image

Madhara ya fangasi.

Posti hii inahusu zaidi madhara ya fangasi za ukeni kwa kawaida tunajua kubwa fangasi zikiingia kwenye uke usababisha madhara mbalimbali ambayo mengine yanaweza ya kudumu na mengine ya mda kama yametibiwa mapema.

Madhara ya fangasi za ukeni.

1. Kwanza kabisa tunajua kuwa uke huwa na bakteria wake ambao usaidia kulinda uke kwa hiyo kutokana na matumizi mbalimbali yasiyofaa bakteria hao wanaweza kufa na kusababisha kuwepo kwa fangasi basi tunapaswa kujua vitu vinavyosababisha kuondoa hao bakteria na kuzuia kuwepo kwa fangasi na fangasi wakiwa wengi usababisha matatizo yafuatayo.

 

2. Usababisha Maambukizi kwenye via vya uzazi.

Kwa kawaida via vya uzazi vikishambuliwa usababisha matatizo makubwa kwa mfano Maambukizi kwenye ovay, maambukizi kwenye mirija ya vizazi na Maambukizi kwenye ovay kwa hiyo ni lazima kutibu mapema ili kuepuka matatizo hayo yote.

 

3. Fangasi usababisha ugumba.

Kama tulivyoona hapo mwanzoni ikiwa via vya uzazi vimeshambuliwa ni rahisi kupata ugumba kwa sababu mirija ya uzazi inakuwa imeshambulia na kuzuia mayai yasiweze kutoka kwenye ovary na kurutubishwa.

 

4.  Pia mashambulizi ya fangasi yakiwa mengi bila kutibiwa na kwa mda mrefu uweza kusababisha pia magonjwa ya kansa kwa hiyo ni vizuri kutibu mapema na pia kama kuna fangasi nyingi zinaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya kujamiiana, kwa hiyo ni vizuri kutumia kinga.

 

5. Kwa hiyo ni vizuri kutibu fangasi kwa wakati kwa sababu zinaleta madhara mengi ambayo ni pamoja na ugumba, maambukizi kwenye via vya uzazi na pia kuweza kusambaa kutoka sehemu moja kwenda nyingine au kutoka kwa mwingine wakati wa kujamiiana.

 

6. Kwa hiyo kwa wale wanaojamiiana wanapaswa kutumia kinga ili kuweza kupunguza Maambukizi kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na kuepuka hatari kama vile ugumba na Maambukizi kwenye via vya uzazi.



           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/06/03/Friday - 12:46:11 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1639


Download our Apps
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Dalili za ugonjwa wa Donda koo
Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa Donda Koo ni ugonjwa unaosababishwa na vimelea viitwavyo kwa kitaalamu corynebacterium diphtheria, ugonjwa huu ushambulia Koo na unaweza kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya hewa, mate na Soma Zaidi...

Ugonjwa wa Saratani ya ini.
Saratani ya ini ni Saratani inayoanzia kwenye seli za ini lako. Soma Zaidi...

Huduma kwa wanawake wenye mahitaji maalum.
Posti hii inahusu huduma kwa wanawake wenye mahitaji maalum, ni wanawake ambao wana shida ya akili, walionyanyaswa kijinsia, wakimbizi na wote wenye matatizo mbalimbali. Soma Zaidi...

Ugonjwa wa Uharibifu wa seli nyekundu za damu
Posti hii inazungumzia kuhusiana na was Uharibifu wa seli nyekundu za damu ambapo hujulikana Kama Ugonjwa wa Hemolytic uremic (HUS) ni hali inayotokana na uharibifu usio wa kawaida wa seli nyekundu za damu mapema. Mara tu mchakato huu unapoanza, seli nye Soma Zaidi...

ninatatizo la miguu kuuma nimepima wanasema seli nyeupe za damu ipo chini Sana sasa nauliza dawa hizi za vitamin k na sindano vinaweza nisaidia?
Upungufu wa damu ni tatizo la kiafya, lakini kupunguwa seli nyeupe za damu ni tatizo zaidi, nikwa sabaabu seli hizi ndizo ambazo hupambana na wadudu shambulizi wanapoingia mwilini. Soma Zaidi...

Dalili za mtu aliyekula chakula chenye sumu
Post hii inahusu zaidi mtu aliyekula chakula chenye sumu, chakula chenye sumu ni chakula ambacho kikitumiwa na mtu yeyote kinaweza kuleta madhara kwenye mwili wa binadamu hata kifo. Soma Zaidi...

Ugonjwa wa kisonono
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa kisonono, ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu ambaye kwa kitaalamu huitwa Neisseria gonococcal. Soma Zaidi...

Dalilili za homa ya manjano
posti hii inahusu dalili za Homa ya Manjano ni maambukizi ya virusi yanayoenezwa na aina fulani ya mbu. Maambukizi hayo ni ya kawaida zaidi na kuathiri wasafiri na wakazi wa maeneo hayo. Soma Zaidi...

Vyanzo vya minyoo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyanzo vya minyoo Soma Zaidi...

Dalili za maumivu ya uti wa Mgongo
Posti hii inahusu zaidi dalili za uti wa mgongo ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la uti wa Mgongo. Soma Zaidi...

Inakuwaje unafanya ngono na aliyeathirika na usipate UKIMWI?
Watu wengi wamekuwa na mawazo kuwa ili nipate ukimwi ninatakiwa nishiriki ngono zembe na aliyeathirika mara ngapi? Majibu ya swali hili ni mafupi tu, ni kuwa unaweza kuathirika kwa ngono zembe ya siku moja tu ndani ya dakika chache. Lakini jambo la kuzing Soma Zaidi...

Dalili za ugonjwa wa vericose veini
Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa vericose veini Soma Zaidi...