HUDUMA ZA KIAFYA KATIKA JAMII


image


Umuhimu wa huduma za kiafya katika jamii


Posti hii inahusu zaidi huduma za kiafya katika jamii ambapo tunaona huduma za afya ni kitu muhimu sana kwa mwanadamu .afya ni hali ya ukamilifu kimwili,kusajili,kijamii na kutokuwepo kwa maradhi .afya bora ni nguzo na rasilimali katika kuchangia maendeleo ya mtu binafsi .familia na taifa .huduma za afya katika jamii ni huduma za kiafya ambazo hupaswa kutolewa na serikali na asasi zisizokuwa za kiserikali ili kuimarisha afya za watu katika jamii .pia kuna huduma za afya ambazo hutolewa kwa makundi maalumu ya watu katika jamii .mfano watoto wadogo,mama wajawazito na watu wenye magonjwa sugu kama kisukari.Asasi zisizokuwa za kiserikali hujumuisha sekta binafsi na mashirika ya dini .huduma hizi hutolewa kwa kuzingatia mabadiliko endelevu katika sekta ya afya.

 

            ZIFUATAZO NI MAMBO MUHIMU KWA HUDUMA ZA AFYA.                                             

  1.kulingana na hapo juu tulipoeleza huduma za afya mwanadamu au jamii inabidi kuwa wanna huduma bora za afya ili waweze kilinda afya zao ili kuondokewa au kujikinga na magonjwa nyemelezi pia jamii au serikali inabidi kupunguza au kuondoa kabisa gharama za matibabu kwa watu walio na magonjwa sugu.ambayo nimeweza kuyaelezea hapo juu hii inapelekea mgonjwa hawa hawana uwezo wa kufanya kazi zao kwa ufasaha .hii itasaidia kupunguza idadi ya vifo vinavyotokana na magonjwa haya.

 

2. Kutokana na hilo kuna umuhimu wa kutoa mafunzo maalumu kwa mama wajawazito na mumewe .mafunzo haya huwandaa kisaikolojia na kihisia namna ya kukabiliana na changamoto za mimba zisizotarajiwa .pia inabidi wapewe ushauri kuhusu namna ya kutunza mimba.sambamba na ushauri ,wazazi tarajali hupata vipimo vya magonjwa ya ngono na UKIMWI .mfano wa magonjwa ya ngono ni kaswende na kisonono.

 

3.kutokana na hilo upo umuhimu mkubwa na kuwa na huduma hizi katika jamii kutokana na sababu mbalimbali.miongoni mwa sababu hizo ni kulinda na kuelimisha kundi la vijana dhidhi ya maambukizi ya magonjwa kama UKIMWI.ni ugonjwa unaowapata sana vijana ambapo wanapokuwa wanafanya ngono zembe bila kutumia kinga pia ugonjwa wa homa ya ini  ambapo kwa kitaalamu wanaita (hepatitis) pamoja na kifua kikuu huduma za afya ulifanya kundi hili ambalo ni nguvu kazi ya taifa liendelee na kuchangia maendeleo yao na taifa kwa ujumla sababu nyingine ni kutoa au kuwsaidia wazee wasiojiweza na kupata huduma za afya .Huduma za afya hutolewa kwa sababu wazee hawana uwezo wa kujihudumia 

 

4.pia kutokana na umuhimu  wa huduma za kiafya serikali ina bidi itoe elimu kuhusu afya ili wananchi waweze kujifunza na kutambua jinsi ya kutunza afya zao  pia inabidi iweke vitengo mbalimbali vinavyotoa huduma za afya katika jamii .mara nyingi vitengo hivo hupatikana hospitalini ,katika vizuo vya afya na zahanati .hats hivyo,bahadhi ya vitengo havipo hospitalini kutegemea haina ya kundi linalohudumiwa na huduma zinazotolewa katika jamii husika  .pia inabidi serikali iangalie utoaji wa chanjo na dawa kwa watoto wadogo ili kujikinga na magonjwa mbalimbali kama pepopunda ,polio,kifua kikuu ,ugonjwa  wa ini pamoja na ndui 

 

5.kuna umuhimu mwingine ambapo kuzuia ulemavu unaoweza kuwapata watoto wadogo kwahio inashauriwa mtoto akizaliwa lazima apatiwe afya bora malezi mazuri na mazunzo mazuri kwa mama yake ambapo usaidia kupunguza vifo ambavyo huwapata watoto katika umri mdogo .

 

6.kutokana na hilo pia kuna umuhimu wa kusaidia vijana walioathirika na dawa za kulevya huweza kurudi katika hali zao za kawaida .hili hutokana na tiba na unasihi wa kuwaongoza kurudi kwenye maisha ya kawaida .pia vijana inabidi wapewe elimu jinsi ya kuhimili mabadiliko ya kimaumbile wanayokabiliana nayo 

 



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    2 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    3 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    4 Madrasa kiganjani offline    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Usichofahamu kuhusu mazoezi
Posti hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo hufahamu kuhusu mazoezi,ni mambo ambayo utokea au no matokeo mazuri kwa watu wanaofanya sana mazoezi. Soma Zaidi...

image Maji pia yanawezakuwa dawa kwa akili
Umeshawahi kuumwa na dawa yako ikawa maji? Huwenda bado basi hapa nitakujuza kidogo tu, juu ya jambo hili. Soma Zaidi...

image Faida za kula kachumbari
Posti hii inahusu zaidi faida mbalimbali ambazo anaweza kuzipata mtu anayetumia kachumbari, tunajua wazi kwamba kachumbari ni mchanganyiko wa nyanya, vitunguu maji,kabichi,na pilipili kidogo. Soma Zaidi...

image hathari zitokanazo na uvutaji wa sigara ,pombe na madawa ya kulevya na mbinu za kujikinga nayo
Posti hii inahusu zaidi utumiaji wa pombe na sigara pamoja na madawa katika jamii. Soma Zaidi...

image Madhara ya kuchelewa kutibu tatizo la kiafya
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea endapo tatizo halijatibiwa. Soma Zaidi...

image JE?WAJUA NJIA SAFI NA KANUNI ZA KUWEKA MWILI WAKO KWENYE AFYA NZURI?
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa usafi katika maisha ya mwanadamu au mwili wa binadamu. Soma Zaidi...

image Madhara ya mwili kujaa sumu
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kupatikana ikiwa mwili unaweza kujaa sumu, kwa sababu mwili unapaswa kuwa huru Ili kuweza kufanya vizuri kazi yake ila ikiwa utajaa Sumu Kuna hatari mbalimbali zinaweza kutokea kama vile. Soma Zaidi...

image Fahamu antibiotics ya asili.
Post hii inahusu zaidi antibiotics ya asili, ni antibiotics inayotumia vitu vya kila siku na ya kawaida na mtu akaweza kupona kabisa na kufanya kazi kama antibiotics ya vidonge vya kawaida. Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu kazi za ini.
Posti hii inahusu zaidi kazi za ini, kwa kawaida tunafahamu kwamba ini ni sehemu muhimu kwenye mwili wa binadamu kwa sababu ni.likikosa kufanya kazi yake maisha ya binadamu yanakuwa hatarini kwa sababu mbalimbali. Soma Zaidi...

image Zijue sababu za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo.
Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo,ni sababu mbalimbali hasa za kiafya kama tutakavyoona hapo mbeleni Soma Zaidi...