picha

Dalili za UKIMWI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za UKIMWI

DALILI ZA UKIMWI.

Mpaka kufikia hapa ndipo mgonjwa huambiwa ana UKIMWI. Kumbuka mpaka kufikia hapa tayari miaka Zaidi ya mine hadi 10 itakuwa imepita. Baadhi ya tafiti zinaonyesha kuwa endapo mgonjwa hatatumia matibabu maalubu ya ARV hatoweza kuzidi miaka 3. Sasa hebu tuzione dalili na Ishara za UKIMWI katika hatua hii:-

 

 

1.Kutokwa na jasho jingi wakati wa usiku

2.Kutetemeka kwa homa au Homa juu inayofikia nyuzi 100 F (38 C) na kudumu kwa wiki kadhaa

3.Kikohozi

4.Kupumua kwa pumzi za taabu

5.Kuhara kusiko kata

6.Utando mweupe wa kudumu au vidonda visivyo vya kawaida kwenye ulimi wako au kinywani mwako

7.Maumivu ya kichwa mara kwa mara

8.Uchovu wa kudumu, usioelezewa

9.kuona maluweluwe

10.Kupungua uzito bila ya sababu maalumu

11.Vipele kwenye ngozi au majipu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2586

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 Bongolite - Game zone - Play free game     πŸ‘‰2 Kitabu cha Afya     πŸ‘‰3 Kitau cha Fiqh     πŸ‘‰4 Madrasa kiganjani     πŸ‘‰5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     πŸ‘‰6 ai web app    

Post zinazofanana:

Athari za unyanyasaji wa kisaikolojia ndani ya familia.

​Unyanyasaji wa kisaikolojia ndani ya familia ni janga la kimyakimya ambalo huacha makovu yasiyofutika. Tofauti na unyanyasaji wa kimwili, unyanyasaji wa kihisia na kisaikolojia mara nyingi hufichwa nyuma ya kuta za nyumba, ukiathiri afya ya akili, kujiamini, na ustawi wa jumla wa wahanga. Makala haya yanachunguza aina za unyanyasaji huu, athari zake za muda mrefu, na mbinu za kujikomboa ili kujenga mahusiano yenye afya

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa pepopunda kwa watoto

Pepopunda ni ugonjwa hatari wa kutishia maisha unaosababishwa na sumu inayojulikana Kama tetanospasmin inayotolewa kwenye majeraha yaliyoambukizwa. Bakteria ya pepopunda huingia kwenye mwili wa mtoto mchanga kupitia kisiki cha kitovu ambacho kimekatwa na

Soma Zaidi...
Maandalizi ya kisaikolojia na kimwili kabla ya kubeba mimba.

Kupanga kupata mtoto ni uamuzi mkubwa na wa furaha katika maisha ya mtu. Hata hivyo, safari hii haihitaji tu matamanio, bali inahitaji maandalizi ya kina. Makala hii inaangazia misingi ya kujiandaa kisaikolojia na kimwili ili kuhakikisha afya ya mama na mtoto, na kuimarisha utayari wa kuwa mzazi katika kipindi chote cha ujauzito

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa upungufu wa Adrenali.

Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa upungufu wa Adrenali ni ugonjwa ambao hutokea wakati mwili wako hutoa kiasi cha kutosha cha homoni fulani zinazozalishwa na tezi zako za adrenali. ugonjwa huu hutokea katika makundi yote ya umri na huathiri

Soma Zaidi...
Athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa watoto wadogo.

Posti hii inahusu zaidi athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa watoto wadogo, tunajua kubwa mama kama ana ugonjwa huu anaweza kumwambikiza mtoto na mtoto akazaliwa na Ugonjwa huu.

Soma Zaidi...
Sababu kuu za maumivu ya tumbo chini ya kitomvu, Tumbo la ngiri na chango

Makala hii inakwenda kukuletea somo linalozungumzia maumivu ya tumbo chini ya kitomvu, na tumbo la ngiri kwa wanaume, na tumbo la chango kwa wanawake

Soma Zaidi...