image

afya somo la 10

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

TAHADHARI KWENYE SHUGHULI ZETU
Kama tulivyotangulia kuona hapo juu kuwa shughuli za kuwapatia watu rizikinazo zinaweza kuwa chanzo cha maradhi. Hivyo tahadhari maalumu zinatakiwa zitumike ili kuweza kujiepusha na madhara ambayo yangeweza kuthibitiwa. Kwa mfano uaweza kujikinga na baadhi ya adhari kwa kuvaa mavazi maalimu kama gkovs, gunboot makoti maalumu kulingana na kazi husika. Soma vizuri nembo za tahadhari unapofungua kifaa cha kufanyia kazi. Tahadhari zaidi zinategemeana na kazi yenyewe na sehemu husika.

TAHADHARI NA TABIA ZETU
Usafi w mwili ni katika tabia njema na ni rafikipia. Kuufanya mwili iwe na uwezo wa kujikinga. Usafi wa nguo ni njia tosha ya kupambana na maambukizo na maradhi mengineyo kama tulivyotoa mfano huko juu. Mtu anatakiwa kujenga tabia rafikia na afya kama kuwa na utaratibu wa kufanya mazoezi angalau mara tatu kwa wiki. Kutokuwa na abia ya kupenda vyakula vyenye chumvi nyingi hii huweza kumuepushha mtu na athari za kupata maradhi ya moyo kama presha na shambulio la moyo. Kupiga mswaki zaidi ya mara moja kwa siku na ukishindwa basi angalamu unapoamka na unapokwenda kulala. Tabia za kiafya zinaweza kujengwa kwenye vyakula, mazoezi, matendo na mazungumzo pia.

TAHADHARI JUU YA MARADHI YA KURITHI
Ni vigumu sana kujitahadhari kutopata maradhi haya kama kuwa albino. Ila inawezekana wazazi kulinda familia zao na maradhi ya kurithi ila pia ni ngumu. Kwani it itajika kupima kati ya wanandoa wawili kabla ya kupata watoto. Hapa ndio itaweza kugundulika maradhi haya ya kurithi kama yapo kwa wazazi na je upo uwezekano wa kuendelea kwa watoto. Kwa teknolojia iliyorahaisi kwa sasa ni kumlinda mtoto atakayezaliwa na maambukizi ya magonjwa ya zinaa. Ijapokuwa yapo matatizo mengine ya kurithi anaweza kukingwa mtoto akiwa tumboni asijedhurika. Tutaona zaidi matatizo haya kwenye kurasa zijazo.


                   





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 113


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

kitabu cha matunda
Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho Soma Zaidi...

Dondoo 100 za Afya
Soma Zaidi...

Habari za uzima,nimesoma makala yako tumbo linaniuma upande wa kulia Ila sisikii Sana yenyewe Ila nikibonyeza na mkono ndio inauma yaani ni Kama nimegongwa sehem flani alafu Kuna maumivu lakini ni mpaka upaguse ndio una experience maumivu Kama Kuna namna
Kama unasumbuliwana tumbo upande wa kulia, kushoto, kitomvuni ama kuoande wa kuliavkwachini, basi muulizaji huyu atakupa uelewa. Soma Zaidi...

MAGONJWA HATARI YA MOYO NA NAMNA YA KUKABILIANA NAYO: PRESHA, SHINIKIZO LA MOYO NA SHAMBULIO LA MOYO
Soma Zaidi...

TABIA
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

YANAYOATHIRI AFYA KATIKA VYAKULA
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

Umuhimu wa kupiga push up kiafya
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kupiga push up kiafya, ni mambo au faida zipatikanazo ki afya kwa wapigaji wa push up kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

dondoo 100 za Afya
Basi tambua haya;- 61. Soma Zaidi...

magonjwa na lishe
3. Soma Zaidi...

MAZINGIRA
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

VITABU VYA AFYA
Soma Zaidi...

KAULI ZA WATU MASHUHURI KUHUSU AFYA
Soma Zaidi...