Umoja wa mataifa unazungumziaje afya

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu Mambo ya kiafya yanayozungumzwa na umoja wa mataifa

UMOJA WA MATAIFA (UN) UNAZUNGUMZIAJE AFA?

 

Umoja wa mataifa una kitengo ambacho kinajihusisha na masuala yote ya afya kitengo hiko nikajulikana kama  HYPERLINK "https://en.wikipedia.org/wiki/World_Health_Organization" o "WHO" World_Health_Organization. Kulingana na tafiti za shirika hili la umoja wa mataifa, nimeamua kukuletea  HYPERLINK "https://bongoclass.com/dondoo-100/dondoo-100-za-afya.html" o "dondoo 100 za afya" dondoo kadhaa za afya. Dondoo hizi zinahusu takwimu mbalimbali za afya duniani kote. Nitaanza kunukuu moja kati ya taarifa hizo hapo chini..

 

ï‚·

Takribani nusu ya wakazi wa dunia bado hawapati huduma za msingi za afya.

ï‚·

ï‚·

Takribani watu milioni 100 bado wanasukumwa kwenye ufukara kwa kuwa hawana uwezo wa kulipia huduma zao za afya.

ï‚·

Zaidi ya watu milioni 800 , sawa na asilimia 12 ya wakazi wote wa dunia, wanatumia asilimia 10 ya kipato cha kaya kugharimia huduma za afya.

ï‚·

ï‚·

Mataifa yote 193 wanachama wa Umoja wa Mataifa wamekubaliana kufikia lengo la huduma ya afya kwa wote ifikapo mwaka 2030, ikiwa ni sehemu ya malengo ya maendeleo endelevu,  HYPERLINK "https://www.undp.org/content/undp/en/home/sustainable-development-goals.html" o "sustainable-development-goals" SDGs.

ï‚·

Huu ni ukweli usio pingika kwamba bado vijijini kuna watu wengi sana ambao wanaishi huko hali ya kuwa huduma za afya haipo vizuri ukilinganisha maeneo ya mijini. Mfano mzuri ni ukosekanaji wa baadhi ya vifaa vya kutolea huduma za afya na wakati mwingine hali ya usafiri kuwa mbovu huchangia matatizo ya afya kuendelea kutokea. Elimu ya afya pia maeneo ya vijijini haipatikani ipasavyo, na ndio maana hata hali ya unyanyasaji kwa wenye HIV imekuwa kubwa vijijini kuliko mijini.

 

Sambamba na kuwa utoaji wa huduma bora za afya maeneo mengi duniani haupo vizuri, na hii ni kutokana na kipato cha wananchi wenyewe. Atahitajika kununua dawa ama kulipia vipimo. Serikali mbalimbali zimeweka utaratibu wa kulipia bima ili kuboresha huduma za afya, hii ni nzuri lakini bado wananchi wengi hawajaweza kuchangia huduma hio. Huenda ni kulingana na kipato chao ni kidogo ama kutokana na kutokuwa na elimu ya kutosha juu ya umuhimu wa kulipia  HYPERLINK "http://www.nhif.or.tz/pages/health-insurance-for-private-individual" o "bima ya afya" bima ya afya .

 

HYPERLINK "http://afya.bongoclass.com/elimu.htm" o "elimu ya afya" Elimu ya afya inahitajika zaidi ili kuweza kuhakikisha maeneo mengi yanapata huduma hizi za afya. Kwa nini elimu ya afya? hii ni kwa sababu endapo wananchi wataelimishwa wataweza kuboresha huduma za afya kwa nguvu zao na raslimali zao. Serikali nazo pia kwa upande mwingine zihakikishe kuwa uboreshwaji wa afya unafikia mpaka maeneo ya vijijini, na wananchi wanashiriki kwa umakini maswala yote ya afya.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Afya File: Download PDF Views 839

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Namna ya kufanya ngozi kuwa laini

Posti hii inahusu zaidi njia au namna ya kufanya ili ngozi iweze kuwa laini bila kuwa na make up yoyote.

Soma Zaidi...
Kujiandaa kwa ajili ya kumuona daktari

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya mambo ya kujiandaa kwa ajili ya kumuona daktari

Soma Zaidi...
DARASA LA AFYA, AFYA YA UZAZI, MARADHI NA LISHE BORA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa

Soma Zaidi...
Nini maana ya Afya

Maana ya afya ni pana sana tofauti na vile ambavyo sisi tunajuwa. Afya inahusisha mambo mengi sana.

Soma Zaidi...
KITABU CHA MATUNDA

Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho

Soma Zaidi...
DONDOO 100 ZA AFYA

Pata dondoo 100 za Afya

Soma Zaidi...
Kitabu cha Afya 03

Yajuwe mambo yanayoathiri afya ya miili yetu, jifunze mambo mengi kuhusu afya.

Soma Zaidi...
Ukuaji wa mmea

Je wajua kwa nini mmea kama nyasi na miti hukua? Posti hii inahusu  zaidi ukuaji wa mimea katika mazingira yetu kwa sababu watu hawatambui kwamba mimea .ni chanzo cha mahitaji kwa binadamu.

Soma Zaidi...