HUDUMA ZA KIAFYA KATIKA JAMII

Umuhimu wa huduma za kiafya katika jamii

Posti hii inahusu zaidi huduma za kiafya katika jamii ambapo tunaona huduma za afya ni kitu muhimu sana kwa mwanadamu .afya ni hali ya ukamilifu kimwili,kusajili,kijamii na kutokuwepo kwa maradhi .afya bora ni nguzo na rasilimali katika kuchangia maendeleo ya mtu binafsi .familia na taifa .huduma za afya katika jamii ni huduma za kiafya ambazo hupaswa kutolewa na serikali na asasi zisizokuwa za kiserikali ili kuimarisha afya za watu katika jamii .pia kuna huduma za afya ambazo hutolewa kwa makundi maalumu ya watu katika jamii .mfano watoto wadogo,mama wajawazito na watu wenye magonjwa sugu kama kisukari.Asasi zisizokuwa za kiserikali hujumuisha sekta binafsi na mashirika ya dini .huduma hizi hutolewa kwa kuzingatia mabadiliko endelevu katika sekta ya afya.

 

            ZIFUATAZO NI MAMBO MUHIMU KWA HUDUMA ZA AFYA.                                             

  1.kulingana na hapo juu tulipoeleza huduma za afya mwanadamu au jamii inabidi kuwa wanna huduma bora za afya ili waweze kilinda afya zao ili kuondokewa au kujikinga na magonjwa nyemelezi pia jamii au serikali inabidi kupunguza au kuondoa kabisa gharama za matibabu kwa watu walio na magonjwa sugu.ambayo nimeweza kuyaelezea hapo juu hii inapelekea mgonjwa hawa hawana uwezo wa kufanya kazi zao kwa ufasaha .hii itasaidia kupunguza idadi ya vifo vinavyotokana na magonjwa haya.

 

2. Kutokana na hilo kuna umuhimu wa kutoa mafunzo maalumu kwa mama wajawazito na mumewe .mafunzo haya huwandaa kisaikolojia na kihisia namna ya kukabiliana na changamoto za mimba zisizotarajiwa .pia inabidi wapewe ushauri kuhusu namna ya kutunza mimba.sambamba na ushauri ,wazazi tarajali hupata vipimo vya magonjwa ya ngono na UKIMWI .mfano wa magonjwa ya ngono ni kaswende na kisonono.

 

3.kutokana na hilo upo umuhimu mkubwa na kuwa na huduma hizi katika jamii kutokana na sababu mbalimbali.miongoni mwa sababu hizo ni kulinda na kuelimisha kundi la vijana dhidhi ya maambukizi ya magonjwa kama UKIMWI.ni ugonjwa unaowapata sana vijana ambapo wanapokuwa wanafanya ngono zembe bila kutumia kinga pia ugonjwa wa homa ya ini  ambapo kwa kitaalamu wanaita (hepatitis) pamoja na kifua kikuu huduma za afya ulifanya kundi hili ambalo ni nguvu kazi ya taifa liendelee na kuchangia maendeleo yao na taifa kwa ujumla sababu nyingine ni kutoa au kuwsaidia wazee wasiojiweza na kupata huduma za afya .Huduma za afya hutolewa kwa sababu wazee hawana uwezo wa kujihudumia 

 

4.pia kutokana na umuhimu  wa huduma za kiafya serikali ina bidi itoe elimu kuhusu afya ili wananchi waweze kujifunza na kutambua jinsi ya kutunza afya zao  pia inabidi iweke vitengo mbalimbali vinavyotoa huduma za afya katika jamii .mara nyingi vitengo hivo hupatikana hospitalini ,katika vizuo vya afya na zahanati .hats hivyo,bahadhi ya vitengo havipo hospitalini kutegemea haina ya kundi linalohudumiwa na huduma zinazotolewa katika jamii husika  .pia inabidi serikali iangalie utoaji wa chanjo na dawa kwa watoto wadogo ili kujikinga na magonjwa mbalimbali kama pepopunda ,polio,kifua kikuu ,ugonjwa  wa ini pamoja na ndui 

 

5.kuna umuhimu mwingine ambapo kuzuia ulemavu unaoweza kuwapata watoto wadogo kwahio inashauriwa mtoto akizaliwa lazima apatiwe afya bora malezi mazuri na mazunzo mazuri kwa mama yake ambapo usaidia kupunguza vifo ambavyo huwapata watoto katika umri mdogo .

 

6.kutokana na hilo pia kuna umuhimu wa kusaidia vijana walioathirika na dawa za kulevya huweza kurudi katika hali zao za kawaida .hili hutokana na tiba na unasihi wa kuwaongoza kurudi kwenye maisha ya kawaida .pia vijana inabidi wapewe elimu jinsi ya kuhimili mabadiliko ya kimaumbile wanayokabiliana nayo 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Afya File: Download PDF Views 1218

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 web hosting    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Dua Sehemu ya 02

Zijuwe nyakati ambazo dua inakubaliwa kwa haraka zaidi. Zijuwe nyakati ambazo ukiomba dua hitakubaliwa.

Soma Zaidi...
ZIJUWE FIGO, KAZI ZA FIGO NA NAMNA YA KULINDA FIGO DHIDI YA MARADHI

Je unatambuwa namna fgo inavyofanya kazi, unazijuwa kazikuu za fogo mwilini, na je unajuwa namna ya kujilinda dhidi ya maradhi ya figo?. Basi makala hii itakujuza kuhusu masomo haya1

Soma Zaidi...
darasa la lishe

Jifunze mengi kuhusu afya na lishe, ujuwe utaratibu wa lishe

Soma Zaidi...
KWA NINI MBU HAWEZI KUAMBUKIZA HIV (UKIMWI)

Tumekusha kuona na kujua kuwa mbu anaweza kuambukiza maradhi mengi na ya virusi kama zika.

Soma Zaidi...
kitabu cha matunda

Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho

Soma Zaidi...
Kitabu Cha Kitabu Cha matunda

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
KITABU CHA MATUNDA

Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho

Soma Zaidi...
ZIJUWE NYANJA KUU 6 ZA AFYA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
VYAKULA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...