AFYA YA UZAZI NI NINI?, PIA UTAJIFUNZA MATATIZO YA HEDHI, KUTOKUPATA UJAUZITO, ULEZI WA MIMBA NA MTOTO, TEZI DUME NA NGIRI MAJI, NGUVU ZA KIUME

AFYA YA UZAZI Afya ya uzazi huweza kufungamana na mambo mengi sana.

AFYA YA UZAZI NI NINI?, PIA UTAJIFUNZA MATATIZO YA HEDHI, KUTOKUPATA UJAUZITO, ULEZI WA MIMBA NA MTOTO, TEZI DUME NA NGIRI MAJI, NGUVU ZA KIUME

AFYA YA UZAZI

AFYA YA UZAZI
Afya ya uzazi huweza kufungamana na mambo mengi sana. Maradhi na mtindo wa maisha wa mtu huweza kuchukuwa nafasi kubwa katika kuzungumzia afya ya uzazi. Wazazi wengi wamekuwa wakilalamika kkuhusu swala na kushika mimba, maradhi ya kizazi pamoja na wanaume kulalamika kutokuwa na nguvu za kutosheleza haja zao. Afya ya uzazi imekuwa ikichukuwa kundi kubwa la watu pindi inapozungumziwa. Kizazi kilicho salama kinategemea ubora wa afya hii pamoja na malezi yaliyo bora kutoka kwa wazazi.

Katika makala hizi tutakwenda kuona mengi katika hayo yanayohusiana na afya ya uzazi kwa wanaume, wanawake pamoja na watoto ambao ndio kwa kiasi kikubwa afya zao. Makala hii imeandikwa kwa kuangalia tafiti za kiafya zilizofanya katika maeneo mbalimbali duniani.

Tunaheshibu na kuthamini afya ya mtu. Katu hatuthubuthu kuandika kitua bila ya marejeo, hivyo basi ukigundua chochote ambacho hakiposawa kwenye makala hii basi wasiliana nami kwa haraka zaidi


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Afya File: Download PDF Views 968

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

KITABU CHA MATUNDA

Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho

Soma Zaidi...
dondoo 100 za Afya

Basi tambua haya;- 61.

Soma Zaidi...
Kitabu cha Afya 01

Soma kitabu hiki cha afya sehemu ya kwanza upate kuijua afya yako.

Soma Zaidi...
Umuhimu wa kuvaa nguo za upasuaji.

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa nguo za upasuaji, tunajua wazi kuwa, wakati wa upasuaji tunapaswa kusafisha chumba na mazingira yake lengo ni kuhakikisha kuwa tunazuia wadudu wasisambae au kuingia kwenye mwili wa binadamu.

Soma Zaidi...
DARASA LA AFYA NA AFYA YA UZAZI

Jifunze mengi kuhusu Afya, kuwa nasi kwenye makala hii hadi mwisho.

Soma Zaidi...
darasa la lishe

Jifunze mengi kuhusu afya na lishe, ujuwe utaratibu wa lishe

Soma Zaidi...