Katika vita vya Uhudi waislamu walikufa wengi kulinganisha na makafiri. Lakini makafiri walikimbia uwanja wa vita baada ya kuzidiwa. Je ni nanibalishindwa vita vya Uhudi kati ya waislamu na makafiri?
Vita vya Uhudi hatuwezi sema waislamu walishindwa kwa sababu makafiri ndio walikimbia uwanja wa vita baada ya kuzidiwa nguvu na waislamu pale ealipoubgana tena.
Waislamu walikufa wengi kwa idadi ya watu 70 na makafiri 35.hata hivyo ukiangalia kwa uwiano wa jeshi waislamu walikuwa 700 na makafiri walikuwa 3000 sawa na kusema muislamubmmoja amepigana na makafiri 4 ukikokotoa hapo kwa uwiano huo makafiri waliokufa ni wengi.
Turudi kwenye swali ka msingi. Sababu zilizopelekea waislamu kushindwa nguvu baada ya kuwadhibiti makafiri ni kutomtii Mtumishi.
Kabla ya vita Mtume Muhammad SAW aliwateuwa watu 50 kukaa juu ya mlima kulinda wengine. Na akawaambia msishuke bila ya kuambiwa hata kama tutashindwa ama tutashinda. Lakini walipoona waislamuvwameshinda watu 43 walishuka na hapo khalid bin walid akawauwa wale waliobaki na kuhamia jeshi la waislamu kwa
Hapo waislamu wakaanza jugawanyika na kupigwa vibaya. Baadaye wakajikusanya na kuunda nguvuvmpya wakarudisha mapambano na makafiri wakashindwa na kukimbia.
Umeionaje Makala hii.. ?
Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...LAKINI UMRI WANGU MKUBWABaada ya kuwaza na kufikiri muda mrefu, bibi Khadija (Radhiya Llahu anha) akafikia uamuzi wa kutaka kuolewa na Muhammad (Swalla Laahu alayhi wa sallam).
Soma Zaidi...Fat-h Makkah (Kukombolewa Makkah).
Soma Zaidi...Kutokana na kisha hiki cha Nabii Ayyuub(a.
Soma Zaidi...Kazi na Wajibu wa KhalifaKhalifa katika Serikali ya Kiislamu ndiye mtendaji mkuu wa Serikali kama alivyokuwa Mtume(s.
Soma Zaidi...