Menu



Je waislamu walishindwa vita vya Uhudi?

Katika vita vya Uhudi waislamu walikufa wengi kulinganisha na makafiri. Lakini makafiri walikimbia uwanja wa vita baada ya kuzidiwa. Je ni nanibalishindwa vita vya Uhudi kati ya waislamu na makafiri?

Vita vya Uhudi hatuwezi sema waislamu walishindwa kwa sababu makafiri ndio walikimbia uwanja wa vita baada ya kuzidiwa nguvu na waislamu pale ealipoubgana tena.

Waislamu walikufa wengi kwa idadi ya watu 70 na makafiri 35.hata hivyo ukiangalia kwa uwiano wa jeshi waislamu walikuwa 700 na makafiri walikuwa 3000 sawa na kusema muislamubmmoja amepigana na makafiri 4 ukikokotoa hapo kwa uwiano huo makafiri waliokufa ni wengi.

Turudi kwenye swali ka msingi. Sababu zilizopelekea waislamu kushindwa nguvu baada ya kuwadhibiti makafiri ni kutomtii Mtumishi.

Kabla ya vita Mtume Muhammad SAW aliwateuwa watu 50 kukaa juu ya mlima kulinda wengine. Na akawaambia msishuke bila ya kuambiwa hata kama tutashindwa ama tutashinda. Lakini walipoona waislamuvwameshinda watu 43 walishuka na hapo khalid bin walid akawauwa wale waliobaki na kuhamia jeshi la waislamu kwa

Hapo waislamu wakaanza jugawanyika na kupigwa vibaya. Baadaye wakajikusanya na kuunda nguvuvmpya wakarudisha mapambano na makafiri wakashindwa na kukimbia.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Sira Main: Post File: Download PDF Views 861

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

Sababu za makafiri wa kiqureish kuupinga ujumbe wa uislamu

Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Ibrahiim(a.s) Aomba Kupata Kizazi Chema

Nabii Ibrahiim na mkewe Sarah walikaa mpaka wakawa wazee bila ya kupata mtoto.

Soma Zaidi...
Vita vya Al Fijar na sababu zake

Historia na shida ya Mtume Muhammad S.A.W, sehemu ya 12. Hapa utajifunza kuhusu kutokea kwa vita vya al fijar.

Soma Zaidi...
vita vya ahzab, sababu ya kutokea vita hivi na mafunzo tunayoyapata

Vita vya Ahzab- Maquraish waliungana na mayahudi, wanafiki na makabila mengine ya waarabu baada ya kuona kuwa wao peke yao hawawezi kuufuta Uislamu.

Soma Zaidi...