia zao, jinsi wanavyozaliana na maeneo wanayoishi, pia na maumbile yako. Aina hizo za minyoo ni kama:-
- Trichinosis hawa tunaweza kuwapata kutoka kwa wanyama
- Pinworm (thread worm) hawa ni wadogo sana na unaweza kuwapata kwa kuyala mayai yao kutoka pale yalipo. Kama utakuwa unanawa mikono mara kwa mara, kabla ya kula na huna tabia ya kula vidole ni ngumu kuwapata hawa minyoo
- Hookworm (roundworm) minyoo hawa husambazwa kupitia udongo na kinyesi
- Fluke; (flatworm) hawa wanaishi kwenye utumbo mdogo na meneo mengine. Tunaweza kuwapata kwenye vyakula na mboga zisizooshwa vyema.
- Tapeworm (flatworm) unaweza kuwapata hawa kwenye maji machafu na kwenye vyakula.
Je ni wapi naweza kupata minyoo?
Minyoo tunaweza kuipata maeneo mengi. Na katika miili yetu pia inaweza kuingia kupitia njia nyingi. Njia kuu ni kwa kupitia mdomoni kwa njia ya chakula, ama kinywaji. Lakini pia inaweza kupitia kwenye ngozi. Hebu tuyaone maeneo ambayo monyoo ipo sana.
- Kwenye majimaji
- Ndani ya maji
- Kwenye udongo
- Kwenye nyama
- Kwenye chakula kisichopikwa kama matunda
- Kwenye mbog za majani
Ni kivipi naweza pata minyoo?
- kwa kugusa kitu chenye mayai ya minyoo, kisha ukapeleka mkono mdomoni bila ya kuosha
- Kunywa maji yenye mayai ya minyoo
- Kula chakula chenye mayai ya minyoo
- Kula udongo wenye mayai ya minyoo
- Unapotembea bila ya viatu maeneo machafu
- Unapokula vyakula visivyopikwa ama vilivyopikwa kwa uchache kama nyama ya ngurue
Ni ziipi dalili za minyoo?
- Maumivu ya tumbo
- Kuharisha, kutapika na kupata kichefuchefu
- Tumbo kujaa gesi ama kuunguruma
- Uchofu wa mara kwa mara
- Kupunguwa uzito bila ya sababu maalimu
- Tumbo kujaa na kuwa gumu
Ni vipi naweza kuepuka kupata minyoo?
- Osha mikono kabla ya kula ama kuingiza mdomoni
- Kula chakula kilichopikwa vyema
- Usile matunda bila ya kuosha
- Unapotembea kwenye ardhi chafu usitembee bila ya viatu
- Kama unaishi na paka ama mbwa hakikisha yupo salama
- Vinyesi vya wanyama kama paka, mbwa, na wanyama wafugwo wa nyama vihifadhiwe vyema.
- Kuwa makini na nyama ya nguruwe.
JE minyoo inatibika?
Ndio mimnyoo inatibika tena kwa muda mchache tu. Kama unasumbuliwa fika kituo cha afya kwa vipimo zaidi. Makala inayofata tutazungumzia kuhusu matibabu ya minyoo.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 ai web app π2 web hosting π3 Kitau cha Fiqh π4 Bongolite - Game zone - Play free game π5 Simulizi za Hadithi Audio π6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
Dawa za kutibu kiungulia
Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya dawa za kutibu kiungulia
Soma Zaidi...Daliliza shinikizo la Chini la damu.
Shinikizo la chini la damu (hypotension) litaonekana kuwa jambo la kujitahidi. Hata hivyo, kwa watu wengi, shinikizo la chini la damu linaweza kusababisha dalili za Kizunguzungu na kuzirai. Katika hali mbaya, shinikizo la chini la damu linawez
Soma Zaidi...Dalili za Ugonjwa wa ini
Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa inni, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye ugonjwa wa inni, Dalili zenyewe ni kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Mambo Yanayoharibu Mahusiano Kimya Kimya
βMahusiano mengi hayavunjiki kwa sababu ya matukio makubwa ya ghafla, bali kwa sababu ya mambo madogo yanayokusanyika kwa muda na kusababisha mmomonyoko wa upendo na uaminifu. Makala hii inachunguza "wauaji wa mahusiano" wasioonekana waziwazi na namna ya kuwazuia kabla hayajafika mwisho.
Soma Zaidi...Uchunguzi wa kuharisha damu na tiba yake
Posti hii inahusu zaidi uchunguzi wa kuharisha damu na Tiba yake, ni Ugonjwa ambao unaowashambulia sana watoto hasa wenye chini ya umri wa miaka mitano, kwa hiyo huoaugonjwa tunaweza kuutambua na kutibu kwa njia zifuatazo.
Soma Zaidi...Homa ya dengue: Dalili na jinsi inavyoenezwa na mbu.
Homa ya Dengue ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vinavyoambukizwa kwa binadamu kupitia kuumwa na mbu aina ya Aedes aegypti. Ugonjwa huu ni tishio kubwa katika maeneo ya kitropiki na mikoa yenye joto. Ingawa visa vingi ni vya wastani, baadhi ya watu wanaweza kupata Dengue kali (Dengue Hemorrhagic Fever) ambayo inahitaji uangalizi wa haraka wa kimatibabu. Makala hii inaelezea mzunguko wa uenezaji wa virusi hivi na umuhimu wa usafi wa mazingira katika kudhibiti mbu.
Soma Zaidi...