MARADHI MENGINE 10 YANAYOTOKANA NA MBU ( matende, ngirimaji, homa ya manjano, n.k

Tofauti na maradhi yaliyotajwa hapo juu pia tafiti za kisayansi zimethibitisha kuwepo kwa maradhi mengine hatari yanayosambazwa na mbu, kama vile ngirimaji pamoja na matende.

MARADHI MENGINE 10 YANAYOTOKANA NA MBU ( matende, ngirimaji, homa ya manjano, n.k

Magonjwa mengine ni:-

Tofauti na maradhi yaliyotajwa hapo juu pia tafiti za kisayansi zimethibitisha kuwepo kwa maradhi mengine hatari yanayosambazwa na mbu, kama vile ngirimaji pamoja na matende. Karibia watu wengi wanaoishi maeneo yenye joto watakuwa wameshuhudia namna ambavyo ngiri ilivyo. Sambamba na ngiri maji na matende yapo maradhi mengine 8 ambayo huenezwa na mbu. Maradhi hayo ni:-

  1. homa ya manjano
  2. Heartworm
  3. Western Equine Encephalitis (WEEV)
  4. Louis Encephalitis (SLEV)
  5. La Crosse Encephalitis (LACV)
  6. Japanese Encephalitis Virus (JEV)
  7. Eastern Equine Encephalitis (EEEV)
  8. Western Nile virus (WNV)
  9. Matende
  10. Ngiri maji

 



                   



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2018-08-01     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 154


Download our Apps
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-