Juhudi za Waislamu Katika Kuhuisha Harakati za Kiislamu Zama za Nyerere hadi leo

Juhudi za Waislamu Katika Kuhuisha Harakati za Kiislamu Zama za Nyerere hadi leo

i.

Download Post hii hapa

Juhudi za Waislamu Katika Kuhuisha Harakati za Kiislamu Zama za Nyerere hadi leo

Juhudi za Waislamu Katika Kuhuisha Harakati za Kiislamu Zama za Nyerere hadi leo

i. Wakati wa utawala wa Mwalimu Nyerere waislamu walianzisha Taasisi na Jumuiya mbali mbali za Kiislamu kama vile; Baraza Kuu la Taasisi na Jumuiya za Kiislamu, African Muslim Agency, Al-Haramain, Islamic Foundation, Islamic Propagation Centre (IPC), Munadhwamat Da’awah, n.k.




ii. Taasisi mbali mbali za Kiislamu kati ya miaka ya 1989 hadi 1992 zilianzisha mashule kama vile; Mudio Islamic Seminaries, Ubungo Islamic High School, Kirinjiko Islamic High School, Kunduchi na Ununio Secondary Schools na zinginezo.




iii. Kulianzishwa vyuo vya Ualimu vya Kiislamu kwa ngazi za cheti na stashahada kama vile; Al-Haramain Islamic Teachers’ College - 1987, Ubungo Teachers’ College - 1998, Kirinjiko Teachers’ College - 2004 na vinginevyo vilivyojitokeza baadae.




iv. Mwaka 2005, Taasisi ya Muslim Development Foundation (MDF) ilianzisha Chuo Kikuu Cha Waislamu Morogoro, Muslim University of Morogoro (MUM) kama chuo pekee kikombozi kwa jamii ya waislamu Tanzania.



v. Hadi leo hii, Taasisi na shule nyingi za Kiislamu za chekechea, msingi na sekondari pamoja na vyuo zinaendelea kuibuka, nyingi zikiwa na lengo la kutoa elimu Sahihi ya Mwongozo na ya Mazingira kama nyenzo pekee ya kusimamisha Uislamu katika jamii.





                   

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Sira Main: Dini File: Download PDF Views 946

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Mafunzo Yatokanayo na Historia ya Nabii Nuhu(a.s)
Mafunzo Yatokanayo na Historia ya Nabii Nuhu(a.s)

(i) Tuanze kulingania kwa Tawhiid – kumjua Allah(s.

Soma Zaidi...
Uchaguzi wa Omar (Umar) kuwa khalifa wa Pili baada ya Mtume
Uchaguzi wa Omar (Umar) kuwa khalifa wa Pili baada ya Mtume

Uchaguzi wa ‘Umar bin Khattab kuwa Khalifa wa Pili.

Soma Zaidi...
Uasi katika dola ya kiislamu na matokeo yake
Uasi katika dola ya kiislamu na matokeo yake

Uasi katika dola ya kiislamu na matokeo yake.

Soma Zaidi...
tarekh 02
tarekh 02

FAMILIA YA MTUME (S.

Soma Zaidi...
Makubaliano ya Mkataba wa Al Fudhul
Makubaliano ya Mkataba wa Al Fudhul

Sara na historia ya Mtume Muhammad s.a.w, sehemu ya 13. Hapa utajifunza historia ya Mkataba wa al fudhul na makubaliano yake.

Soma Zaidi...
Nabii Isa(a.s) Azungumza Akiwa Mtoto Mchanga
Nabii Isa(a.s) Azungumza Akiwa Mtoto Mchanga

Maryam akamtwaa mwanawe, akaenda naye kwa jamaa zake amembeba.

Soma Zaidi...