Menu



HUDUMA ZA KIAFYA KATIKA JAMII

Umuhimu wa huduma za kiafya katika jamii

Posti hii inahusu zaidi huduma za kiafya katika jamii ambapo tunaona huduma za afya ni kitu muhimu sana kwa mwanadamu .afya ni hali ya ukamilifu kimwili,kusajili,kijamii na kutokuwepo kwa maradhi .afya bora ni nguzo na rasilimali katika kuchangia maendeleo ya mtu binafsi .familia na taifa .huduma za afya katika jamii ni huduma za kiafya ambazo hupaswa kutolewa na serikali na asasi zisizokuwa za kiserikali ili kuimarisha afya za watu katika jamii .pia kuna huduma za afya ambazo hutolewa kwa makundi maalumu ya watu katika jamii .mfano watoto wadogo,mama wajawazito na watu wenye magonjwa sugu kama kisukari.Asasi zisizokuwa za kiserikali hujumuisha sekta binafsi na mashirika ya dini .huduma hizi hutolewa kwa kuzingatia mabadiliko endelevu katika sekta ya afya.

 

            ZIFUATAZO NI MAMBO MUHIMU KWA HUDUMA ZA AFYA.                                             

  1.kulingana na hapo juu tulipoeleza huduma za afya mwanadamu au jamii inabidi kuwa wanna huduma bora za afya ili waweze kilinda afya zao ili kuondokewa au kujikinga na magonjwa nyemelezi pia jamii au serikali inabidi kupunguza au kuondoa kabisa gharama za matibabu kwa watu walio na magonjwa sugu.ambayo nimeweza kuyaelezea hapo juu hii inapelekea mgonjwa hawa hawana uwezo wa kufanya kazi zao kwa ufasaha .hii itasaidia kupunguza idadi ya vifo vinavyotokana na magonjwa haya.

 

2. Kutokana na hilo kuna umuhimu wa kutoa mafunzo maalumu kwa mama wajawazito na mumewe .mafunzo haya huwandaa kisaikolojia na kihisia namna ya kukabiliana na changamoto za mimba zisizotarajiwa .pia inabidi wapewe ushauri kuhusu namna ya kutunza mimba.sambamba na ushauri ,wazazi tarajali hupata vipimo vya magonjwa ya ngono na UKIMWI .mfano wa magonjwa ya ngono ni kaswende na kisonono.

 

3.kutokana na hilo upo umuhimu mkubwa na kuwa na huduma hizi katika jamii kutokana na sababu mbalimbali.miongoni mwa sababu hizo ni kulinda na kuelimisha kundi la vijana dhidhi ya maambukizi ya magonjwa kama UKIMWI.ni ugonjwa unaowapata sana vijana ambapo wanapokuwa wanafanya ngono zembe bila kutumia kinga pia ugonjwa wa homa ya ini  ambapo kwa kitaalamu wanaita (hepatitis) pamoja na kifua kikuu huduma za afya ulifanya kundi hili ambalo ni nguvu kazi ya taifa liendelee na kuchangia maendeleo yao na taifa kwa ujumla sababu nyingine ni kutoa au kuwsaidia wazee wasiojiweza na kupata huduma za afya .Huduma za afya hutolewa kwa sababu wazee hawana uwezo wa kujihudumia 

 

4.pia kutokana na umuhimu  wa huduma za kiafya serikali ina bidi itoe elimu kuhusu afya ili wananchi waweze kujifunza na kutambua jinsi ya kutunza afya zao  pia inabidi iweke vitengo mbalimbali vinavyotoa huduma za afya katika jamii .mara nyingi vitengo hivo hupatikana hospitalini ,katika vizuo vya afya na zahanati .hats hivyo,bahadhi ya vitengo havipo hospitalini kutegemea haina ya kundi linalohudumiwa na huduma zinazotolewa katika jamii husika  .pia inabidi serikali iangalie utoaji wa chanjo na dawa kwa watoto wadogo ili kujikinga na magonjwa mbalimbali kama pepopunda ,polio,kifua kikuu ,ugonjwa  wa ini pamoja na ndui 

 

5.kuna umuhimu mwingine ambapo kuzuia ulemavu unaoweza kuwapata watoto wadogo kwahio inashauriwa mtoto akizaliwa lazima apatiwe afya bora malezi mazuri na mazunzo mazuri kwa mama yake ambapo usaidia kupunguza vifo ambavyo huwapata watoto katika umri mdogo .

 

6.kutokana na hilo pia kuna umuhimu wa kusaidia vijana walioathirika na dawa za kulevya huweza kurudi katika hali zao za kawaida .hili hutokana na tiba na unasihi wa kuwaongoza kurudi kwenye maisha ya kawaida .pia vijana inabidi wapewe elimu jinsi ya kuhimili mabadiliko ya kimaumbile wanayokabiliana nayo 

 

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Post File: Download PDF Views 967

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

MAZINGIRZ

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
AINA ZA VYAKULA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
TAHADHARI KWENYE VYAKULA ILI KULINDA AFYA YAKO

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
DALILI ZA KUTOKA AU KUHARIBIKA KWA MIMBA

Tafiti zinaonesha kuwa karibia asilimia 10% mpaka 25% ya wanawake wanaopata ujauzito, mimba zao hutoka.

Soma Zaidi...
dondoo 100 za Afya

Basi tambua haya;- 61.

Soma Zaidi...
Kitabu cha Afya 03

Yajuwe mambo yanayoathiri afya ya miili yetu, jifunze mambo mengi kuhusu afya.

Soma Zaidi...
Namna ambavyo usingizi unasaidia kuimarisha afya ya ubongo

Kwa kuimarisha afya ya ubongo unaweza kuimarisha kumbukumbu, Kinga za mwili na mengineyo mengi ambayo utajifunza kwenye makala hii

Soma Zaidi...