image

Je waislamu walishindwa vita vya Uhudi?

Katika vita vya Uhudi waislamu walikufa wengi kulinganisha na makafiri. Lakini makafiri walikimbia uwanja wa vita baada ya kuzidiwa. Je ni nanibalishindwa vita vya Uhudi kati ya waislamu na makafiri?

Vita vya Uhudi hatuwezi sema waislamu walishindwa kwa sababu makafiri ndio walikimbia uwanja wa vita baada ya kuzidiwa nguvu na waislamu pale ealipoubgana tena.

Waislamu walikufa wengi kwa idadi ya watu 70 na makafiri 35.hata hivyo ukiangalia kwa uwiano wa jeshi waislamu walikuwa 700 na makafiri walikuwa 3000 sawa na kusema muislamubmmoja amepigana na makafiri 4 ukikokotoa hapo kwa uwiano huo makafiri waliokufa ni wengi.

Turudi kwenye swali ka msingi. Sababu zilizopelekea waislamu kushindwa nguvu baada ya kuwadhibiti makafiri ni kutomtii Mtumishi.

Kabla ya vita Mtume Muhammad SAW aliwateuwa watu 50 kukaa juu ya mlima kulinda wengine. Na akawaambia msishuke bila ya kuambiwa hata kama tutashindwa ama tutashinda. Lakini walipoona waislamuvwameshinda watu 43 walishuka na hapo khalid bin walid akawauwa wale waliobaki na kuhamia jeshi la waislamu kwa

Hapo waislamu wakaanza jugawanyika na kupigwa vibaya. Baadaye wakajikusanya na kuunda nguvuvmpya wakarudisha mapambano na makafiri wakashindwa na kukimbia.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 573


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Watu waliovunja amri ya kuheshimu siku ya Jumamosi.
Katika zama za kale Mayahudi walikatazwa kufanya kazi siku ya Jumamosi. Soma Zaidi...

Kusingiziwa Nabii Sulaiman Uchawi
Pamoja na Ucha-Mungu aliokuwa nao Nabii Sulaiman watu hawakuacha kumsingizia mambo machafu. Soma Zaidi...

HISTORIA YA NABII ADAM
Soma Zaidi...

tarekh
MAPIGANO YA AL-FIJAR (MAPIGANO YA UOVU). Soma Zaidi...

HISTORIA YA KUZALIWA KWA MTUME MUHAMMAD (S.A.W) NA MAMA AMINA MKE WA ABDALLAH MTOTO WA ABDUL-AL MUTALIB
KUZALIWA KWA MTUME (S. Soma Zaidi...

NASABA YA MTUME MUHAMMAD (S.A.W) KABILA LAKE, UKOO WAKE NA FAMILIA YAKE
NASABA YA MTUME (S. Soma Zaidi...

Kuandaliwa Mtume (s.a.w) Kulingania Uislamu katika mji wa Makkah
7. Soma Zaidi...

Imam Abu Hanifa: Nuuman Ibn Thabit
Soma Zaidi...

CHANZO CHA VITA VYA VITA VYA AL-FIJAR NA ATHARI ZAKE
MAPIGANO YA AL-FIJAR (MAPIGANO YA UOVU). Soma Zaidi...

Darsa za Sira historia ya Mtume (s.a.w) Jaribio la 02
Soma Zaidi...

Kibri cha Ibilis na Uadui Wake Dhidi ya Binadamu
Ibilis ni katika jamii ya majini aliyekuwa pamoja na Malaika wakati amri ya kumsujudia Adam inatolewa. Soma Zaidi...

Mapambano Dhidi ya Maadui wa Dola ya Kiislamu
1. Soma Zaidi...