Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za UKIMWI
DALILI ZA UKIMWI.
Mpaka kufikia hapa ndipo mgonjwa huambiwa ana UKIMWI. Kumbuka mpaka kufikia hapa tayari miaka Zaidi ya mine hadi 10 itakuwa imepita. Baadhi ya tafiti zinaonyesha kuwa endapo mgonjwa hatatumia matibabu maalubu ya ARV hatoweza kuzidi miaka 3. Sasa hebu tuzione dalili na Ishara za UKIMWI katika hatua hii:-
1.Kutokwa na jasho jingi wakati wa usiku
2.Kutetemeka kwa homa au Homa juu inayofikia nyuzi 100 F (38 C) na kudumu kwa wiki kadhaa
3.Kikohozi
4.Kupumua kwa pumzi za taabu
5.Kuhara kusiko kata
6.Utando mweupe wa kudumu au vidonda visivyo vya kawaida kwenye ulimi wako au kinywani mwako
7.Maumivu ya kichwa mara kwa mara
8.Uchovu wa kudumu, usioelezewa
9.kuona maluweluwe
10.Kupungua uzito bila ya sababu maalumu
11.Vipele kwenye ngozi au majipu
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Utakapofanya ngono na aliyeathirika haimaanishi na wewe kuwa lazima utakuwa umeathirika. Kuathirika kuna mambo mengi lazima yafanyike.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi tatizo la kuwepo kwa asidi nyingi mwilini hali uwasumbua watu wengi na kufikia kiasi cha kusababisha madhara mengine mawilini ikiwamo pamoja na kansa ya koo, ili kujua kama una wingi wa asildi mwilini unapaswa kujua dalili kama ifu
Soma Zaidi...Kuvunjika kwa nyonga ni jeraha kubwa, na matatizo ambayo yanaweza kuhatarisha maisha. Hatari ya kupasuka kwa nyonga huongezeka na umri.
Soma Zaidi...Saratani ya kwenye Njia ya haja kubwa ni aina isiyo ya kawaida ambayo kitaalamu hujulikana Kama saratani ya mkundu.Mfereji wa mkundu ni mirija fupi iliyo mwisho wa puru yako ambayo kinyesi hutoka mwilini mwako. Saratani ya kwenye Njia ya ha
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za kizunguzungu zinazotekea katika mwili wa binadamu
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi maelekezo muhimu ya ki afya, ni maelekezo ambayo utolewa ili kuweza kuzifanya afya zetu ziwe bora zaidi na kuepuka madhara yoyote ya ki afya
Soma Zaidi...Saratani ya Figo ni Saratani ambayo huanzia kwenye figo. Figo zako ni viungo viwili vyenye umbo la maharagwe, kila kimoja kikiwa na ukubwa wa ngumi yako. Ziko nyuma ya viungo vyako vya tumbo, na figo moja kila upande wa mgongo wako.
Soma Zaidi...Kama una tatizo la midomo kuchubuka na kuwa myeupe ama kuwa na vidonda. Post hii inakwenda kuangalia swala hili.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo mgonjwa wa ngiri anaweza kuzipata, kwa hiyo baada ya kusoma na kuelewa dalili hizi mgonjwa anapaswa kuwahi hospitali mapema kwa ajili ya kupata matibabu.
Soma Zaidi...Ugonjwa wa mdomo unaoungua ni neno la kimatibabu kwa ajili ya kuungua kinywani kwa mara kwa mara (kwa muda mrefu) bila sababu dhahiri. Usumbufu huo unaweza kuathiri ulimi wako, ufizi, midomo, ndani ya mashavu yako, paa la mdomo wako au maeneo yaliyoenea
Soma Zaidi...